Hellow Tanzania.
Nani anaingiza HOFU ndani ya chama Cha MAPINDUZI kuwa, pakifanyika Reforms kwenye Katiba tukapata Tume huru ya Uchaguzi, kwamba CCM itaanguka na kushindwa vita ya Uchaguzi mkuu?
CCM Ina mtajj mkubwa wa wanachama Nchi nzima, na wamefanikiwa kumtangaza Mwenyekiti wa chama kwenye mabango na picha kwenye bodaboda zilizotapakaa Nchi nzima,
CCM Ina ofisi Nchi nzima Hadi mashinani huko,
CCM Ina vitegauchumi na inapokea ruzuku ya kutosha Kila mwezi, Bilioni zaidi ya 3. Mtaji wa viongozi waliopikwa ,wasomi inayo.nk nk
Mabalozi wa nyumba kumi kumi Nchi nzima ni CCM, sasa HOFU ya kushindwa vita ya Uchaguzi inatoka wapi?
Mzee Kikwete aliruhusu Mchakato wa Katiba mpya kuanza Ili kuwahakikishia WAPINZANI kuwa CCM inaweza kushinda uchaguzi Kwa namna yoyote.
Ushauri: CCM itoke mbele na kukubali Reforms kwenye Katiba Ili Tume huru ya Uchaguzi ipatikane Ili CCM ishinde Kwa kishindo na WAPINZANI wakiongozwa na TUNDU Lissu, wakose pa kuficha sura zao Kwa Aibu.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Karibuni 🙏
Nani anaingiza HOFU ndani ya chama Cha MAPINDUZI kuwa, pakifanyika Reforms kwenye Katiba tukapata Tume huru ya Uchaguzi, kwamba CCM itaanguka na kushindwa vita ya Uchaguzi mkuu?
CCM Ina mtajj mkubwa wa wanachama Nchi nzima, na wamefanikiwa kumtangaza Mwenyekiti wa chama kwenye mabango na picha kwenye bodaboda zilizotapakaa Nchi nzima,
CCM Ina ofisi Nchi nzima Hadi mashinani huko,
CCM Ina vitegauchumi na inapokea ruzuku ya kutosha Kila mwezi, Bilioni zaidi ya 3. Mtaji wa viongozi waliopikwa ,wasomi inayo.nk nk
Mabalozi wa nyumba kumi kumi Nchi nzima ni CCM, sasa HOFU ya kushindwa vita ya Uchaguzi inatoka wapi?
Mzee Kikwete aliruhusu Mchakato wa Katiba mpya kuanza Ili kuwahakikishia WAPINZANI kuwa CCM inaweza kushinda uchaguzi Kwa namna yoyote.
Ushauri: CCM itoke mbele na kukubali Reforms kwenye Katiba Ili Tume huru ya Uchaguzi ipatikane Ili CCM ishinde Kwa kishindo na WAPINZANI wakiongozwa na TUNDU Lissu, wakose pa kuficha sura zao Kwa Aibu.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Karibuni 🙏