sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Kiukweli kifo cha mtu wa karibu huwa kinauma sana kwa wafiwa kitu kinachotupelekea hata wanaume wazima kujifungia vyumbani kulia machozi hadi kamasi kwa maumivu jinsi yalivyo.
Tukiachana na upande wa maumivu, kuna muda unakuta marehemu katika maisha yake alikuwa na matatizo yaliyomtesa sana kama magonjwa yenye maumivu makali sana, kwenda jela zenye mateso makali kifungo cha maisha, n.k.... kwa kifo chake ni wazi kabisa sasa marehemu kapumzishwa na mateso aliyokuwa akipitia yaliyotuumiza hata sisi, kwanini kwa upande wa pili isizoeleke kufurahia kifo chake endapo kifo kimestopisha hayo maumivu?
Tukiachana na upande wa maumivu, kuna muda unakuta marehemu katika maisha yake alikuwa na matatizo yaliyomtesa sana kama magonjwa yenye maumivu makali sana, kwenda jela zenye mateso makali kifungo cha maisha, n.k.... kwa kifo chake ni wazi kabisa sasa marehemu kapumzishwa na mateso aliyokuwa akipitia yaliyotuumiza hata sisi, kwanini kwa upande wa pili isizoeleke kufurahia kifo chake endapo kifo kimestopisha hayo maumivu?