Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,743
- 25,564
Pesa zinatoka wapi? Hivi hilo soko ni la halmashauri au la taifa?
Tozo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pesa zinatoka wapi? Hivi hilo soko ni la halmashauri au la taifa?
Wameitwa masheikh wakuu kwenda kusoma kisomo ili mandondocha yote yaliopo pale yaondoke yenyewe kuelekea baharini kisha serikali itajenga vibanda vya kunywea kahawa paleHabari ya saizi waungwana. Nimekutana na hizi taarifa mitandaoni nimeona nije niulize maswali nijiridhishe. Kwa wataalamu wa ujenzi. Pale soko la karikaoo panajengwa foundation from the scratch au ni ukarabati gani unaofanywa??? Wa Bilioni 32.
Jamani zaidi ya rangi na partition sijui kama kuna kingine cha kubadilisha.
Labda mniambie ni foundation mpya inajengwa. Lakini kwa hela hiyo hapana. Tuna matatizo mengi sana ya kushughulikia tukianza na huo umeme mnaosua sua kutuambia na hayo maji yanayo katika katika ovyo. Tanzania🤦🏽♀️
Mtatufanya tuanze kufikiria kwamba limechomwa makusudi ili watu wapate pa kupiga hela. Smh
Upande wa soko dogo ndio utajengwa soko kubwa la ghorofa.Habari ya saizi waungwana. Nimekutana na hizi taarifa mitandaoni nimeona nije niulize maswali nijiridhishe. Kwa wataalamu wa ujenzi. Pale soko la karikaoo panajengwa foundation from the scratch au ni ukarabati gani unaofanywa??? Wa Bilioni 32.
Jamani zaidi ya rangi na partition sijui kama kuna kingine cha kubadilisha.
Labda mniambie ni foundation mpya inajengwa. Lakini kwa hela hiyo hapana. Tuna matatizo mengi sana ya kushughulikia tukianza na huo umeme mnaosua sua kutuambia na hayo maji yanayo katika katika ovyo. Tanzania🤦🏽♀️
Mtatufanya tuanze kufikiria kwamba limechomwa makusudi ili watu wapate pa kupiga hela. Smh
Haujapigwa tukia ujengewe kitu mpyaaaaTumeshapigwa Kodi zetu
Tumepigwa Kodi zetu
Ramani ile ile ni gharamaCase Closed umefafanua vyema kwamba jengo linashushwa lote na wanalijenga kwa ramani ile ile.
Lini mutapunguza hizi chuki? Mutakufa bure kwa pressureWameitwa masheikh wakuu kwenda kusoma kisomo ili mandondocha yote yaliopo pale yaondoke yenyewe kuelekea baharini kisha serikali itajenga vibanda vya kunywea kahawa pale
Yani unalalamikia hako ka bilioni 32 wakati kuna mtu alipiga 1.5 trillion na uka kaa kimyaaa!Habari ya saizi waungwana. Nimekutana na hizi taarifa mitandaoni nimeona nije niulize maswali nijiridhishe. Kwa wataalamu wa ujenzi. Pale soko la karikaoo panajengwa foundation from the scratch au ni ukarabati gani unaofanywa? Wa Bilioni 32.
Jamani zaidi ya rangi na partition sijui kama kuna kingine cha kubadilisha.
Labda mniambie ni foundation mpya inajengwa. Lakini kwa hela hiyo hapana. Tuna matatizo mengi sana ya kushughulikia tukianza na huo umeme mnaosua sua kutuambia na hayo maji yanayo katika katika ovyo. Tanzania[emoji2362]
Mtatufanya tuanze kufikiria kwamba limechomwa makusudi ili watu wapate pa kupiga hela. Smh
Labda we ndo ulikaa kimya aisee. Wenye uchungu nazo tuliongea ndo maana na wewe ukapata habari. Mchana mwemaYani unalalamikia hako ka bilioni 32 wakati kuna mtu alipiga 1.5 trillion na uka kaa kimyaaa!
Sijui ilitafuna Tsh ngapi.Ile kamati iliyoundwa na PM ilileta mrejesho?...maana minong'ono kuhusu huu moto ni mingi...na sasa tunashuhudia hela ikitolewa bila hata feedback anyway mwaka wao huu.....
Chuki dhidi ya nani?Lini mutapunguza hizi chuki? Mutakufa bure kwa pressure
Hayo maelezo yako yameonyesha una chuki dhidi ya watu fulani, kwa nini umetaja vibanda vya kahawa?Chuki dhidi ya nani?
Chuki inakutafuna,unaonekana kuna jamii fulani inakutesa sana kwa chuki uliyoifuga juu yao.Wameitwa masheikh wakuu kwenda kusoma kisomo ili mandondocha yote yaliopo pale yaondoke yenyewe kuelekea baharini kisha serikali itajenga vibanda vya kunywea kahawa pale