Pale Gerezani Mukamira Rwanda wapo kila raia kutoka nchi zote A.Mashariki, hasa wakosoaji wakuu wa utawala na utalazimishwa kukiri kosa au kuuawa

Pale Gerezani Mukamira Rwanda wapo kila raia kutoka nchi zote A.Mashariki, hasa wakosoaji wakuu wa utawala na utalazimishwa kukiri kosa au kuuawa

Pale Gerezani walinambia kwamba bora ukili kosa ama unauwawa hapa hapa, anasimulia mtekwaji

"Nakumbuka ilikuwa usiku wa manane wakaja watu nisiowajua wakaingia Nyumbani kwangu, wakakagua simu yangu na mawasiliano nayofanya kwa kila mtu , bahati mbaya Sana walikuta nawasiliana na wanaharakati mbali mbali , wakaona mazungumzo yetu, suala ambalo liliwaghadhabisha wakaitana Kwa redio zao wakanifunga kitambaa usoni huku mke wangu na mama na watoto wakiishia kuwekewa bastola kwenye mbavu,

Sikuelewa nilipelekwa wapi mpaka hapo nilipohisi Kama vile nimepandishwa helkopta ,baada ya kufika nikahisi Lugha imebadilika kikawa kinyarwanda nikashangaa mbona haya mambo yanaenda kuwa makubwa,

Nilifunuliwa macho nikakuta nipo ndani ya vyuma huku mikono yangu ikisikilizia baridi za vyuma namaanisha pingu,

Kuna watu wengi na baadhi ya ndugu kutoka taifa letu ambao wapo kule Kwa muda mrefu pengine hata ndugu zao wamesha kata tamaa na kuhisi walikufa maana wengi hawana wazo kama wanaweza kuvushwa kwenda nchi jirani,



Baada ya kukaa pale miaka miwili niliteswa kila wakati na watu walionitesa ni wale wanaojua Lugha yangu
Nilishangaaa kuulizwa nyaraka mbalimbali ambazo sina hata uwezo wa kuzipata,

walikuwa wakimaliza kunihoji wanawasiliana na jamaa mmoja lakin katika kila Mazungumzo jina Deusi lilikuwa likitawala"

itaendelea
Put in Mind sijataja nchi wala Lugha ya Msimuliaji

JINSI ALIVYOWEZA KUTOKA NA NI WATU GANI ALIYOWAYAMBUA NA KUJUA KUWA WAPO KULE

Britannica
Naona kiza kimetanda
 
nikazie tu kuwa CRJ ni Canadair Regional Jet za kampuni ya Bombardier

Mwanzo 4:
9 Baadaye, Yehova akamuuliza Kaini: “Yuko wapi Abeli ndugu yako?” naye akajibu: “Sijui. Kwani mimi ni mlinzi wa ndugu yangu?” 10 Basi Mungu akasema: “Umefanya nini? Sikiliza! Damu ya ndugu yako inanililia kwa sauti kutoka ardhini.

(NWT)
 
Pale Gerezani walinambia kwamba bora ukili kosa ama unauwawa hapa hapa, anasimulia mtekwaji

"Nakumbuka ilikuwa usiku wa manane wakaja watu nisiowajua wakaingia Nyumbani kwangu, wakakagua simu yangu na mawasiliano nayofanya kwa kila mtu , bahati mbaya Sana walikuta nawasiliana na wanaharakati mbali mbali , wakaona mazungumzo yetu, suala ambalo liliwaghadhabisha wakaitana Kwa redio zao wakanifunga kitambaa usoni huku mke wangu na mama na watoto wakiishia kuwekewa bastola kwenye mbavu,

Sikuelewa nilipelekwa wapi mpaka hapo nilipohisi Kama vile nimepandishwa helkopta ,baada ya kufika nikahisi Lugha imebadilika kikawa kinyarwanda nikashangaa mbona haya mambo yanaenda kuwa makubwa,

