Pains Over My Sister’s Pregnancy For My Husband…

Pains Over My Sister’s Pregnancy For My Husband…

Fidel kosa litakuwa la kwako, na kwa hili tofauti kabisa na nikikufumania nje

Mwanaume siku zote hurusha chambo ukinasa basi mwenye uamuzi wa mwisho wa kumegwa ni mwanamke na si vinginevyo.
Mwanaume hawezi lazimisha kummega mwanamke, mwenye uamuzi wa mwisho ni mwanamke mwenyewe kutanua au kubana.
 
Ni dhambi gani ambayo inaweza kuvunja ndoa na inaruhusiwa hata katika Biblia??
Isipokuwa kwa habari ya Uasherati..... Tena tukifuata Biblia hapa huyo mume na sweetheart wake haramu nafikiri wangewezakupigwa mawe hadi kufa
 
Yaani nimekaa hapa kwenye kibanda changu nawaza..Ni mwanaume gani huyu muuaji
Asubuhi labda mama Kenda Kazini anambanjua mdogo wake mbaya labda kwenye kitanda chake na wife ..
Jioni mama karudi home jamaa anaomba unyumba kwa mama ..

Hivi kweli ina-make sense nackia kudondosha machozi baada ya kukiwaza kisa hiki kwa kina ?????:shocked:
tatizo halipo hapo...!
anabanjuliwa kama kawaida katika sense ya ''maridhiano''.mdogo wako angekuwa na akili asingevua chupi,na angemripoti mumeo kwako WITH IMMEDIATE EFFECT!...

kitu ambacho wanawake wanaona tatizo ni ''hilo swala la mdogo wako''.....na hizo ni formalities tu!mwisho wa siku mdogo wako ni mwanamke kama wewe,na ana hisia kama wewe,na ana (....) kama wewe!

tukijadili swala la ''mdogo wako'' au sababu ni ''ndugu yako'' hatuwezi kupata solutions ya matatizo kama haya!

..i mean kuna parameters nyingine nyingi za kuangalia despite the fact kwamba ni ''mdogo wako''.....!mkikomalia swala la ''udogo wako'' mnakuwa mnafungua milango mingine mingi ya ''infidelity'' kwa watu wasio ''wadogo zenu''
 
Asiwadanganye mtu. Kupiga kura ni haki yako. Usisahau kumpigia kura Mheshimiwa Dr. Slaa hapo oktoba 31.
 
Isipokuwa kwa habari ya Uasherati..... Tena tukifuata Biblia hapa huyo mume na sweetheart wake haramu nafikiri wangewezakupigwa mawe hadi kufa

Hii labda huko kwa Wasonjo lakini kwenye biblia ahaaaa hii hapana wapi imeandikwa MJ1?
 
Asiwadanganye mtu. Kupiga kura ni haki yako. Usisahau kumpigia kura Mheshimiwa Dr. Slaa hapo oktoba 31.

Kitambulisho cha kupigia kura unacho?
Usije ukawa ulisahau mjengo wkt unadu ze nidifull.
 
Kuna upande mmoja wa shilingi hatujauangalia. haya maneno ya huyu binti mkosaji kwamba 'Amepata alichotaka' yanashitua kidogo. Je haiwezekani kwamba huyu mtindiga ndio alikuwa bwana wake zamani na dada ndio aliingilia kati na kuolewa yeye na ndio maana binti analipiza kisasi??
Hilo moja. Pili ni kwa yule aliyetoa ushauri kwamba mama mwenye nyumba amtimue mdogo wake lakini atakapojifungua amchukue mtoto wamlee na mumewe! Asithubutu, atajitafutia murder case bure maana hasira yote ya kuibiwa mume na mdogo wake itaishia kwa kiumbe cha Mungu. Kitakuwa kinapigwa kofi na kufinywa hata pasipokuwa na ulazima wa kufanya hivyo!
Naungana n anayesema hakuna ndoa hapo. Kila mtu aanze kivyake na zifuate taratibu tu za kugawana mali maana hiyo nyumba haifai hata kubaki na mmojawapo kwani itakuwa inawakumbusha kilichotokea. ipigwe bei na kila mtu akaanze maisha yake upya halafu wanaopendana kweli watatafutana kwa wakti wao hasira zikiwa zimeisha.
Hiki kisingizio cha kwamba msiachane kwa vile watoto watateseka haki-hold water katika dunia tuliyomo. unafokewa, huondoki kwa vile watoto watateseka. Unapigwa kofi, huondoki kwa vile watoto watateseka. Unavunjwa mkono, huondoki kwa vile watoto watateseka. Mwisho wa siku unavunjwa shingo, unaondoka kwenye jeneza na watoto wako wanabaki wanateseka zaidi kuliko ungeondoka ulipopigwa kofi! Hivi ni nani anayesema kwamba watoto wakiondoka na mama yao ni lazima watateseka???

Baba Desi leo ungekuwa karibu yangu cjui ningekupa nini! very well said ma bro...hivi vicngizio vya watoto vinaniboa sana, yaani mtu unajifia kiundani kisa kusema watoto, mbona ndio nitazidi kuchakarika ili watoto waneemeke, hapo baadae nikija kuwahadithia wanangu wenyewe watanidharau kwa kujiachia nikiteseka kisa nawacngizia cjui wangekosa upendo wa dady( dady my foot).....
 
ni utashi tu wa mtu katika haya mambo. ukiona matamanio yatakushinda bora ujenge mazingira huyo anayekushawishi atoke kwa amani.
 
