Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
Tokea ipate uhuru Pakistan hakuna waziri mkuu aliyedumu kwa mda wa miaka 5, wengi wao ni miaka 4, 3 au siku kadhaa tu, hii inatokana na mfumo wao wa bunge ambao Mara nyingi unamuwih vigumu kwa mgombea kuwa na majority bungeni, hii inalazimisha kuunda serekali ya mseto ikitokea pande moja uhalali wa serekali kuendelea kutawala
Sababu nyingine ni mfumo wa mahakama, Pakistan mahakama mda wowote inamuondolea kinga waziri mkuu na
Sababu nyingine ni mfumo wa mahakama, Pakistan mahakama mda wowote inamuondolea kinga waziri mkuu na