Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Pale anayetangaza na kusisitiza "Kila abiria afunge mkanda wa usalama, basi haliwezi kuondoka kama kuna mtu hajafunga mkanda wa usalama"
Yeye mwenyewe amekaa sehemu isiyo na mkanda wa usalama wala sehemu ya kufunga kamba kujikinga asitokee kwenye kioo ikiwa zitafungwa break za ghafla.
Pale dereva wa bus anapo overtake kwenye mistari miwili inayozuia kitando hicyo huku msimamizi wa usalama akishuhudia na kukaa kimya kwakuwa amepewa lift.
Pale msimamizi wa sheria anapomsimamisha dereva mvunja sheria za barabarani na ghafla kukutana na msimamizi mwingine akiwa ndani ya lift ya bus lililoovertake kwenye kizuizi Na kuliruhusu liendelee na safari
Hii ndiyo Tanzania yetu
Yeye mwenyewe amekaa sehemu isiyo na mkanda wa usalama wala sehemu ya kufunga kamba kujikinga asitokee kwenye kioo ikiwa zitafungwa break za ghafla.
Pale dereva wa bus anapo overtake kwenye mistari miwili inayozuia kitando hicyo huku msimamizi wa usalama akishuhudia na kukaa kimya kwakuwa amepewa lift.
Pale msimamizi wa sheria anapomsimamisha dereva mvunja sheria za barabarani na ghafla kukutana na msimamizi mwingine akiwa ndani ya lift ya bus lililoovertake kwenye kizuizi Na kuliruhusu liendelee na safari
Hii ndiyo Tanzania yetu