Pale Makampuni ya Bongo yanapokurupuka kumuendorse Diamond, well-known women abuser! Shame on u Voda

Naombeni mnijuze Diamond alimdhalilishaje JOKATE hili kwangu geni
 
kama kuachana na mwanamke halafu unaenda kutangaza media au kumuimba mwanamke uliye naye kwenye mahusiano au uliyeachana naye kama ni Malaya au .....
Maajabu ya Wabongo!! Haya nisaidie wewe:
1. Alienda media ipi na kutangaza mwanamke yupi kwamba ni Malaya?
2. Kamuimba mwanamke yupi na kwenye wimbo upi kwamba ni malaya?
 
"Mipovu ambayo ilimwagwa kwenye hii mada wallah mtu angetarajia hivi sasa Vodacom vipandevipande let alone Chibu Dangote mwenyewe!

1. Kitu kinaenda kuwa published blog ya Linda Ikeji!
2. Hii kitu itabidi iende hadi kwa Joyce Kiria kwenye kipindi cha Wanawake Live!
3. Vodacom wakiwa kimya; tunapeleka global (duniani)!
Probably CNN, Sky News, BBC, Washington Post, Al Jazeera!

Coca-Cola na wenyewe walivyo washenzi wameng'ang'ania kumtumia Diamond wakati wanajua kabisa Diamond ni "women abuser!" Na hata hawa DStv, wasiwafanye watu maboya... tutahamia Startimes sisi!! Bwah! Bwah! Bwah! Kwa kuanzia, nishaanza kugomea vibanda vya chips vyenye Red Gold!
 
Maajabu ya Wabongo!! Haya nisaidie wewe:
1. Alienda media ipi na kutangaza mwanamke yupi kwamba ni Malaya?
2. Kamuimba mwanamke yupi na kwenye wimbo upi kwamba ni malaya?
wewe kuelewa mpaka sululu, kuhusu media nenda youtube kaulize huko? na pia utakutana na wimbo unaohusika ngoja nikupe kibwagizo kidogo .... kila siku magazeti
 
wewe kuelewa mpaka sululu, kuhusu media nenda youtube kaulize huko? na pia utakutana na wimbo unaohusika ngoja nikupe kibwagizo kidogo .... kila siku magazeti
Kwanini niende Youtube wakati we ndo umeleta hiyo hoja? Youtube kuna millions of video... kwanini usiiweke hapa?! Pia unadai kibwagizo "Kila cku magazeti....!" Kila cku magazeti kufanyaje?

Naona nawe huna tofauti na mleta mada manake tokea Day 1 hajawahi kuweka source yoyote ya madai yake zaidi ya cku moja kuweka ki-blog ambacho hata yeye mwenyewe hakifahamu!

Poleni sana manake hoja zenu zishaonekana obsolete na ndio maana no one cares!!
 
ngoja nishangae eti no one cares!!? hali ya kuwa wewe unazungumza hapa na povu limekutoka kama unajiamini nenda youtube ukaone mwenyewe na kuhusu hicho kibwagizo inaonekana wewe si mfutiliaji wa sanaa ya huyu bwana unakumbuka huyu bwana kaimba nyimbo ngapi and can you mention?
 
Maneno machache ninayoweza kukuambia ni kwamba you know nothing about me! Nilichoona kwenye maelezo yako ni total cra'p! Ukitaka kuleta hoja unatakiwa kuleta hoja, ikiwa complete... that's how we do bro!! Sio unaambiwa weka hapa unaishia kusema "nenda you tube!" What for? Kama source yako ni Youtube unatakiwa kuweka hiyo link hapa... that's how things work! Hilo la kibwagizo kwamba eti unaona eti mie sio mfuatiliaji ni kichekesho cha karne mbele ya wanaonifahamu! Narudia, weka hoja hapa... taja hizo nyimbo au wimbo na sio kusema "kibwagizo kila cku magazeti....!" What's the hell is that?

Kwamba eti natoka povu! Nani anatoka povu kati yangu na nyinyi mnaotaka anyang'anywe endorsement deals kwa hoja ambazo hata source zake mnashindwa kuweka? No one cares coz' Vodacom, Coca-Cola na DStv STILL work with the guy!
 
inaonekana wewe hupenda kumezewa kila kitu sasa ona hii kwenye clip ya 4:16https://youtu.be/n9MfSZFFicE na kuhusu wewe ukihojiwa jambo hauonekani kutoa maelezo ya kina nimekuuliza kuhusu nyimbo za huyu bwana mkubwa hata utaje nyimbo zake umeshindwa unaanza kusema wewe wanaokufahamu hiyo si hoja.
 
