Pale Mke anakuwa mchepuko wa mume

Pale Mke anakuwa mchepuko wa mume

bongodili tele

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2024
Posts
1,520
Reaction score
3,022
Nimeachana na Baba wa mtoto wangu mwaka wa tatu sasa. Likizo hii akaomba nimpeleke mtoto kwake maana tayari kaoa. Nilipo mpeleka nikamkuta mke wake yeye alikuwa bado kurudi, basi nikamkabizi Kisha nikampigia simu kuwa mtoto tayari kafika Mimi naondoka. Akaniambia nisiondoke, niende hotel fulani niagize chochote anikute hapo nikasema sawa.

Basi nilifanya kama alitaka, na baadaye alifika alikuwa amependeza sana. Tuliongea kidogo kisha akaniacha kidogo, baada ya dakika chache akarudi kunichukua akanipeleka kwenye chumba.

Katika hali isiyo ya kawaida nikajikuta sina nguo, na baada ya hapo nikafanya kitu ambacho nilihapa kutofanya naye Tena uyu mwanaume. Nakumbuka niliwahi kumtukana matusi mazito huku nikihapa kamwe hawezi kuja kunivua nguo zangu tena.

Alinifanya atakavyo, huku akiniambia kwanini siolewi wakati nilisema siwezi kumaliza mwaka bila kupata mume maana ni mzuri sana.

Nilikosa jibu kwakweli, naumia sana yani leo Mimi nimekuwa mchepuko wa mume wangu.

IVI KWANINI WANAWAKE TUKIACHANA NA WANAUME, TUNABAKI KUDANGA TU OVYO?

IVI KWANINI NIMEKUBALI TENA KUVULIWA NGUO NA UYU MTU.🥺
 
.
 

Attachments

  • 71A94035-E8EF-43E8-A6DF-838F49FB7D59.gif
    71A94035-E8EF-43E8-A6DF-838F49FB7D59.gif
    1.5 MB · Views: 7
Nimeachana na Baba wa mtoto wangu mwaka wa tatu sasa. Likizo hii akaomba nimpeleke mtoto kwake maana tayari kaoa. Nilipo mpeleka nikamkuta mke wake yeye alikuwa bado kurudi, basi nikamkabizi Kisha nikampigia simu kuwa mtoto tayari kafika Mimi naondoka. Akaniambia nisiondoke, niende hotel fulani niagize chochote anikute hapo nikasema sawa.

Basi nilifanya kama alitaka, na baadaye alifika alikuwa amependeza sana. Tuliongea kidogo kisha akaniacha kidogo, baada ya dakika chache akarudi kunichukua akanipeleka kwenye chumba.

Katika hali isiyo ya kawaida nikajikuta sina nguo, na baada ya hapo nikafanya kitu ambacho nilihapa kutofanya naye Tena uyu mwanaume. Nakumbuka niliwahi kumtukana matusi mazito huku nikihapa kamwe hawezi kuja kunivua nguo zangu tena.

Alinifanya atakavyo, huku akiniambia kwanini siolewi wakati nilisema siwezi kumaliza mwaka bila kupata mume maana ni mzuri sana.

Nilikosa jibu kwakweli, naumia sana yani leo Mimi nimekuwa mchepuko wa mume wangu.

IVI KWANINI WANAWAKE TUKIACHANA NA WANAUME, TUNABAKI KUDANGA TU OVYO?

IVI KWANINI NIMEKUBALI TENA KUVULIWA NGUO NA UYU MTU.🥺
Wanawake mwalimu wenu kipofu tena alisha kufa
 
ukiona hivyo wewe ndio ulikuwa tatizo! umerukaruka umebakia danga tu

na kale ka tabia ka kuzoea kuchezea za wanaume wengi unaona shida kukaa na mtu mmoja! badae unakubuhi unakuwa hueleweki kabisa
 
ko kumbe waendeleee kukatazana kuoa single mothers
 
Nimeachana na Baba wa mtoto wangu mwaka wa tatu sasa. Likizo hii akaomba nimpeleke mtoto kwake maana tayari kaoa. Nilipo mpeleka nikamkuta mke wake yeye alikuwa bado kurudi, basi nikamkabizi Kisha nikampigia simu kuwa mtoto tayari kafika Mimi naondoka. Akaniambia nisiondoke, niende hotel fulani niagize chochote anikute hapo nikasema sawa.

Basi nilifanya kama alitaka, na baadaye alifika alikuwa amependeza sana. Tuliongea kidogo kisha akaniacha kidogo, baada ya dakika chache akarudi kunichukua akanipeleka kwenye chumba.

Katika hali isiyo ya kawaida nikajikuta sina nguo, na baada ya hapo nikafanya kitu ambacho nilihapa kutofanya naye Tena uyu mwanaume. Nakumbuka niliwahi kumtukana matusi mazito huku nikihapa kamwe hawezi kuja kunivua nguo zangu tena.

Alinifanya atakavyo, huku akiniambia kwanini siolewi wakati nilisema siwezi kumaliza mwaka bila kupata mume maana ni mzuri sana.

Nilikosa jibu kwakweli, naumia sana yani leo Mimi nimekuwa mchepuko wa mume wangu.

IVI KWANINI WANAWAKE TUKIACHANA NA WANAUME, TUNABAKI KUDANGA TU OVYO?

IVI KWANINI NIMEKUBALI TENA KUVULIWA NGUO NA UYU MTU.🥺
Swali fikirishi kwanini mliachana
 
Back
Top Bottom