paint it the way you see it

Kama ulijua Klorokwini,kabla ya kufungua nipoona started by Hashycool,nilifungua nikijua kutakuwa na udhalilishaji na kweli ndo nilichokuta,He is so predictable!!:car::car:

sasa mi nauliza hapo nani anamfisadia mwenzie? mtoto au mwalimu?
 
Kinachofanya uzalilishaji ni hiyo meza kuwa juu ambako wanafunzi wanaweza mchungulia mwanafunzi na Hashy akaona ailete hii art hapa while kuna art nyingine nyingi tu anazo?????

kwa nini avae vile?
 
Kinachofanya uzalilishaji ni hiyo meza kuwa juu ambako wanafunzi wanaweza mchungulia mwanafunzi na Hashy akaona ailete hii art hapa while kuna art nyingine nyingi tu anazo?????




Hapo ni kama unamnyanyapaa tu kaka wa watu wakati haya mambo yapo na yanakwaza wengi,mimi nikikumbuka mwalimu wangu wa hisabati form 2 alikuwa hivyohivyo,basi tangu anaingia darasani mpaka anatoka mimi utulivu ulikuwa sifuri ndani ya boxer yangu na ukizingatia kuwa wakati huo ndio balehe imekolea basi we!!Kwa upendo tu NECTA wakanizawadia F ya hesabu form two.
 

Ha ha ha ha,una mambo PM........:smile-big:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…