Pre GE2025 Pakifanyika Reforms kwenye Katiba kupata Tume huru ya Uchaguzi, Watanzania wanaweza kuiamini na kuipigia kura CCM, tuondoe hofu

Pre GE2025 Pakifanyika Reforms kwenye Katiba kupata Tume huru ya Uchaguzi, Watanzania wanaweza kuiamini na kuipigia kura CCM, tuondoe hofu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Rabbon

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
21,625
Reaction score
33,688
Hellow Tanzania.

Nani anaingiza HOFU ndani ya chama Cha MAPINDUZI kuwa, pakifanyika Reforms kwenye Katiba tukapata Tume huru ya Uchaguzi, kwamba CCM itaanguka na kushindwa vita ya Uchaguzi mkuu?

CCM Ina mtajj mkubwa wa wanachama Nchi nzima, na wamefanikiwa kumtangaza Mwenyekiti wa chama kwenye mabango na picha kwenye bodaboda zilizotapakaa Nchi nzima,

CCM Ina ofisi Nchi nzima Hadi mashinani huko,

CCM Ina vitegauchumi na inapokea ruzuku ya kutosha Kila mwezi, Bilioni zaidi ya 3. Mtaji wa viongozi waliopikwa ,wasomi inayo.nk nk

Mabalozi wa nyumba kumi kumi Nchi nzima ni CCM, sasa HOFU ya kushindwa vita ya Uchaguzi inatoka wapi?

Mzee Kikwete aliruhusu Mchakato wa Katiba mpya kuanza Ili kuwahakikishia WAPINZANI kuwa CCM inaweza kushinda uchaguzi Kwa namna yoyote.

Ushauri: CCM itoke mbele na kukubali Reforms kwenye Katiba Ili Tume huru ya Uchaguzi ipatikane Ili CCM ishinde Kwa kishindo na WAPINZANI wakiongozwa na TUNDU Lissu, wakose pa kuficha sura zao Kwa Aibu.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni 🙏
 
Duniani kote Hakunaga Tume Huru ya uchaguzi

Ulale Unono 😀
Nawe huamini kuwa CCM inaweza kushinda uchaguzi pakiwepo Tume huru ya Uchaguzi?

Hujui watajitojeza wananchi wengi zaidi kuipigia kura CCM Kwa kutimiza jambo Hilo muhimu Kwa ustawi wa Nchi?

Hii HOFU ndio ilisababisha shujaa wako kuharibu uchaguzi ilhali angeweza kushinda bila kuingiza kura fake.
 
Hellow Tanzania.

Nani anaingiza HOFU ndani ya chama Cha MAPINDUZI kuwa, pakifanyika Reforms kwenye Katiba tukapata Tume huru ya Uchaguzi, kwamba CCM itaanguka na kushindwa vita ya Uchaguzi mkuu?

CCM Ina mtajj mkubwa wa wanachama Nchi nzima, na wamefanikiwa kumtangaza Mwenyekiti wa chama kwenye picha za boda boda zilizotapakaa Nchi nzima,

CCM Ina ofisi Nchi nzima Hadi mashinani huko,

Mabalozi wa nyumba kumi kumi Nchi nzima ni CCM, sasa HOFU ya kushindwa vita ya Uchaguzi inatoka wapi?

Ushauri: CCM itoke mbele na kukubali Reforms kwenye Katiba Ili Tume huru ya Uchaguzi ipatikane Ili CCM ishinde Kwa kishindo na WAPINZANI wakose pa kuficha sura zao Kwa Aibu.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni 🙏
Hivi Tume Huru inafananaje? Itakuwa na aliens?
 
Nawe huamini kuwa CCM inaweza kushinda uchaguzi pakiwepo Tume huru ya Uchaguzi?

Hujui watajitojeza wananchi wengi zaidi kuipigia kura CCM Kwa kutimiza jambo Hilo muhimu Kwa ustawi wa Nchi?

