Thank youMchagulie kati ya hizi utamshangaza..:-
- Fame lady Gaga
-La vie est belle
-Coco mademoiselle
-Gold dust
Body oil(hii anapaka kwenye ngozi then hizo za juu anapuliza kwenye nguo)
-vanilla
NB: hizo zote ni Brand ambazo bei yake inaanzia 100 US$$ { ingawa kuna shortcut unachukua ya kupima kama upo dsm}
Asante sana!Lady million by Pacco Rabane
Tresor by Lancome
Lavie est bella
Versace
Usijali, cant wait to see her excitementMkuu ulete mrejesho
Stay blessed!√Yves Saint Laurent Black Opium
√ Chanel coco
√Yves Saint Laurent Black Opium
√ Chanel coco
Za kupima zipoHizi bei zake zitaendana na budget yake kweli?
Ukimsikia mtu ananukia unyunyu wa bei usimwogope wala nini siku hizi zipo za kupima kama mafuta ya taaaWekeni na bei zale please
Mkuu umenichekesha sana aisee! "kupima kama mafuta ya taaa"Ukimsikia mtu ananukia unyunyu wa bei usimwogope wala nini siku hizi zipo za kupima kama mafuta ya taaa
Nilipata pafyumu inaitwa dolce & gabbana the only one bei yake ni ndefu lakini nilijipinda nikainunua nikampelekea.. Kuna story ndefu sana baada ya hapo kuna siku nitashea na jukwaa.Ulete na mrejesho