Mwanaume siku zote hurusha chambo ukinasa basi mwenye uamuzi wa mwisho wa kumegwa ni mwanamke na si vinginevyo.
Mwanaume hawezi lazimisha kummega mwanamke, mwenye uamuzi wa mwisho ni mwanamke mwenyewe kutanua au kubana.

Hapo mukulu nakupinga kwa asilimia 500.

BTW leo wikendi hatuendi kupata al-batar?........Kama kuna mtu kanionea Gaijin tafadhali aniambie kuna mambo mengi nimeyapitia humu yanahitaji ufafanuzi wa kitaaluma. (Lugha ya Taifa ihimidiwe)
 
Kitambulisho cha kupigia kura unacho?
Usije ukawa ulisahau mjengo wkt unadu ze nidifull.

Hahahaha! Pale mwarubaini kuna kunguni balaa. Una do ze niidful ukiwa umetinga viwalo. Yaani ndudu unanchomolea sruu zipu highway!
 
Hapo mukulu nakupinga kwa asilimia 500.

BTW leo wikendi hatuendi kupata al-batar?........Kama kuna mtu kanionea Gaijin tafadhali aniambie kuna mambo mengi nimeyapitia humu yanahitaji ufafanuzi wa kitaaluma. (Lugha ya Taifa ihimidiwe)

Hahahahaha Valuu zimepanda bei bana buku 3000 sasa hivi dah wanataka tunywe gongo?
Mkuu kumega ni makubaliano ya mwanamme na mwanamke.
 
Kuna upande mmoja wa shilingi hatujauangalia. haya maneno ya huyu binti mkosaji kwamba 'Amepata alichotaka' yanashitua kidogo. Je haiwezekani kwamba huyu mtindiga ndio alikuwa bwana wake zamani na dada ndio aliingilia kati na kuolewa yeye na ndio maana binti analipiza kisasi??
Hilo moja. Pili ni kwa yule aliyetoa ushauri kwamba mama mwenye nyumba amtimue mdogo wake lakini atakapojifungua amchukue mtoto wamlee na mumewe! Asithubutu, atajitafutia murder case bure maana hasira yote ya kuibiwa mume na mdogo wake itaishia kwa kiumbe cha Mungu. Kitakuwa kinapigwa kofi na kufinywa hata pasipokuwa na ulazima wa kufanya hivyo!
Naungana n anayesema hakuna ndoa hapo. Kila mtu aanze kivyake na zifuate taratibu tu za kugawana mali maana hiyo nyumba haifai hata kubaki na mmojawapo kwani itakuwa inawakumbusha kilichotokea. ipigwe bei na kila mtu akaanze maisha yake upya halafu wanaopendana kweli watatafutana kwa wakti wao hasira zikiwa zimeisha.
Hiki kisingizio cha kwamba msiachane kwa vile watoto watateseka haki-hold water katika dunia tuliyomo. unafokewa, huondoki kwa vile watoto watateseka. Unapigwa kofi, huondoki kwa vile watoto watateseka. Unavunjwa mkono, huondoki kwa vile watoto watateseka. Mwisho wa siku unavunjwa shingo, unaondoka kwenye jeneza na watoto wako wanabaki wanateseka zaidi kuliko ungeondoka ulipopigwa kofi! Hivi ni nani anayesema kwamba watoto wakiondoka na mama yao ni lazima watateseka???


No huyu inawezekana alikuwa anamkomoa dada yake labda aliona maisha ya dada na mmewe ni mazuri akawa anayatamani ...au yeye ni nungayembe alitamani tu kumuharibia dada yake ili aone dada atafanya nini??
Hivi kumbe kuua ni dhambi ee ? ndo maana wapo wanaoua pasipo kukusudia
 
Asprin lugha ya taifa inakupa tabu wewe..............halafu ujue kuwa tunaweza kukukosesha ubunge kwa hilo tu!...tukasema si raia!:smile-big:
 
Hahahaha! Pale mwarubaini kuna kunguni balaa. Una do ze niidful ukiwa umetinga viwalo. Yaani ndudu unanchomolea sruu zipu highway!

Hahahaha nimepata mzigo lainiiiii Kigogo huku ulivyo heavy tunaweza wapa kero majirani.
Naomba location ya kule godoro linawekwa mchanga.
 
Malaki 2:15, 16
Kwa hiyo jihadharini roho zenu; mtu awaye yote asimtende mke wa ujana wake mambo ya hiana. Maana mimi nakuchukia kuachana, asema BWANA.
 
No huyu inawezekana alikuwa anamkomoa dada yake labda aliona maisha ya dada na mmewe ni mazuri akawa anayatamani ...au yeye ni nungayembe alitamani tu kumuharibia dada yake ili aone dada atafanya nini??
Hivi kumbe kuua ni dhambi ee ? ndo maana wapo wanaoua pasipo kukusudia

huyo mama bado yupo kwenye hiyo ndoa?
 
Hahahahaha Valuu zimepanda bei bana buku 3000 sasa hivi dah wanataka tunywe gongo?
Mkuu kumega ni makubaliano ya mwanamme na mwanamke.

Kumega ni uamuzi wa mwanaume.... Period!
 
Back
Top Bottom