Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,055
He fall in love with passionHivi mkuu Diamond anakujua ?
Unajituma sana kumtakia mema, kuliko hata unajitakia mema wewe mwenyewe au familia yako.
Hii ndio REAL LOVE.
Hanijui Ila naongea ukweliHivi mkuu Diamond anakujua ?
Unajituma sana kumtakia mema, kuliko hata unavyojitakia mema wewe mwenyewe au familia yako.
Hii ndio REAL LOVE.
Dont hate be inspiredHe fall in love with passion
SureAcha mwanetu azidi kutoboa mawinguni tu,
Much blecng to him,we like him so mucccccchhhh
Endelea kukaza fuvuUongo mtupu
Nashauri wanywe maji mengi mioyo yao iweze kueleaPunguzeni makasiriko
Ha ha hajamaa mnaa wewe unauma humohumo unapuliza[emoji3][emoji23]Hivi mkuu Diamond anakujua ?
Unajituma sana kumtakia mema, kuliko hata unavyojitakia mema wewe mwenyewe au familia yako.
Hii ndio REAL LOVE.
acha ujing mkuu, hili ni jukwaa la watu maarufu (celebrities), mtu unakuwaje na akili fupi hiv 😂 😂 inaonekana mtu nayemsapoti kapigwa gap sana na Diamond,Hivi mkuu Diamond anakujua ?
Unajituma sana kumtakia mema, kuliko hata unavyojitakia mema wewe mwenyewe au familia yako.
Hii ndio REAL LOVE.
Ile petition imefikia wapi?Ngoja nirudi twitani nikasage kunguni😂
Atamjuaje wakati huyu ndio Simba mwenyewe on workHivi mkuu Diamond anakujua ?
Unajituma sana kumtakia mema, kuliko hata unavyojitakia mema wewe mwenyewe au familia yako.
Hii ndio REAL LOVE.
Ipo wapi hiyo page? Weka picha/link.Habarini Wana Jf.
Good news Ni kuwa Page ya Grammy umeona efforts anazozofanya kijana mpambanaji na msanii A-List Africa (Diamond platinumz, Burnaboy na wizkid) kuwa anastahili Grammy.
Na hii imwtokana na Chachu ya BET nomination na warner music group kuliko watapromote Album yake inayoenda kuitambulisha lugha ya kiswahili duniani, yaani Swahili nation.
Pia, ikumbukwe kuwa Sweatzbeat ndio producer mkubwa wa album Kali ya kukata na shoka ya Diamond platinumz (Simba) to the world