Halafu huyo mume baada ya kuyafanya hayo bado anakula chakula alichotengenezewa na mkewe? Kuna wanaume wana roho ngumu? Yaani wanafanya madudu kwa mtu ambaye anauwezo wa kuwatowesha duniani siku yoyote akiamua!
:becky::becky::becky::becky::becky::becky:Sasa ulitaka akale wapi?
Hivi ile kitu mtu akiichomeka na kuichomoa haipungui krosi seksheni eria, dayameta wala volume inakuwaje mnaililia wivu namna hii? Yaani hamtaki hata wadogo zenu wafaidi jamani? Ingekuwa inapungua si mngeuana sana nyie?
Halafu huyo mume baada ya kuyafanya hayo bado anakula chakula alichotengenezewa na mkewe? Kuna wanaume wana roho ngumu? Yaani wanafanya madudu kwa mtu ambaye anauwezo wa kuwatowesha duniani siku yoyote akiamua!
When You are in love and You get hurt, it's like a cut... it will heal, but there will always be a scar.Hii thread imenifumbua macho kuhusu jinsia hizi mbili..... Zamani nilikuwa nikiambiwa kuwa wanawake ni viumbe dhaifu (sijui katika nyanja zipi) but leo nimeamini kuwa wanaume ndio viumbe dhaifu na udhaifu wao hauponyeki....yaani watu mnakaa kutetea jambo hili kweli? Eti kashawishiwa na vipedo na vimini ye ni mwanafunzi ambaye ndio kwanza kabalehe asiyejua kuchambua jema na ovu??
Hivi mwanamke naye akipewa mimba na mdogo wa mumewe naye tumshauri mume amsamehe kwa kuwa mwanamke ameshindwa jizua na vishawishi vya shemejiye?? Mboma tunataka tuishi kama jamii za wanyama hayawani??
mkuu una mke/mume wewe, ngoja waje wakumegee na wewe ndio utajua tatizo sio kupungua kwa ile kituSasa ulitaka akale wapi?
Hivi ile kitu mtu akiichomeka na kuichomoa haipungui krosi seksheni eria, dayameta wala volume inakuwaje mnaililia wivu namna hii? Yaani hamtaki hata wadogo zenu wafaidi jamani? Ingekuwa inapungua si mngeuana sana nyie?
Dah!huu ni mtihani tena asilimia ya kufaulu ni ndogo sana kama busara haitatumika zaidi,kweli kikulacho ki nguoni mwako tena inawezekana kwenye chupi,mdogo wang ningemfukuza lkn mume wangu ningempa worning ya nguvu maana na nimeambiwa kifo tu kitutenganishe,but wazazi wa pande zote mbili wangejua wat :confused2:
kuna watu mna moyo kwa kweli.
Baba Desi leo ungekuwa karibu yangu cjui ningekupa nini! very well said ma bro...hivi vicngizio vya watoto vinaniboa sana, yaani mtu unajifia kiundani kisa kusema watoto, mbona ndio nitazidi kuchakarika ili watoto waneemeke, hapo baadae nikija kuwahadithia wanangu wenyewe watanidharau kwa kujiachia nikiteseka kisa nawacngizia cjui wangekosa upendo wa dady( dady my foot).....
kizuri kula na nduguyo au sio?Kwanini asile MJ1 hakuna raha duniani kama ya kula na nduguyo.
Huyu hapaswi kuchukia au kupandwa na hasira kala na nduguye
tatizo mkuu ni mfumo dume. mwanaume kijogoo, mwanamke malayaHii thread imenifumbua macho kuhusu jinsia hizi mbili..... Zamani nilikuwa nikiambiwa kuwa wanawake ni viumbe dhaifu (sijui katika nyanja zipi) but leo nimeamini kuwa wanaume ndio viumbe dhaifu na udhaifu wao hauponyeki....yaani watu mnakaa kutetea jambo hili kweli? Eti kashawishiwa na vipedo na vimini ye ni mwanafunzi ambaye ndio kwanza kabalehe asiyejua kuchambua jema na ovu??
Hivi mwanamke naye akipewa mimba na mdogo wa mumewe naye tumshauri mume amsamehe kwa kuwa mwanamke ameshindwa jizua na vishawishi vya shemejiye?? Mboma tunataka tuishi kama jamii za wanyama hayawani??
Mh.Sasa ulitaka akale wapi?
Hivi ile kitu mtu akiichomeka na kuichomoa haipungui krosi seksheni eria, dayameta wala volume inakuwaje mnaililia wivu namna hii? Yaani hamtaki hata wadogo zenu wafaidi jamani? Ingekuwa inapungua si mngeuana sana nyie?
hapo ndipo ninapozidi kuchoka Mwanajamii mie ah........... wenye nguvu za kupenda endeleeni hata siwaonei wivu hata kidogo.Kwanini asile MJ1 hakuna raha duniani kama ya kula na nduguyo.
Huyu hapaswi kuchukia au kupandwa na hasira kala na nduguye
.......:becky::becky::becky::becky:......Mh.
Kwangu nitalilia wivu kama ataendaichomeka kwa jirani na mpita njia lakini kwa ndugu yangu kwa kweli sitasubiri ipungue kimuujiza nitaipunguza mwenyewe kwa kuikata na wembe amah!!
Sasa ulitaka akale wapi?
Hivi ile kitu mtu akiichomeka na kuichomoa haipungui krosi seksheni eria, dayameta wala volume inakuwaje mnaililia wivu namna hii? Yaani hamtaki hata wadogo zenu wafaidi jamani? Ingekuwa inapungua si mngeuana sana nyie?
sijafikia ndoa but naamini kila kitu ni uvumilivu tu mpz,kama kweli nampedna ndogo wangu ntavumilia yote maana huyu ni ndugu yangu,na huyu ni mdogo wangu,hakuna lisilowezekana ndio maana tumefanya mabaya meeeeeeeeengi lakini mpaka sasa tunahema bure kabisa,bwana angehesabu maovu nani angesimama?
Pearl dearest unasema coz hujajua maumivu ya hii kitu, inauma jamani, nakuhakikishia hata ingekuwa wewe hii kitu kukutoka rohoni ni ngumu mno mno...hata ukisema usamehe lakini moyoni mwako utakuwa hauna amani kabisa...Pearl ukiwa nje ni tofauti na humu ndani, ndan kuna vitu vya ajabu ajabu moja wapo ni hii...ni ngumu kuvumilia.
hapo ndipo ninapozidi kuchoka Mwanajamii mie ah........... wenye nguvu za kupenda endeleeni hata siwaonei wivu hata kidogo.
mi sioni tatizo hapo!hakuna mazingira ya ''ubakaji'' wala ''vinginevyo''......!..Mkuu, Mizaha hiyoo!! Kesha Ukiomba ili siku moja usimkute mdogo wako wa toka nitoke anajituma kisawasawa juu ya kifua cha shemeji yetu! Sijui kama utaweza kuja ku 'Sign In' JF na kutuambia maneno haya uyasemayo sasa...!😱hwell:
mkuu una mke/mume wewe, ngoja waje wakumegee na wewe ndio utajua tatizo sio kupungua kwa ile kitu
hapo ndipo ninapozidi kuchoka Mwanajamii mie ah........... wenye nguvu za kupenda endeleeni hata siwaonei wivu hata kidogo.