Pains Over My Sister’s Pregnancy For My Husband…

Jamani tukubaliane tu kuwa wote wawili ni wanyama hawana hata chembe ya kufananishwa na binadamu. Yaani ningekuwa mimi hata huyo ndugu ningeweza nikamfanyia kitu mbaya sana basi liwalo na liwe, na hilo lijimwanaume ningeliache instantly.

cjui kwanini ndugu yangu nicngemdhuru bali ningemwacha dunia imfunze, lakini kwa mr wangu ctakaa nifikirie kumsamehe milele...inauma sana jamani, li hawara la nje tu huko hulijui hulifahau unakuta tu sms inaumiza ijekuwa ndugu yako wa damu?
 

Ndoa ni Agano la MILELE - "I hate divorce, says the LORD God of Israel" Malachi 2:16

Also

"So they are no longer two, but one. Therefore what God has joined together, let man not separate" Matthew 19:6
 
Jamani sisi ni watu wazima, na huyu sijui ni mwenzetu au?, ebu angalia maneno ya kijiweni anayoyatumia humu, nimeyapigia msitari mwekundu.
 
Jibu liko wazi, sisi waafrika tunapenda kuiga vya wazungu na huku hatuviwezi, tunapenda kujisahau, hatuweki mipaka kati ya shemeji na mume, wakulaumiwa ni huyo mama hakujiweka sawa kwenye nafasi yake, kuzuia hawa watu kuzoeana mpaka wanatongozana.

hivi jamani wewe...yaani nilaumiwe mie kwani wanafanya wazi wazi nikiona? hiki kitendo kinafanyia kwa cri kubwa sana mpaka mie nije nijue ujue na wao walishajisahau ndio nitaona vikasoro kasoro nianze kuvifatilia mpaka nidhibitishe ni tayari mwaka umepita.
 

Askofu nimekuelewa, lakini kwangu mie mr akifanya haya ctajali ni sis wangu amejitongozesha wala amewacha paja nje wala kapita na nitedrec wala chupi, kosa litakuwa kwa mume wangu, kama kweli ananipa heshima kama mke wake angenieleza hilo tatizo analoliona la shemeji yake kumfanyia v2ko then ndio nitajua cha kufanya, afanye hukooo atamani hukooo ashawishike hukooo sio kwa damu yangu.
 
WOS well said dada I salute you
Kuna story kama hii nilishawahiisikia ambapo ilitokea exactly the same na mama akaua soo kichini chini akatimua mdogo wake peleka kijijini kisha yeye na mumewe wakaendelea na maisha. Mume alishika adabu na kuishia kumtukuza mkewe hadi anaingia futi sita kaburini. Lakini wanaume wanaoappreciate wako wachache sana mwingine anaweza kukuona mama uko weak so akakutendea mengine makubwa zaidi. Nakumbuka Sherry Argov kwenye Why Men Love Bitches alisema, nanukuu
A 'YES' woman who gives too much sends the impression that she believes in the men more than she believes in herself. Men tend to view this as a weakness and not kindness' mwisho wa kunukuu. So kwa mtu mwingine akisamehewa hapa anaweazakuchukulia kuwa huyu mwanamke ni kwa vile hana pa kwenda so imebidi tu hana jinsi.... but tusiusemee moyo anawezabadilika (Ila ningeelewa zaidi kama angefanya mara moja tu na kuregrete but mpaka wamepeana mtoto? unless iliingia siku ya kwanza.
 
Ndoa ni Agano la MILELE - "I hate divorce, says the LORD God of Israel" Malachi 2:16

Also

"So they are no longer two, but one. Therefore what God has joined together, let man not separate" Matthew 19:6


Ni dhambi gani ambayo inaweza kuvunja ndoa na inaruhusiwa hata katika Biblia??
 
Jamani sisi ni watu wazima, na huyu sijui ni mwenzetu au?, ebu angalia maneno ya kijiweni anayoyatumia humu, nimeyapigia msitari mwekundu.

:becky:Na wewe sisi tuna-discuss serious matters
Kaitaba unatuletea utaalam wa lugha :becky:
 
Jamani sisi ni watu wazima, na huyu sijui ni mwenzetu au?, ebu angalia maneno ya kijiweni anayoyatumia humu, nimeyapigia msitari mwekundu.



ovyooo kabisa! maneno yapi ya kijiweni niliyoweka humu? kama hunisomi ucni qoute...i.d.i.o.t
 
Mpendwa Nyamayao... anachokwambia Fidel80 ni kitu kinachotokea sana kwenye ndoa hizi....

Tatizo la Nyamayao mbishi kweli lakini ukweli unabaki pale pale hii ndo hali halisi mitaani kwetu si bora ya huyo kamega mdogo wake kuna case mm nilishuhudia Mr wa dada mmoja anamega kwa mama mkwe yaani anakula kuku na mayai, mama mkwe nae kashoboka kwa mkwewe jamaa kajivunga vunga weee si unajua mi mama ya siku hizi inajiita ya kileo, lakini mama lenyewe lilikuwa zuri lainiiiiiiii balaa jamaa akaanza kujisevia kama kawa dada wa watu akashtukia mchezo ilikuwa balaaa na mama kakolea kwa huyo Mr.
 
