Pakistan sasa ndio inaongoza kwa kuagiza bidhaa kutoka Kenya, ikumbukwe na Marekani tunaingia nao mkataba

Pakistan sasa ndio inaongoza kwa kuagiza bidhaa kutoka Kenya, ikumbukwe na Marekani tunaingia nao mkataba

Hapo hujaprove kwamba Kenya sio biggest exporter of black tea. Ulichofanya wewe ni kuprove kwamba kenya ni ya nne 2019 kwenye kuexport chai ukijumlisha aina zote. Hilo jedwali halichagui rangi ya chai. Huko China na India wanapenda green tea. Waarabu, Wazungu na Waafrika wanapenda black tea. Bado nabakia kwenye point yangu ya awali kuwa Kenya ndio the biggest exporter of BLACK tea duniani. Sasa soma hii link ya reuters inayosema wazi wazi bila kuficha kuwa Kenya ndio biggest exporter of black tea na inazungumzia mwaka wa 2019.



Kenya's tea export earnings drop 16% in 2019 on low prices



A worker picks tea leaves at a plantation near the town of Limuru in Kiambu County, near Nairobi, Kenya, January 20, 2020. REUTERS/Baz Ratner
NAIROBI (Reuters) - Kenya’s earnings from tea exports dropped by 16.4% last year to 117 billion shillings ($1.16 billion) as production edged down and average prices of the commodity slid, the industry regulator said on Friday.
The East African nation, which is the biggest exporter of black tea in the world, produced 458.85 million kilograms of the crop, down 6.95% from the previous year, the regulator Tea Directorate said in a report.
ADVERTISEMENT

“Lower earnings were attributed to low auction prices,” the regulator said.
The average price of Kenyan tea fell to $2.21 per kilogramme during the period, from $2.58 per kg a year earlier, the Tea Directorate said, attributing the drop to an oversupply.

Production is likely to increase marginally this year along with export earnings, it said. Some of the main buyers of Kenyan tea include Pakistan, Egypt and Britain.
($1 = 100.7500 Kenyan shillings)

Kenya's tea export earnings drop 16% in 2019 on low prices
Hiyo ya black tea ni sawa na wala sijapinga.Mnaongoza!
 
Hongera na pongezi za dhati ziwafikie timu inayopambana kutafuta soko la mbali, hii muhimu sana maana humu EAC na Afrika ya kati wote tushawatia kwapani, sasa ni mwendo wa kuhakikisha na huko nje wote tunawaburuza.

Pakistan ambao tunawauzia majani chai kwa wingi, uagizaji wao ulipandisha 19.37% na kufanya biashara ya Ksh24.13 billion (au $225 million za Kimarekani).

Haka kainchi ketu kadogo tena asilimia kubwa kame tupu lakini akili kubwa ndio nguzo yetu.

=====

Pakistan overtook Uganda to become the biggest buyer of Kenyan goods in the first five months of the year after supplies to Kampala were largely slowed by coronavirus-induced delays at the border.

Earnings from exports to Pakistan, predominantly tea, bumped 19.37 percent to Ksh24.13 billion ($225 million), pushing the world's fifth most populous country back to the summit of top importers of Kenyan products for the first time since 2017, official data shows.

The data collated by the Kenya National Bureau of Statistics (KNBS) shows supplies to the land-locked Uganda, Kenya’s largest overall trading partner, dropped 5.65 percent to Ksh20.22 billion ($189 million), largely hurt by delays in April and May due to a requirement for truckers to have Covid-free certificates.

That slowed delivery of goods – including vegetable oils, fuel, iron and steel as well as paper and paperboard– to Kampala, pushing the country down to third biggest buyer of Kenya’s after being leapfrogged by the United Kingdom (UK).

Revenue from exports to the UK, the former Kenya’s colonial master, grew at the fastest pace of 30.06 percent to Ksh21.49 billion ($200 million) on increased demand for fresh farm produce such as fruits, cut flowers and vegetables.

Kenya Flower Council, the lobby for large-scale flower farms, said demand for Kenyan fresh produce in Europe and other key destinations has been rising since April at about 30 percent of targeted sales to current levels of nearly 75 percent.

Pakistan overtakes Uganda as top Kenyan goods buyer
Bure kabisa !!!
ndo nini sasa kujimwambafy wakati bado hali yako mi dhaifu
 
Kwani pesa ya mpakistani inanuka mavi na ya mganda inanuka manukato? Wacha racism. Pesa ifuatwe mahali popote ipatikanapo.
Hutakiwi kujisifia kijinga hivo....mbona Uganda walipokua wanaongoza hamkuwasifia? Acha kua watumwa wa fikra
 
Tanzania hakuna Uhuru wa habari kwa hiyo miaka 100 inayokuja hakutakua na any reference material ya kusoma
Kutakua tu na mapambio ya CCM kwa library za tz [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nani kakudanganya uhuru upo sana tu
 
Mnafurahia kuwauzia zaidi wapakistani kuliko kufurahia kuwauzia ndugu zenu Uganda?
Tunafurahia ongezeko la uuzaji. Kama tungekuwa tumeongeza uuzaji wa bidhaa Tanzania, tungefurahia pia.
Its business, nothing personal.

Waganda wakiongeza ununuaji na kuwapita wapakistani, tunajisifia pia.
 
Tunafurahia ongezeko la uuzaji..
Kama tungekuwa tumeongeza uuzaji wa bidhaa Tanzania, tungefurahia pia..
Its business, nothing personal.

Waganda wakiongeza ununuaji na kuwapita wapakistani, tunajisifia pia.
Mbona hamkuwasifia walipokua wanaongoza? Utumwa wa fikra
 
As the world bank predicted doom, that Kenyan economy would grow by 2% only, Q1 growth is 4.9%.

In Q2 capital spending on Infrastructure has gone up driven by private investments in road and energy especially the kshs 62 billion Nairobi expressway whose construction has begun.

Q2 has also seen growth in Manufacturing of personal protection equipment and hygiene products, where Kenya is now among the top manufacturers in africa with exports destined to Uganda, south africa, south sudan, DRC etc.

Conclusion: The resilience of the Kenyan economy always surprises in times of crisis.
 
Ndio umesema nini hapa labda, nashauri urudi kitandani ukamilishe usingizi kisha uje uhariri hili bandiko lako bila maruerue.
Hapo hujanya kama wiki unasubiri mgao wa maji kibera
 
hongera zetu sn kwa hili dili na mpakistani...ss na wao ni wamojaa! yaani tunaendana, waswahili tupa kuleeee...........^😂
 
Mbona ni vitu vya kawaida sana hivi? Demand ya Tanzanite kutoka Tanzania ni kubwa kuliko uwezo wetu wa ku supply, lakini hatujisifu wala kuvimba.
Sasa unaringia nani na kitu ambacho kinapatikana ardhini!??? Yani hata kama lile eneo la ardhi linaloitwa Tanzania lingekua linaishi nyani na tumbiri pekee na hakungekua na binadamu hata mmoja, bado hio Tanzanite ingekua ni export kubwa manake kampuni za kigeni bado zingefika hapo na kuchimba migodi.
Jisifie na kitu ambacho bila jasho, mikono au ujasiriamali wa mtanzania hicho kitu hakingefanyika, kwahivyo hata afadhali ungenisifia na uuzaji wa korosho manake ni nyinyi wananchi ndo mlipanda korosho, mkavuna, mkatayarisha ndo mkauza. Lakini madini hamkuyapanda, kazi yenu kupeana leseni yachimbwe, mketi chini mgoje madini yauzwe alafu faida mpewe % flani.
 
Back
Top Bottom