Page ya Grammy kuonesha show ya Diamond Platinumz iliyofanyika Dar es Salaam, ni ishara nzuri ya kushinda Grammy 2021/2022

Page ya Grammy kuonesha show ya Diamond Platinumz iliyofanyika Dar es Salaam, ni ishara nzuri ya kushinda Grammy 2021/2022

Kigoma Independent

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2017
Posts
3,519
Reaction score
2,055
Habarini Wana Jf.

Good news Ni kuwa Page ya Grammy umeona efforts anazozofanya kijana mpambanaji na msanii A-List Africa (Diamond platinumz, Burnaboy na wizkid) kuwa anastahili Grammy.

Na hii imwtokana na Chachu ya BET nomination na warner music group kuliko watapromote Album yake inayoenda kuitambulisha lugha ya kiswahili duniani, yaani Swahili nation.

Pia, ikumbukwe kuwa Sweatzbeat ndio producer mkubwa wa album Kali ya kukata na shoka ya Diamond Platinumz (Simba) to the world.
 
Hivi mkuu Diamond anakujua ?

Unajituma sana kumtakia mema, kuliko hata unavyojitakia mema wewe mwenyewe au familia yako.

Hii ndio REAL LOVE.
acha ujing mkuu, hili ni jukwaa la watu maarufu (celebrities), mtu unakuwaje na akili fupi hiv 😂 😂 inaonekana mtu nayemsapoti kapigwa gap sana na Diamond,
 
Habarini Wana Jf.

Good news Ni kuwa Page ya Grammy umeona efforts anazozofanya kijana mpambanaji na msanii A-List Africa (Diamond platinumz, Burnaboy na wizkid) kuwa anastahili Grammy.

Na hii imwtokana na Chachu ya BET nomination na warner music group kuliko watapromote Album yake inayoenda kuitambulisha lugha ya kiswahili duniani, yaani Swahili nation.

Pia, ikumbukwe kuwa Sweatzbeat ndio producer mkubwa wa album Kali ya kukata na shoka ya Diamond platinumz (Simba) to the world
Ipo wapi hiyo page? Weka picha/link.
 
Back
Top Bottom