Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Halafu huyo mume baada ya kuyafanya hayo bado anakula chakula alichotengenezewa na mkewe? Kuna wanaume wana roho ngumu? Yaani wanafanya madudu kwa mtu ambaye anauwezo wa kuwatowesha duniani siku yoyote akiamua!
Sasa ulitaka akale wapi?
Hivi ile kitu mtu akiichomeka na kuichomoa haipungui krosi seksheni eria, dayameta wala volume inakuwaje mnaililia wivu namna hii? Yaani hamtaki hata wadogo zenu wafaidi jamani? Ingekuwa inapungua si mngeuana sana nyie?