Pale Makampuni ya Bongo yanapokurupuka kumuendorse Diamond, well-known women abuser! Shame on u Voda

Kwanza huna touch za kuwa Mwalimu wangu kwahiyo eti kukubali wewe ni Mwalimu wangu ni kiroja!!

Pili, unadai eti nimekuita Chizi! Unaweza kuweka hapa hiyo post unayosema nimekuita chizi? Suala la Machizi nimelizungumzia hapa:
Mosi, hivi unaamini hilo neno MACHIZI hapo linakulenga wewe?!

Pili, una umri gani? Hili ni Jukwaa la vijana na kama wewe ni mtu mzima mwenzangu basi unatakiwa kufahamu lugha za vijana vinginevyo kila wakati utaona unatolewa lugha chafu kumbe tatizo ni wewe mwenyewe kutofahamu lugha za vijana! Hapo neno vijana limetumika kama "fellaz", washikaji, marafiki n.k kinyume chake unadhani neno limetumika kumaanisha mwendawazimu!!
 
Wanadhalilishwa au wanajidhalilisha.

Akidhalilishwa mnapayuka mpaka kingo za mdomo Zinataka kuchanika

Akijidhalillisha mnauchuna kama maji ya mtunginj kimyaaaaa!!!

Which is which.

Dunia hii hadaa na walimwengu shujaa hahhahhahahah

#Angaliamaishayakowewe
 
Na magazeti ya udaku kwa kukosa habari si unajuagaaaa [emoji442][emoji441] [emoji444] [emoji445] [emoji443]
utaskia eti Dai.........[emoji445] [emoji444]
 
Its sad when magazeti pendwa ndo yamekuwa references. wakati ukisoma ndani utasikia, "mtu wa karibu wa flani", " jina tunalo", "taarifa kutoka kwa jirani wa karibu" etc. mwisho wa siku tunafanya hitimisho.
 
tatizo bongo kulindana hao waliotendewa unyama huo hawawezi kujikingia kifua wenyewe wanasubiri watu baki ndio wawapiganie
 
tatizo la nchi yetu,magazeti yetu na hata hizo taasisi kama Tamwa au Tawla wanakuwa wakali sana jambo hili linapomhusu mtu baki kwa wale waliofatilia ishu ya Kapuya wanakumbuka hili swala lilivyomalizwa kimyakimya ndio maana wabunge wanawake wakitoka bungeni kisa wameitwa baby siwaungi mkono kwani wangeanza kukomaa na mambo haya toka mwanzo watu wengine wangeogopa kudhalilisha wanawake au wakati gadner anamzungumzia Lady J D waliokuwa wakipiga kelel za kushangilia wengi walikuwa wakina dada kwa makampuni yanayojitambua ni vigumu mtu kama huyo kupata mikataba
 
Its sad when magazeti pendwa ndo yamekuwa references. wakati ukisoma ndani utasikia, "mtu wa karibu wa flani", " jina tunalo", "taarifa kutoka kwa jirani wa karibu" etc. mwisho wa siku tunafanya hitimisho.
"Paparazi wetu alivompigia simu iliita bila kupokelewa "
 
Bora useme TMZ kuliko MTO..
very few rely on MTO..maana uyo owner anasifika kwa kuwa biased..design za kina Mange N.k
 
Acha wivu wa kijinga wewe! fanya yako maisha yaendelee sio kupiga piga kelele humu kwani wanawake wangapi wana abuse wanaume na mpo kimya kuhusu hilo au unafikiri gender abuse ni mpaka mtu apigwe?
 
huna lolote Lara....
Hahahaaaa! MBONA VODA HAWAENDI KUWA SPONSOR HAO WAKATA MAUNO UCHI? Think critically! Kiki mi nikitaka naandika tu story kila mahali facebook naikuta HAPA TUPO SERIOUS TUNAJENGA JAMII SAFI.
Huna lolote ,....wivu tu unakusumbua......Chibu akikutokea hautotoa papuchi wewe?? au sababu haujapata hiyo fursa??? mademu akili zenu mnajua wenyewe kwa kweli.....hapo ulipo unatamani uloweshwe naye....
 
aisee ngoja tuone mtalinga wake utaishia wapi kweli Tanzania kuna mambo ya kila aina


ila bishosti lara1 achana na mambo ya wasanii yatakucost bure waache waendelee wao ila wewe pambana kivyako vyako tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…