Pale HG anapokuheshimu na kukuhudumia kuliko wife

Hahaha! I ddnt know I'm such a smart a*s,lol! Gotcha! Uliwaza nini kuwa na I'd name hii, sera zinakupungukia eeh? Siri yetu,ukiniudhi tena nakusemea kwa mwita25!

Tajiri wa sera mimi wewe na kamwe haziwezi kunipungukia. So if you want to shoot then shoot. Don't talk. Okay?
 
Mie wala sitii neno hapa, maana najua madhara yake...................
 
Which part of 'u don't give orders here' don't u understand? I will be happy to elaborate slowly!
Tajiri wa sera mimi wewe na kamwe haziwezi kunipungukia. So if you want to shoot then shoot. Don't talk. Okay?
 
Shetani kazini ila nikufahamishe;

1. HG hizo ndio kazi zake kasoro kuvaa kanga moja na kuja kujikalisha sitting room na baba mwenye nyumba..angekewa HG wangu ningeshamtimua siku nyingi

2. Kama unampango wa kumchukua huyo HG ujue kabisa unachukua mtu aliyekubuhu ndio maana anajua hata mitego ya kukunasa, usije jidanganya kwamba ni supu ya kuku wa kienyeji

3. Ukae ukijua ya kuwa unashea kama sio na houseboy wako basi wa jirani na kama si houseboy wa jirani basi yule mangi wa pale dukani..

4. Na ukisha du naye ujue kiburi kitaanza na mimi kama mama mwenye nyumba nitamtimulia mbali sijui utamfuata huko ukampangie!

5. Mimba itakapoingia sijui mtaitoa au utakubali kulea mtoto, utajua mwenyewe...
 
Mjomba angu aliamua kuoa house girl tu aliona mke wake hakuna anacho kifanya watoto analea house girl kufua anafua house girl chakula anapika house girl kila kitu anafanya house girl basi akaamua hata penzi awe anampa house girl na hakuona umuhimu wa kukaa na mke wake maana alikuwa anajaza nafasi na kumuingiza hasara.
 
Mpe hongera sana mjombao. Enhee,baada ya kuoa hgeli keshawapa happy ending yake? Manake mi nnaowaona wana majuto zaidi ya furaha!
 
sometimes akina mpora (mwali) mnazidi,
wewe ni mtu mzima,
lakini jitahidi uweke mazingira mazuri.
 

Mi penda wewe sana!!!!
 
Nadhani ndio mwanzo wa mitego ya kukunasa hapo! HG kutokea kigoma, singida, usukumani dah. Kimbembe kipo kwa wale wa Iringa wapenda madawa!
 
Profesa, angalia hapo red - huyo ni sawa na mtoto wako, mfunze heshima hayo ya kuvaa kanga moja ni ishara kuwa hakuheshimu, anakutegeshea. Usipoangalia, nyumba yako itabomoka na utakutwa na aibu.
 
Hatari ni kuwa ukishakuoa HG, anakuwa mke wako, yale yote aliyokuwa anafanya kama HG itakuwa si majukumu yake tena. Itabidi utafute HG mwengine. Mke HG atakuwa kama mke ulomwacha mwanzo, je utao HG mpya? Kiko wapi kikomo chako?
 
prof pole sana ila tatizo lako kama langu naona umeniiga mzee
 
dah, wewe nahisi umefall kwa huyo HG. Harufu natural ndio ipi, ya kikwapa au? Shetani huyo akupitie mbali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…