Pale katika kampuni unayotumikia unapokuta wamzifungia site za Movie ufanyeje?

Pale katika kampuni unayotumikia unapokuta wamzifungia site za Movie ufanyeje?

KakaKiiza

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2010
Posts
11,794
Reaction score
9,075
Nimejikuta siwezi kudownload movie kama nilivyozoea baada ya kufungia zile site za kudownload movie hata vpn niliyokuwa nikitumia wameipiga kitofa je wajuzi hapa tufanyeje kuruka kiunzi hiki ili maisha yaendelee??
 
Site gan ya movie wameifungia unataka jaribu netnaija.com wanajitaidi sana sema uvumilie ads za kutosha
 
Nipo telegram nafanyeje sawa
Tafuta sites za Movies huko au andika jina la movie yoyote watakuletea chaneli yenye iko na hiyo muvi kisha tafuta bot wa external links aku convertie hiyo link uweze ku download kwa IDM ya laptop/computer yako au downloader manager yoyote utakayopenda kutumia yenye speed mbali na IDM....

Binafsi natumia website inaitwa NKIRI.com ina movies na series karibia zote unazozijua ww latest na olds tena kama ni series unakuta episodes zote kabisa pia movies za NKIRI zina subtitle moja kwa moja sio kama za NETNAIJA mpaka u download subtitle kivyake, hii site haina complications kwenye ku donwload ni single click to kitu kina download.. changamoto yake ni 1 tu na inakwepeka.

Ina ads nyingi na redirect links ambazo zinawza kukukera so hapo install adsblocker extention kwa browser yako utakua umemaliza kazi.

Kama uta download kwa simu tumia KIWI Browser nayo weka adsblocker make KIWI ina support asilimia kubwa ya extensions za kama browser ya computer tu..
 
Nimejikuta siwezi kudownload movie kama nilivyozoea baada ya kufungia zile site za kudownload movie hata vpn niliyokuwa nikitumia wameipiga kitofa je wajuzi hapa tufanyeje kuruka kiunzi hiki ili maisha yaendelee??
Tafuta VPN ambazo hazijulikani sana au hasa hizi mpya mpya ambazo sio popular ndo utumie kuwa bypass kua nazo hata 5.... Kama utaweza ku afford gharama nunua Nord vpn, Express, HMA au Cyberghost...

Mimi job napofanyia kazi hata huwa hawamind vitu kama hivi vya kuzuia ku download movies na maprograms mengine ila tu wanasisitiza ukimaliza ku download mavitu yako usiache kwenye computers za ofisini futa kabisa/cut uweke kwenye external au drive yako.

Hii imenifanya nmekua maarufu ofisi nzima najulikana kwa kuitendea haki internet ya ofisi kwa sababu kwa siku naweza shusha hata GBs 20-30 hasa movies na softwares mbalimbali na wote wanafataga movies kwangu, kuna wakati walihisi labda nina library ya ku burn movies kitaa kwangu ndo huwa nazipeleka huko hahaaa kumbe napenda tu kuangalia movies nikiwa home nmepumzika hasa weekend...
 
Kama wana Router nzuri bado itaonyesha site ulizotembelea na kiasi cha data ulichutumia kupitia IP yako.
 
Nimejikuta siwezi kudownload movie kama nilivyozoea baada ya kufungia zile site za kudownload movie hata vpn niliyokuwa nikitumia wameipiga kitofa je wajuzi hapa tufanyeje kuruka kiunzi hiki ili maisha yaendelee??
Hiyo huwes fanya kitu...kitaalam Kama unatumia mtandao wa office huwa wanachinja baazi ya site Kama YouTube,fb na movies site zote katika mtandao wa office...hii hufanyika wakati wa router na switch configuration...wengine watakazia experience
 
Hongereni mnaoweza kudownnload movie makazini..kuna kampuni moja nilifanya nao..mashine zao zote ni imaged na hauna uwezo wakuinstall Application yoyote huwezi kuweka flash wala CD (zote ziko blocked) na websites zote ambazo ni non work related wameblock. Ukizidisha estimated internet usage kwa siku mfano ukatumia 2gb ndani ya dkk kadhaa wanafuatilia ni nini.
 
Hongereni mnaoweza kudownnload movie makazini..kuna kampuni moja nilifanya nao..mashine zao zote ni imaged na hauna uwezo wakuinstall Application yoyote huwezi kuweka flash wala CD (zote ziko blocked) na websites zote ambazo ni non work related wameblock. Ukizidisha estimated internet usage kwa siku mfano ukatumia 2gb ndani ya dkk kadhaa wanafuatilia ni nini.
Na ndo kilichomkuta mleta mada...ila hajui algorithm behind....wapo wanaocheza na network domains na wengine wanablock kwenye router au switch
 
Na ndo kilichomkuta mleta mada...ila hajui algorithm behind....wapo wanaocheza na network domains na wengine wanablock kwenye router au switch
Kama anaupenda ugali wake ni kucomply tu, movie kitu gani unazipata kama zote hata kwa marafiki mtaani, maana ku circumnavigate around the ban kwa njia yoyote haramu ni moja ya sababu yakufukuzwa kazi 👍
 
Hapa tanzania nilisha washinda baada yakugundua kuna mahali napitisha movies sasa huko makao makuu ya ofisi yetu yako ulaya huko ndo kuna main severs wamepiga pini kila kitu sounajua tena wazungu!mautaalamu wao ukiweka vpn tu inakwambia hii imezuiwa katika domai hii!
 
Back
Top Bottom