Pafyumu konki kwa ajili ya zawadi kwa mwanamke mrembo

Pafyumu konki kwa ajili ya zawadi kwa mwanamke mrembo

stivii

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2013
Posts
222
Reaction score
143
Nataka kumnunulia baby wangu zawadi kwa ajili ya birthday yake. Mrembo wangu ni mpenzi wa marashi lakini uwa anajipaka very cheap perfume ambazo ukitembea hatua tano zimeshapepeluka.
Nataka nimsaplaiz na zawadi ya perfume this time.

Wataalam wa perfume naomba suggestions ni perfume gani ya kike ambayo ni classic nikimchukulia nitakata kiu yake ya kunukia vizuri.

Budget yangu ni around laki 1.5 Tshs.
 
Mchagulie kati ya hizi utamshangaza..:-
- Fame lady Gaga
-La vie est belle
-Coco mademoiselle
-Gold dust

Body oil(hii anapaka kwenye ngozi then hizo za juu anapuliza kwenye nguo)
-vanilla

NB: hizo zote ni Brand ambazo bei yake inaanzia 100 US$$ { ingawa kuna shortcut unachukua ya kupima kama upo dsm}
 
Lady million by Pacco Rabane
Tresor by Lancome
Lavie est bella
Versace
 
Mchagulie kati ya hizi utamshangaza..:-
- Fame lady Gaga
-La vie est belle
-Coco mademoiselle
-Gold dust

Body oil(hii anapaka kwenye ngozi then hizo za juu anapuliza kwenye nguo)
-vanilla

NB: hizo zote ni Brand ambazo bei yake inaanzia 100 US$$ { ingawa kuna shortcut unachukua ya kupima kama upo dsm}
Thank you
 
Back
Top Bottom