CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
Humu ndani ni ukweli kwamba kila mtu ana ndugu na jamaa na marafiki ambao kwa sasa wako kitaa hawana kazi na wengine wamepiga hada Masters na wako mtaani.
Kizazi cha kuto dhubutu kilianza enzi za ujamaa ila pamoja na ujamaa kuisha badi kizazi hicho kingalipo. Kwa sasa kuna tatizo kubwa sana la ajiea na muda si mrefu hili tatizo litakuwa katika kiwango ambacho hakiwezi dhibitiwa.
Watu wamesoma wako mtaani, watu wamemaliza mwaka 2013 wako mtaani wanatafuta kazi.
KWA NINI WAKO MTAANI?
-wazazi wao waliwaaminisha wasome waje kuajiriwa wawe mameneja hivyo wao tangu wanasoma walijua wanaenda kuajiriwa.
- Walimu nao waliwasisitizia wasome waje kupata kazi nzuri waajiriwe kwenye kampuni kubwa
- Marafiki nao waliwasisitizia hivyo hivyo.
-Kaka zao na ndugu wengine waliwasisitizia hivyo hivyo wasome waje kupata kazi nzuri.
- Majirani zao wate, mashangazi,wajomba wote wameajiriwa .
Hawa walioko mtaani ni zao la muda mrefu sana la kupandikiziwa habari za kwamb wanasoma waje kupata kazi nzuri, wawe mameneja.
Sasa ndo hapo wako mtaani wanasubilia zile ndoto za kazi nzuri zitimie.
SASA BASI
Tunapojaribu kupunguza kizazi cha kiwaza ndani ya box tunaonekana wabaya eti tunachukia wafanya kazi.
Nani anachukia wafanyakazi? wafanyakazi si ndo wanunuzi wakubwa? wafanyakazi si ndo wanapesa za kununua? Humu tunajaribu kutengeneza kizazi cha watu kudhubutu, kizazi cha watu wasio kiwa waoga, kizazi cha watu watakao soma wakiju wanaenda kuwa wajiri.
HUMU WANAINGIA WANAFUNZI WA VYUO
Sasa wakiingia humu napo wakutane na story za kuajiriwa si ndo hapo wanapo endelea kijuakwamba wanasoma wakaajiriwe?
Watu watandelea kujaa kwenye Interview kwa sababu tuna kizazi cha kuaminiswa kwamba tunasoma tuajiriwe na still hicho kizazi kinaendelea kiwepo.
HAKUNA ANAYECHUKIA WAFANYAKAZI BALI TUNATENGENEZA KIZAZI CHA KUJARIBU AU KUDHUBUTU.
NB: anzeni kubadilisha mindset za watoto wenu, waambie wanasoma waje kuwa wafanya biashara wakubwa, wanasoma waje kuajiri watu wengine, wanasoma waje kufungua kampuni zao.
ACHENI KUENDELEA KUWAAMINISHA KWAMBA WANASOMA WAJE KUWA MAMENEJA NA WAFANYE KAZI BANDALINI AU BENKI.
Kizazi cha kuto dhubutu kilianza enzi za ujamaa ila pamoja na ujamaa kuisha badi kizazi hicho kingalipo. Kwa sasa kuna tatizo kubwa sana la ajiea na muda si mrefu hili tatizo litakuwa katika kiwango ambacho hakiwezi dhibitiwa.
Watu wamesoma wako mtaani, watu wamemaliza mwaka 2013 wako mtaani wanatafuta kazi.
KWA NINI WAKO MTAANI?
-wazazi wao waliwaaminisha wasome waje kuajiriwa wawe mameneja hivyo wao tangu wanasoma walijua wanaenda kuajiriwa.
- Walimu nao waliwasisitizia wasome waje kupata kazi nzuri waajiriwe kwenye kampuni kubwa
- Marafiki nao waliwasisitizia hivyo hivyo.
-Kaka zao na ndugu wengine waliwasisitizia hivyo hivyo wasome waje kupata kazi nzuri.
- Majirani zao wate, mashangazi,wajomba wote wameajiriwa .
Hawa walioko mtaani ni zao la muda mrefu sana la kupandikiziwa habari za kwamb wanasoma waje kupata kazi nzuri, wawe mameneja.
Sasa ndo hapo wako mtaani wanasubilia zile ndoto za kazi nzuri zitimie.
SASA BASI
Tunapojaribu kupunguza kizazi cha kiwaza ndani ya box tunaonekana wabaya eti tunachukia wafanya kazi.
Nani anachukia wafanyakazi? wafanyakazi si ndo wanunuzi wakubwa? wafanyakazi si ndo wanapesa za kununua? Humu tunajaribu kutengeneza kizazi cha watu kudhubutu, kizazi cha watu wasio kiwa waoga, kizazi cha watu watakao soma wakiju wanaenda kuwa wajiri.
HUMU WANAINGIA WANAFUNZI WA VYUO
Sasa wakiingia humu napo wakutane na story za kuajiriwa si ndo hapo wanapo endelea kijuakwamba wanasoma wakaajiriwe?
Watu watandelea kujaa kwenye Interview kwa sababu tuna kizazi cha kuaminiswa kwamba tunasoma tuajiriwe na still hicho kizazi kinaendelea kiwepo.
HAKUNA ANAYECHUKIA WAFANYAKAZI BALI TUNATENGENEZA KIZAZI CHA KUJARIBU AU KUDHUBUTU.
NB: anzeni kubadilisha mindset za watoto wenu, waambie wanasoma waje kuwa wafanya biashara wakubwa, wanasoma waje kuajiri watu wengine, wanasoma waje kufungua kampuni zao.
ACHENI KUENDELEA KUWAAMINISHA KWAMBA WANASOMA WAJE KUWA MAMENEJA NA WAFANYE KAZI BANDALINI AU BENKI.