Nilifunuliwa macho nikakuta nipo ndani ya vyuma huku mikono yangu ikisikilizia baridi za vyuma namaanisha pingu,

Kuna watu wengi na baadhi ya ndugu kutoka taifa letu ambao wapo kule Kwa muda mrefu pengine hata ndugu zao wamesha kata tamaa na kuhisi walikufa maana wengi hawana wazo kama wanaweza kuvushwa kwenda nchi jirani,



Baada ya kukaa pale miaka miwili niliteswa kila wakati na watu walionitesa ni wale wanaojua Lugha yangu
Nilishangaaa kuulizwa nyaraka mbalimbali ambazo sina hata uwezo wa kuzipata,

walikuwa wakimaliza kunihoji wanawasiliana na jamaa mmoja lakin katika kila Mazungumzo jina Deusi lilikuwa likitawala"

itaendelea
Put in Mind sijataja nchi wala Lugha ya Msimuliaji

JINSI ALIVYOWEZA KUTOKA NA NI WATU GANI ALIYOWAYAMBUA NA KUJUA KUWA WAPO KULE

Britannica

Inawezekana kahisa maan mfumo wa utawala wao unafanana ni copy paste kwahiyo wanasaidiana na ndio maana wana uhakika wa kukaa madarakani miaka yote.

Hii mbinu lazima ni ya Ki-CIA.

Ukiwa huko kutoka ni ngoma, kwanza nani atakuona au hata kukutoa atatumia mbunu gani??

Duuh jamaa wanatumia hadi Helikopita??
 
nikazie tu kuwa CRJ ni Canadair Regional Jet za kampuni ya Bombardier

Mwanzo 4:
9 Baadaye, Yehova akamuuliza Kaini: “Yuko wapi Abeli ndugu yako?” naye akajibu: “Sijui. Kwani mimi ni mlinzi wa ndugu yangu?” 10 Basi Mungu akasema: “Umefanya nini? Sikiliza! Damu ya ndugu yako inanililia kwa sauti kutoka ardhini.

(NWT)
Tayari imeshaanza kulia, juzi tu kapata Heart attack akasurvive, nakuhakikishia hamalizi miaka miwili mbele.
 
utakuja na hadithi za kila aina, huku CCM inachanja mbuga

Haya mambo yanayaongelewa hapa ni zaidi ya hiyo ccm. Kwenye mambo haya ccm inatumika tu kama blanketi la kufunika ukweli. Kwa maneno marahisi haya yanayoongelewa hapa yako nje ya uwezo wako wa kufikiri. Uzi huu watakuja wazee wa suti nyeusi kupitia kwa umakini nini kinazungumzwa.
 
Ndugu yangu ukiamua kuweka mambo weka kabisa hata kurasa kibao... Ikisema itaendelea kwenye vitu kama hivi.. Huwezi ijua kesho yako ... File zenye secrets huwa hazitoki vipandevipande ndugu Britannica

Mkuu huu uandishi wako kuna umakini fulani, kwa wanaojua kusoma between the lines watafahamu ww ni wa aina gani. Anyway, ngoja tuendelee kunywa mtori nyama tutazikuta chini.
 
Hakuna kiongozi wa inchi atawaacha salama watu watakao atarisha usalama wake na taifa kwa ujumla,

Vinara wa kutetea haki za binadamu wana magereza mfano wa gwantanamo makhsusi kwa ajili ya kuwafanyia matendo ya kinyama binadamu kama wao
 
Story za kufikirika lakini kwa sababu umeshaileta hapa JF mbuga ya serengeti lazima utawapata nyumbu mkuu.
Naona unaanza kuogopa clues..

Lazima uanze kufikiria kwanza ndiyo uanze kutafuta evidence. Naona kabisa sasa kunaanza kukucha.

Kama ni mbowe ajiandae tu,hamna namna uwapeleke raia uhamishoni bila serikali kujua.
 
Back
Top Bottom