Ndoa ni Agano la MILELE - "I hate divorce, says the LORD God of Israel" Malachi 2:16

Also

"So they are no longer two, but one. Therefore what God has joined together, let man not separate" Matthew 19:6

nakubaliana na wewe 100% tukija kwenye Bible, lakini hapa pia Bible nitaiweka pembeni, mume kando, dada kushoto! nabaki mwenyewe.
 
Wanaumem mnatutega jamani? Au kwa vile tulishaambiwa kila mmoja atawaacha wazazi wake na kuambatana na mwenzie nao watakuwa kitu kimoja? Hivi kweli mkeo atembee na kupewa mimba na mdogo wako wa kiume utamsamehe na kujitia kumtimua nduguyo? ah jamani hebu jiwekeni kwenye nafasi zetu.

Wanawake nasi tunaponzwa na mapenzi - tunapenda kinovel mno ah
 
Yaani nimekaa hapa kwenye kibanda changu nawaza..Ni mwanaume gani huyu muuaji
Asubuhi labda mama Kenda Kazini anambanjua mdogo wake mbaya labda kwenye kitanda chake na wife ..
Jioni mama karudi home jamaa anaomba unyumba kwa mama ..

Hivi kweli ina-make sense nackia kudondosha machozi baada ya kukiwaza kisa hiki kwa kina ?????:shocked:
 
Hapa wanawake ndipo huwa mnakosea sana.
Mwenye uamuzi wa kumega au kumegwa ni nani?

ctaki kujua nani aliamua kuduu, nani alimshusha mwenzie chupi wala nini, kwa maelezo yangu hapo juu Fidel kosa litakuwa la kwako, na kwa hili tofauti kabisa na nikikufumania nje mana huko kichapo kitahusu hapa nitayafanya yote kimya kimya na kwa ujacri, ctamgusa mmoja wenu mana wote ni watu wangu wa karibu....mkaianze familia yenu kwa amani ( kama mnadhani mtakuwa nayo)
 
:becky::becky::becky::becky::becky::becky:
loud and clear
 
nakubaliana na wewe 100% tukija kwenye Bible, lakini hapa pia Bible nitaiweka pembeni, mume kando, dada kushoto! nabaki mwenyewe.

Si bora amegwe dada au mdogo wako unakuta na li Mr. linamega wote hao kisha linakuja linamega na mama mkwe yaani vululuvululu mixer mchuzi juu wali chini
 

imagine....inauma sana tena sana hii.
 
Kuna upande mmoja wa shilingi hatujauangalia. haya maneno ya huyu binti mkosaji kwamba 'Amepata alichotaka' yanashitua kidogo. Je haiwezekani kwamba huyu mtindiga ndio alikuwa bwana wake zamani na dada ndio aliingilia kati na kuolewa yeye na ndio maana binti analipiza kisasi??
Hilo moja. Pili ni kwa yule aliyetoa ushauri kwamba mama mwenye nyumba amtimue mdogo wake lakini atakapojifungua amchukue mtoto wamlee na mumewe! Asithubutu, atajitafutia murder case bure maana hasira yote ya kuibiwa mume na mdogo wake itaishia kwa kiumbe cha Mungu. Kitakuwa kinapigwa kofi na kufinywa hata pasipokuwa na ulazima wa kufanya hivyo!
Naungana n anayesema hakuna ndoa hapo. Kila mtu aanze kivyake na zifuate taratibu tu za kugawana mali maana hiyo nyumba haifai hata kubaki na mmojawapo kwani itakuwa inawakumbusha kilichotokea. ipigwe bei na kila mtu akaanze maisha yake upya halafu wanaopendana kweli watatafutana kwa wakti wao hasira zikiwa zimeisha.
Hiki kisingizio cha kwamba msiachane kwa vile watoto watateseka haki-hold water katika dunia tuliyomo. unafokewa, huondoki kwa vile watoto watateseka. Unapigwa kofi, huondoki kwa vile watoto watateseka. Unavunjwa mkono, huondoki kwa vile watoto watateseka. Mwisho wa siku unavunjwa shingo, unaondoka kwenye jeneza na watoto wako wanabaki wanateseka zaidi kuliko ungeondoka ulipopigwa kofi! Hivi ni nani anayesema kwamba watoto wakiondoka na mama yao ni lazima watateseka???
 
Si bora amegwe dada au mdogo wako unakuta na li Mr. linamega wote hao kisha linakuja linamega na mama mkwe yaani vululuvululu mixer mchuzi juu wali chini

akilaal na sis wangu kwangu haina tofauti na kulala na mama yangu, mtoto wake...wote hao kwangu ni sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…