Kwakweli ni ngumu kufafanua kwa maandishi lakini huwezi kuwa wewe tena ukishaweza kwakuwaSawa sasa unalitumiaje?
Ubani hii inayotumika kwenye chetezo kanisani ? ni ya majini na mapepo? naomba ufafanuzi. inatumika kuyaita au kuyafukuza au kuyaabuduHayo ni mambo ya majini na mapepo
Kasinde kwanza chuma ulete ni pepo la kimaskini na halina nguvu kivile
Pili reply yako hii majibu yake ni mengi na yanajibiwa kwenye post kama nne tofauti nitajitahidi kukuwekea link zake na pengine kuna baadhi ni naamini umezisoma
Kwanini mkuuHata maiti halazwi kifudifudi
Hapa Duniani tupo shuleni na lengo la kuzaliwa ni kujifunza lakini unapokufa maana yake unarudi nyumbaniMshana jr sorry kwa mtazamo wako kwa nini sisi binadamu tupo hapa,lengo la kuzaliwa,kuzaliana hatimaye kufa ni nini kwa mtazamo ukijumlisha nondo mbalimbali ulizosoma na kujifunza pia.
Mshana Jr ameruhusu [emoji125][emoji125][emoji125]Jaribu kama sheria na taratibu za nchi zinaruhusu
Ok, nimekupata mkuu, je huko nyumbani ndio wapi sasa?Hapa Duniani tupo shuleni na lengo la kuzaliwa ni kujifunza lakini unapokufa maana yake unarudi nyumbani
Kiimani katika ukristo, kwenye ubatizo alama ya msalaba kwenye paji la uso ndio hukamilisha tendo na kuwa Mkristo kamili sasa.. Lakini pia ukisoma kitabu cha ufunuo na habari za kutiwa Muhuri katika paji la uso utafahamu zaidi..
Kwenye Uislam tunajua nini maana na umuhimu wa swala tano na kuthibitisha uchaji wako katika swala tano ni sigida kwenye paji la uso.