Page ya NECTA facebook

Page ya NECTA facebook

Bampcm

Member
Joined
Feb 26, 2013
Posts
43
Reaction score
4
Hivi hii page ya necta facebook ni ya kweli au wanatutia presha tu. Maana wamesema matokeo yapo tayar na ndio wanaendelea kuyaweka kwenye mtandao. Alaf kama mtu anayataka yake atume namba yake ya mtihan inbox
 
Akili ya kuambiwa changanya na ya kwako..!
 
Hivi hii page ya necta facebook ni ya kweli au wanatutia presha tu. Maana wamesema matokeo yapo tayar na ndio wanaendelea kuyaweka kwenye mtandao. Alaf kama mtu anayataka yake atume namba yake ya mtihan inbox[/QUOTE
bila shaka utakuwa we ni product ya Mulugo kama unasuburu matokeo ukifauru mi najinyonga kwa spider web
 
Umeambiwa necta hawana acct ya facebook lilofungua ile page ni lihuni tu
 
Hivi hii page ya necta facebook ni ya kweli au wanatutia presha tu. Maana wamesema matokeo yapo tayar na ndio wanaendelea kuyaweka kwenye mtandao. Alaf kama mtu anayataka yake atume namba yake ya mtihan inbox[/QUOTE
bila shaka utakuwa we ni product ya Mulugo kama unasuburu matokeo ukifauru mi najinyonga kwa spider web

nifaulu mara ngapi bro?
 
hiyo siyo web ya baraza na waliwahi kuikana kupitia vyombo vya habari!
 
Lakini kuna tetesi kuwa matokeo yako tayar ivi ni kweli
 
Back
Top Bottom