King Mbappe
JF-Expert Member
- Jul 26, 2018
- 1,195
- 2,053
mkuu mi nahitaji paka ambae akikamata panya anaenda nae kwa mpalangeUkimpata panya anaeweza kumfunga paka kengele nishtue.
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu mi nahitaji paka ambae akikamata panya anaenda nae kwa mpalangeUkimpata panya anaeweza kumfunga paka kengele nishtue.
Nafikiri shida yako ipo kwenye kufikiriKama sina Panya kwangu wakukamatwa na hao Paka,
Hao Panya nao utaniuzia pia?
Mkuu kama huko uliko kuna biashara nzuri, basi tunaweza kuingia mkataba niwe nakuagizia paka wa kutosha kwa njia ya basi kila wiki/mwezi!!Hakika. Mamaa huwa anataka kutoka nje. Akalitafuta na kulipata...
Paka wenye umri wa miezi miwili ambao ni wa asili na wakamata panya mahiri wanauzwa. Wako watatu. Kila mmoja ni shilingi elfu arobaini. Wanapatikana Survey hapa Dar es Salaam. Wale wote mnaokabiliwa na tatizo la panya majumbani mwenu hapa Dar na kwingineko wahini hii fursa ya kumaliza tatizo lenu.
Mawasiliano ni yangu binafsi kwa njia ya PM.
Nyote mnakaribishwa!
😁😁😁😁 Nyinyi si mnatusema kwamba Watumishi wa umma hatujiongezi kufanya biashara na shughuli za ufugaji ili kujiongezea kipato!! Sasa tumeamua kuanza na biashara ya PAKA!!From lawyer to mjasiria mali muuza paka!!! Ama kweli vyuma VIMEKAZA 😂😂😂😂😂
😁😁😁😁 Nyinyi si mnatusema kwamba Watumishi wa umma hatujiongezi kufanya biashara na shughuli za ufugaji iki kujiongezea kipato!! Sasa tumeamua!!
Mkuu mjini hapa yanafanyika mambo yote. Uje uchukue mmojaFrom lawyer to mjasiria mali muuza paka!!! Ama kweli vyuma VIMEKAZA 😂😂😂😂😂
Unamlisha kawaida tuWashawamaliza hao panya naanza kuwapa menu..., au wakati wanawakamata au panya menu inahusika ?
Watu wa humu akili zao wanazijua wenyewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]mkuu mi nahitaji paka ambae akikamata panya anaenda nae kwa mpalange
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
PakaKuna paka,nyau,pakashume,vimburu hao wanyama wako category ipi??
Mkuu mjini hapa yanafanyika mambo yote. Uje uchukue mmoja
Wapo mkuu. Wangu ni kibokoHivi kuna paka anayepambana na panya miaka hii?
Naona kama watu wamegeuza nyau kuwa viumbe wa kuranda randa ndani tu...
hahahah ili taifa lina watu wa hovyo sanamkuu mi nahitaji paka ambae akikamata panya anaenda nae kwa mpalange
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Nafikiri shida yako ipo kwenye stress ya maisha,unaonekana umepigika kinoma,Nafikiri shida yako ipo kwenye kufikiri