Paji la uso na siri ya jicho la tatu

mshana jr hiyo namba saba

Naomba uielezee kiundani zaidi hat kidogo.. inakuwaje hivyo mtu kuumia?

Hili jicho la tatu ndio yale Dr. Shika aliongelea ukimwangalia mtu aliyelala...?
Namba saba kuna mada yake nitakutag, na hiyo ya Dr Shika ipo pia mada yake na kama nilikuona ukishiriki... Anyway takutag zote
 


Nikisoma thread zako huwa nnajifunza vitu vipya sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…