Mwita Mtu Mrefu
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 739
- 1,113
Karibu sana mkuu.P.A,J/E?R[O
Gari ni nzima.ina tatizo gani mkuu?
Gari ya moto sana hii Mkuu, pesa ndio shida tu.Karibu sana mkuu.
Tunakupa mafuta lita 20 za kuondokea baada ya kufanya biashara.
Call 0744033555
...........Ili mnunuzi awahi kuondoka sio kuzubaa machinjioniKaribu sana mkuu.
Tunakupa mafuta lita 20 za kuondokea baada ya kufanya biashara.
Call 0744033555
Ni utaratibu wangu mkuu...........Ili mnunuzi awahi kuondoka sio kuzubaa machinjioni
π π π π π π π dah kmmmmmk...........Ili mnunuzi awahi kuondoka sio kuzubaa machinjioni
ok poaNi utaratibu wangu mkuu
Nauza pikipiki used, natoa wese lita 5
Simu used, natoa vocha ya buku
Ni aina tu ya kuchangamsha genge
Hahahah lita 20 hazitoshi mpe na mke kabisa wa kumliwaza na stress za hio kichaa.Karibu sana mkuu.
Tunakupa mafuta lita 20 za kuondokea baada ya kufanya biashara.
Call 0744033555
π π π π πHahahah lita 20 hazitoshi mpe na mke kabisa wa kumliwaza na stress za hio kichaa.
Hatari wapi mkuu chukua mchuma huoHatari hii
Kaka namba ipo hapo juu karibu sanaNakuonge 1.5mil kaka.... Niletee