Pale simba hakuna viongozi bali kuna genge la wahuni tu

Pale simba hakuna viongozi bali kuna genge la wahuni tu

Majok majok

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2023
Posts
783
Reaction score
2,057
Ni ajabu sana na inasikitisha sana kwa timu inayojiita inao viongozi na viongozi hao hao wanashindwa kujua kanuni walizoshirikishwa kuzitengeneza juu ya viwanja vya kuchezea ligi kuu na FA?

Kiongozi bila aibu eti anaomba timu ikachezee Zanzibar kwani huku bara hakuna viwanja? Wamekimbia CHAMAZI lakini hii nchi inavyo viwanja vingi tu vizuri kwanini waombe Zanzibar na huku wakijua kanuni inawakataa?

Viongozi wa Simba wanacheza sana na akili za mashabiki wao, wanajua hawatokubaliwa ili warudi waseme hatujapata matokeo kwakuwa hatukwenda Zanzibar.

Ukiwa na timu imara utashinda popote na ukiwa na timu ya ovyo ata ukikimbilia ulaya utakanyagwa tu!
 
Ni wapi na lini umeona viongozi wameomba kuchezea zanzibar?? Kuna taarifa yoyote rasmi ambayo ww umeipata toka kwa viongozi wakiwa wamepeleka maombi ya kuchezea Zanzibar? Au na ww umesikia tetesi kutoka kwa vyanzo visivyo rasmi kama wengine tuu??
 
Tangu ameondoka Barbra timu hovyo hovyo. Walimpigia fitna ili waingie wafanye upigaji
 
Ni ajabu sana na inasikitisha sana kwa timu inayojiita inao viongozi na viongozi hao hao wanashindwa kujua kanuni walizoshirikishwa kuzitengeneza juu ya viwanja vya kuchezea ligi kuu na FA?

Kiongozi bila aibu eti anaomba timu ikachezee Zanzibar kwani huku bara hakuna viwanja? Wamekimbia CHAMAZI lakini hii nchi inavyo viwanja vingi tu vizuri kwanini waombe Zanzibar na huku wakijua kanuni inawakataa?

Viongozi wa Simba wanacheza sana na akili za mashabiki wao, wanajua hawatokubaliwa ili warudi waseme hatujapata matokeo kwakuwa hatukwenda Zanzibar.

Ukiwa na timu imara utashinda popote na ukiwa na timu ya ovyo ata ukikimbilia ulaya utakanyagwa tu!
 

Attachments

  • 1706337018288.jpg
    1706337018288.jpg
    29.5 KB · Views: 3
Ni wapi na lini umeona viongozi wameomba kuchezea zanzibar?? Kuna taarifa yoyote rasmi ambayo ww umeipata toka kwa viongozi wakiwa wamepeleka maombi ya kuchezea Zanzibar? Au na ww umesikia tetesi kutoka kwa vyanzo visivyo rasmi kama wengine tuu??
Wewe kaa usubilie tamko tu but barua Ishafika bodi ya ligi na sisi wenye vyanzo nyeti tiyali tunayo kwaiyo kaa kwa kutulia mmefuga WAHUNI pale na sio viongozi
 
Wewe kaa usubilie tamko tu but barua Ishafika bodi ya ligi na sisi wenye vyanzo nyeti tiyali tunayo kwaiyo kaa kwa kutulia mmefuga WAHUNI pale na sio viongozi
Kila mtu anajifanya ana vyanzo nyeti..
 
Ni wapi na lini umeona viongozi wameomba kuchezea zanzibar?? Kuna taarifa yoyote rasmi ambayo ww umeipata toka kwa viongozi wakiwa wamepeleka maombi ya kuchezea Zanzibar? Au na ww umesikia tetesi kutoka kwa vyanzo visivyo rasmi kama wengine tuu??
ZBC ndo wametoa hiyo habari, na wao sio chanzo cha kuaminika?
Ukweli ni kwamba viongozi wa Simba ni changamoto.
 
labda tunguli lao halishiki netweki likiwa bara ,inabidi waende zenji ndo netweki itashika
 
Ni ajabu sana na inasikitisha sana kwa timu inayojiita inao viongozi na viongozi hao hao wanashindwa kujua kanuni walizoshirikishwa kuzitengeneza juu ya viwanja vya kuchezea ligi kuu na FA?

Kiongozi bila aibu eti anaomba timu ikachezee Zanzibar kwani huku bara hakuna viwanja? Wamekimbia CHAMAZI lakini hii nchi inavyo viwanja vingi tu vizuri kwanini waombe Zanzibar na huku wakijua kanuni inawakataa?

Viongozi wa Simba wanacheza sana na akili za mashabiki wao, wanajua hawatokubaliwa ili warudi waseme hatujapata matokeo kwakuwa hatukwenda Zanzibar.

Ukiwa na timu imara utashinda popote na ukiwa na timu ya ovyo ata ukikimbilia ulaya utakanyagwa tu!
 

Attachments

  • IMG-20240128-WA0007.jpg
    IMG-20240128-WA0007.jpg
    65.9 KB · Views: 2
Back
Top Bottom