Pale ikulu pale pana kitu sote atukijuwi...
Pale ikulu pale sio mahali pa mchezo mchezo wakati mwingine kuta zinaongea....
Pale ikulu pale ukifika hauwendi kufanya vile unataka wewe ila vile wanataka wao...
Pale ikulu pana viboko kwa wote wasio fuwata kile wanapaswa kufanya...
Pale ikulu pale usidharau wale wazee wa mvi nyeupe eti ukafanya utakavyo.... Lazima ukose usingiz kama sio kuwa bundi..
Pale ikulu hayati baba wa taifabado hekima zake zipo na zinaishi kama roho....
Pale ikulu pale yani pale usipopata msaada unaweza piga kelele watu wakasema nini kimotokea kwa mkuu kumbe...
Pale ikulu hakunaa mshikaji wala rafiki unaongozwa na procedure...
Pale ikulu pana msemo usi nyani haoni kundule yani ukiingia waweza kuwaona wengine vilaza ila ukishituka mhhh wagunduwa nyani....
Pana siri kubwa sana pale tuache kick zakijinga nimeongea na rais direct wakati......
Byeee
Pale ikulu pale sio mahali pa mchezo mchezo wakati mwingine kuta zinaongea....
Pale ikulu pale ukifika hauwendi kufanya vile unataka wewe ila vile wanataka wao...
Pale ikulu pana viboko kwa wote wasio fuwata kile wanapaswa kufanya...
Pale ikulu pale usidharau wale wazee wa mvi nyeupe eti ukafanya utakavyo.... Lazima ukose usingiz kama sio kuwa bundi..
Pale ikulu hayati baba wa taifabado hekima zake zipo na zinaishi kama roho....
Pale ikulu pale yani pale usipopata msaada unaweza piga kelele watu wakasema nini kimotokea kwa mkuu kumbe...
Pale ikulu hakunaa mshikaji wala rafiki unaongozwa na procedure...
Pale ikulu pana msemo usi nyani haoni kundule yani ukiingia waweza kuwaona wengine vilaza ila ukishituka mhhh wagunduwa nyani....
Pana siri kubwa sana pale tuache kick zakijinga nimeongea na rais direct wakati......
Byeee