playboy babu
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 2,648
- 1,566
kapovu flan hiv amaizing, alichukua saba kipind hiko King hajatoa ngoma eenhee tule habari mwaka uliofuata nini kilitokea au nini kilimkumba " mlezi wa wana"? aliambulia mbili tu tano zote zikaenda kwa king, king asingeachia angechukua tena saba...umeona athari za king kwa " mlezi wa wana?"My number one ilichukua tuzo saba za ktma usiku mmoja siyo izo zenu mnazokesha na simu mkoni hamlali. Tuzo zenyewe za kiboya tu
Sent using Jamii Forums mobile app
so za kiboya zipi hizo za KTMA aw? sijaelewa maana hapo umemsifia "mlezi wa wana" kachukua 7 in single night, then unasema king anachukua tuzo za kiboya hebu tudadafulie kidogo tuelewe kiongozMy number one ilichukua tuzo saba za ktma usiku mmoja siyo izo zenu mnazokesha na simu mkoni hamlali. Tuzo zenyewe za kiboya tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo wale wale wachawi maviRoho mbaya haijengi nyimbo inazidi kupigwa ndani na nje ys nchi we unasema hazisikiki...
Au ndo mmoja wa wale vinuka aliosema
Sent From Guest House