winston20
JF-Expert Member
- Jun 21, 2020
- 1,116
- 2,303
Cheka kidogo
Anakuja Mchina anasema anahitaji Paka[emoji250],
ananunua mmoja kwa bei ya 20,000/=, basi
wanakijiji wanahaha kusaka Paka[emoji250],
wanawaleta mchina ananunua wote anasepa
nao. Anarudi tena anasema vipi, naona
wameadimika, sasa ntanunua kwa bei ya
35,000 Paka[emoji250] mmoja, wanakijiji wanaenda
deep zaidi msituni, kamata Paka[emoji250], leta kwa
mchina, mchina anasepa nao.
Afu wiki
mnayofuatia Mchina anasema bado anataka
Paka[emoji250], saivi atanunua kwa Laki. Wanakijiji
macho yamewatoka, hawana tena paka[emoji250].
Mchina anasema basi ntaftieni kwa Laki na
Nusu. Keshoake inasikika kuwa kuna Mchagga
anauza Paka kijiji cha pili, anauza kwa
100,000/=, wanakijiji wanawahi fasta
wanaenda nunua Paka[emoji250][emoji250][emoji250][emoji250] wote wa kijiji cha
pili. Wanarudi kijijini hawana pesa ila wana
Mapaka [emoji250][emoji250][emoji250] wakijua watamuuzia mchina fasta kwa
laki na nusu, Mchina hatokei Ng'oooo!!!!
Infact, yule mchina alikuwa anawakusanya tu na kuwahifadhi kule kijiji cha pili akijua ataja wauza kwa 100,000/= kwa hawa hawa wa kijiji hiki.
Huu mchezo hauhitaji hasira
Anakuja Mchina anasema anahitaji Paka[emoji250],
ananunua mmoja kwa bei ya 20,000/=, basi
wanakijiji wanahaha kusaka Paka[emoji250],
wanawaleta mchina ananunua wote anasepa
nao. Anarudi tena anasema vipi, naona
wameadimika, sasa ntanunua kwa bei ya
35,000 Paka[emoji250] mmoja, wanakijiji wanaenda
deep zaidi msituni, kamata Paka[emoji250], leta kwa
mchina, mchina anasepa nao.
Afu wiki
mnayofuatia Mchina anasema bado anataka
Paka[emoji250], saivi atanunua kwa Laki. Wanakijiji
macho yamewatoka, hawana tena paka[emoji250].
Mchina anasema basi ntaftieni kwa Laki na
Nusu. Keshoake inasikika kuwa kuna Mchagga
anauza Paka kijiji cha pili, anauza kwa
100,000/=, wanakijiji wanawahi fasta
wanaenda nunua Paka[emoji250][emoji250][emoji250][emoji250] wote wa kijiji cha
pili. Wanarudi kijijini hawana pesa ila wana
Mapaka [emoji250][emoji250][emoji250] wakijua watamuuzia mchina fasta kwa
laki na nusu, Mchina hatokei Ng'oooo!!!!
Infact, yule mchina alikuwa anawakusanya tu na kuwahifadhi kule kijiji cha pili akijua ataja wauza kwa 100,000/= kwa hawa hawa wa kijiji hiki.
Huu mchezo hauhitaji hasira