We jamaa cjui wa wapi! Narudia, DUNIANI KOTE ikiwa unasema source yako ni XYZ basi unatakiwa kuiweka hiyo source... kwa hapa ulitakiwa kuweka link na sio kusema "nenda Youtube!"

Pili, kuhusu hiyo video uliyoiweka! Hivi umeisikiliza kweli wewe? Kama ndiyo, sema hapa ni dakika ya ngapi na sekunde ya ngapi aliposema "yule(whoever she is) ni malaya!" Au taja palipo na udhalilishaji wa aina yoyote bila kujali ni dhidi ya nani!

Tatu, hii interview ilikuwa ni baada ya release ya Nitampata Wapi! Hivi ndugu umeusikiliza ule wimbo wewe? Ni wapi kakashifu wanawake? Hivi ni kipi kwenye ile ngoma zaidi ya kumlilia aliyempenda sana?! Huo udhalilishaji unaosema wewe kwenye ile ngoma ni upi?

Nne, akina Mchomvu walikuwa wanamchimba na hiki ndicho aliwajibu: "Mwanaume ukiongea vitu vingi unaonekana unadhalilisha lakini mwanamke akiongea vitu vingi anaonekana anadai haki yake... anaonewa! Mwanaume akiongea sana anaonekana andhalilisha... halafu, ukiongea, sana sana hata machizi wanakuona "mbona boya wewe, unaongeaje.. mi ndo maana nakausha!"

Haya sasa... jamaa hajasema chochote tayari unadai amedhalisha... je, angeongea si ndo basi tena ungesambaza vipeperushi kabisa!! Pamoja na kumchimba azungumzie suala la Wema lakini hilo ndo jibu alilowapa! Sasa wewe suala la Wema kutwa malaya kwenye hiyo video umelitoa wapi?

Dak 5:30-7:25 amezungumzia issue ya gari aliyokuwa amepewa Wema! Kuna sehemu kaongea maneno ya hovyo hapo zaidi ya kuonesha how much he cared about her?

Weka source nyingine lakini hiyo uliyoiweka, hamna kitu... tena ngoja nikuwekee vizuri:

Kuhusu kutaja nyimbo za Diamond nimeona dai lako ni kiroja kwahiyo nikalipotezea Ni mtu aliyekimbia wodi ya vichaa tu ndie anaweza kuanza ku-list nyimbo za Diamond from Nenda Kamwambie mwaka 2009 hadi Utanipenda mwaka 2016... Ach a masihara bhana! Jifunze kuwa specific! Kama wimbo uliokuwa unazungumzia ni Nitampata Wapi, unatakiwa ku-hit to the point na sio kutaka mtu ataje makumi kwa makumi ya nyimbo za Diamond! Inawezekana unazifahamu radio release peke yake ndio maana umechukulia easy tu!!
 
kwanza,kuna mengi umesema sana lakini inaonekana ulivyo asidi wa mambo haya , nilichotaka kukuonyesha wewe ni kuwa jambo linalozungumzwa hata kama si kweli sisi wataalamu wa mambo tofauti na wewe hupenda kijlidhisha na jambo husika sasa wewe unakuja na ushabiki na unazi usio kuwa na kichwa wala miguu , hivi nikuulize huyu unayemzungumzia yeye ni nani na hata sisi tusimkanye juu ya yale mabaya anayosema au anayofanya , ndo maana tunawaambia waafrika muwe huru kwenye fikra na si kwenye kula vyakula na kuvaa nguo.
pili, kuhusu kusikiliza hiyo clip nimesikiliza kiasi kwamba nikaona nikupatiae nawewe kinda unaye taka mie nikutafutie na kukutafunia kasha wewe umeze.. sasa rudia kuangalia dk 4 na sekunde ya 16.
Tatu, nataka nikuonyeshe tena wapi alipo wadhalilisha wanawake , kwakua mie ni mwalimu wako ngoja nikuambie tena mwanafunzi unayemuuita mwalimu wako chizi, sikiliza wimbo huo wote kisha gh'amua
ushauri wangu ni kuwa "usipo fikiri utanuka" hivyo amua kuto kunuka fikiri sasa
 