Hii HOFU ndio ilisababisha shujaa wako kuharibu uchaguzi ilhali angeweza kushinda bila kuingiza kura fake.
Tume Huru ya uchaguzi ni Mambo ya kusadikika 😀😀
 
Hivi Tume Huru inafananaje? Itakuwa na aliens?
Rais ambaye pia ni Mwenyekiti wa chama, hatoteua wakurugenzi kusimamia uchaguzi.

Bado wananchi wanaweza kuiamini CCM na kuipigia kura za ushindi wa kishindo.

Tusijazane HOFU, CHADEMA Bado ni chama kidogo, Haina mtaji wa wapiga kura kulinganisha na CCM.
 
Rais ambaye pia ni Mwenyekiti wa chama, hatoteua wakurugenzi kusimamia uchaguzi.

Bado wananchi wanaweza kuiamini CCM na kuipigia kura za ushindi wa kishindo.

Tusijazane HOFU, CHADEMA Bado ni chama kidogo, Haina mtaji wa wapiga kura kulinganisha na CCM.
Kwahiyo watachaguliwa na nani? Aliens?
 
Hellow Tanzania.

Nani anaingiza HOFU ndani ya chama Cha MAPINDUZI kuwa, pakifanyika Reforms kwenye Katiba tukapata Tume huru ya Uchaguzi, kwamba CCM itaanguka na kushindwa vita ya Uchaguzi mkuu?

CCM Ina mtajj mkubwa wa wanachama Nchi nzima, na wamefanikiwa kumtangaza Mwenyekiti wa chama kwenye picha za boda boda zilizotapakaa Nchi nzima,

CCM Ina ofisi Nchi nzima Hadi mashinani huko,

Mabalozi wa nyumba kumi kumi Nchi nzima ni CCM, sasa HOFU ya kushindwa vita ya Uchaguzi inatoka wapi?

Ushauri: CCM itoke mbele na kukubali Reforms kwenye Katiba Ili Tume huru ya Uchaguzi ipatikane Ili CCM ishinde Kwa kishindo na WAPINZANI wakose pa kuficha sura zao Kwa Aibu.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni 🙏
Ccm wanajua kabisa kuwa hawakubaliki, Nani anaridhishwa na maendeleo yaliyopo?
 
Kwako Lucas Mwashambwa, Ritz, FaizaFoxy ,Malaria 2 ,ChoiceVariable

Hii HOFU ya kushindwa uchaguzi Eti Kwa kubadili tu Katiba mpya kupata Tume huru ya Uchaguzi Si sahihi,

CCM inaweza kushinda uchaguzi hata bila ya Rais kuteua wakurugenzi kusimamia uchaguzi ambao anawalipa mishahara na kuwateua.
 
Sasa huoni kuwa wakikubali ije Tume huru ya Uchaguzi,Watanzania watawaamini na kuwapa kura?
Watanzania sio wapumbavu kiasi hicho. Hamna katiba mpya wala maridhiano, CCM inateka, inaua, inawatia watu magerezani na kuwanyima dhamana na kuwafanyia madhila mengi sababu iwatishe raia wengine.

Hiki ni kipimo tosha cha kukataliwa
 
Watanzania sio wapumbavu kiasi hicho. Hamna katiba mpya wala maridhiano, CCM inateka, inaua, inawatia watu magerezani na kuwanyima dhamana na kuwafanyia madhila mengi sababu iwatishe raia wengine.

Hiki ni kipimo tosha cha kukataliwa
Kwa kuwa Sanduku la kura linanajisiwa ndio Hasa chanzo Cha kutokubaliwa CCM,

Sasa wakikubali Tume huru ya Uchaguzi na Sanduku la kura likaheshimika,

Huoni kuwa wananchi wanaweza kuchagua CCM Kwa kusikia matakwa Yao waliyoyapuuza kabla?

Ukitubu na kuacha UOVU,unasamehewa na maisha yakaendelea.

Kuruhusu Lissu atambe Kwa HOJA hafifu hiyo Si sawa.
 
Katibu mkuu Nchimbi aione hii.

CCM ni chama kikubwa, Bado kinaweza kushinda vita ya Uchaguzi pakiwepo Tume huru ya Uchaguzi.
 
Back
Top Bottom