Paka wakamata panya wanauzwa

Paka wakamata panya wanauzwa

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2012
Posts
10,307
Reaction score
25,932
Paka wenye umri wa miezi miwili ambao ni wa asili na wakamata panya mahiri wanauzwa. Wako watatu. Kila mmoja ni shilingi elfu arobaini. Wanapatikana Survey hapa Dar es Salaam. Wale wote mnaokabiliwa na tatizo la panya majumbani mwenu hapa Dar na kwingineko wahini hii fursa ya kumaliza tatizo lenu.

Mawasiliano ni yangu binafsi kwa njia ya PM.

Nyote mnakaribishwa!
 
Kesi ya ngedere unampa nyani. Ngoja wa-team-up watatafuna hadi tyres.

Swali: Hao panya mshahara wao nini? Yaani wanalipwa nini? Hamna kitu cha bure Bongo. Usiniambie wao wakinywa maji tu inatosha.
 
8A2E1A78-A984-4B28-B56A-5D393D6C4519.jpeg
Mama shughuli huyu hapa, mie nahitaji elfu 25 tu kuja kumaliza panya wote ndani ya week 1 hamna jerry atakaebaki salama hapo kwako
 
Back
Top Bottom