kwanza,kuna mengi umesema sana lakini inaonekana ulivyo asidi wa mambo haya
Naona umeanza mipasho lakini tuendelee:
nilichotaka kukuonyesha wewe ni kuwa jambo linalozungumzwa hata kama si kweli sisi wataalamu wa mambo
Very funny... "wataalamu" wa mambo hata ktk mambo yasiyo kweli! Only in Tanzania!!
tofauti na wewe hupenda kijlidhisha na jambo husika
Ulitaka kusema nini hasa?
sasa wewe unakuja na ushabiki na unazi usio kuwa na kichwa wala miguu,
Mwenye hizo sifa hawezi kutaka reference.... from A to Z angetetea kwa kubisha tu... Wewe nimekutaka utoe reference lakini uliyoitoa haina ulichokisema na ndio maana nimekuuliza time reference umeshindwa kutaja! But anyway, I can understand "nyie wataalamu wa mambo yanayozungumzwa hata kama c ya kweli!"
hivi nikuulize huyu unayemzungumzia yeye ni nani na hata sisi tusimkanye juu ya yale mabaya anayosema au anayofanya
Maajabu ya Wataalamu wa mambo yanayozungumzwa hata kama c ya kweli." Nimekuomba utoe source lakini uliyoitoa haina hayo madai yako lakini bado unataka kumuonya kwa "mambo anayofanya na kuyasema" hata kama source haijayaonesha hayo mambo!
ndo maana tunawaambia waafrika muwe huru kwenye fikra na si kwenye kula vyakula na kuvaa nguo.
Lemme think... ni nini hasa unajaribu kusema hapa! Kwamba fikra huru ndo huko kuongea mambo ambayo hayapo na kuweka reference isiyo na yale unayosema kuwapo?! Kama ndivyo, then i'd love kuendelea kuwa hivi kv kinyume chake ni sawa na kutamani kuwa kiroja!
pili, kuhusu kusikiliza hiyo clip nimesikiliza kiasi kwamba nikaona nikupatiae nawewe kinda
Naona ume-panic bro! Huu mchezo hauhitaji hasira jombaa!
unaye taka mie nikutafutie na kukutafunia kasha wewe umeze.
Mr. Chairman, narudia... unaposema kwamba source yako ni Youtube unatakiwa kuweka specific video link na sio kusema nenda Youtube! Mtu akikuambia weka link si kwamba anataka atafuniwe but that's how things work! Simple!
sasa rudia kuangalia dk 4 na sekunde ya 16.
You can't be serious, Dak 4:16 Mchomvu anaongelea issue ya Diamond kuwa-connect akina Fid Q kwenye collabo pamoja na collabo yake na Mafikizolo! Wameongea hadi Dak 4:58 b4 Mchomvu hajaingiza issue ya Meneja wa Wema (Dak 4:59) na suala zima la Wema kupewa gari! Dak 5:28 Diamond anatolea ufafanuzi kwamba ilikuwa ni birthday ya Wema! Ingawaje Wema aliletwa gari toka kwa mtu ambae hata Duamond hakumfahamu lakini jamaa hakusitisha kupeleka zawadi yake ya gari kwa Wema! Sasa tatizo liko wapi hapo?!
Tatu, nataka nikuonyeshe tena wapi alipo wadhalilisha wanawake , kwakua mie ni mwalimu wako
Oh! Real? Nimegoma kumeza sumu zako kwahiyo umekosa sifa za kuwa mwalimu wangu!!
ngoja nikuambie tena mwanafunzi unayemuuita mwalimu wako chizi,
Ulikuwa na hamu ya kutumia neno chizi; au?! Manake sifahamu ni kwanini hilo neno umeliweka hapo!!
sikiliza wimbo huo wote
Oh!! Kwahiyo hiyo Youtube clip huitaki tena as your evidence? Hii ni aina nyingine ya kutumia weledi wako wa "Ualimu" ku-admit kwamba hiyo video yako haina kitu kwahiyo turudi kwenye wimbo; au?
kisha gh'amua
ushauri wangu ni kuwa "usipo fikiri utanuka" hivyo amua kuto kunuka fikiri sasa
Nitampata Wapi ni my favorite song kwahiyo naifahamu vizuri! Hicho unachosema wewe hakipo!!
 
Wewe ni nani kwanza huna kazi za kufanya
 
kwanza nikupongeze kwa namna ya uandishi wako unataka kuficha ukweli nilio kwisha kukuambia , kisha nikushukuru kusahau matusi yako kwenye post za awali za kuniita mimi chizi , vilevile nikupe heko kukubali japo kidogo mimi kuwa mwalimu wako .... nadhani hapa tulipofikia mimi nikiri kuwa ni kweli umeongea vyema sana kuhusu jamaa lakini ona pia hii ya unyanyasaji wake kwa wanawake
 

Sasa hapo unyanyasaji uko wapi? Nani kanyanyaswa na kanyanyaswaje?
 
Sasa hapo unyanyasaji uko wapi? Nani kanyanyaswa na kanyanyaswaje?
Akili za watu wa dizaini hii ndo wanafanya africa waonekane wajinga...hawezi kusema hapo unyanyasaji uko wapi anapiga kelele tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…