The useful idiot
JF-Expert Member
- Jul 14, 2024
- 1,019
- 2,670
Hata Kaka yake shetani atakushangaa kwa hii commentila wabongo bwana! Sasa apa mungu anaingiaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Kaka yake shetani atakushangaa kwa hii commentila wabongo bwana! Sasa apa mungu anaingiaje?
Hata kukaa kimya nako ni uhuru.Hili ni jukwaa huru
Kutokukaa kimya pia ni uhuruHata kukaa kimya nako ni uhuru.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Yeye Kamhusosha Mungu “M” capital letter huyo wa kwako ana “m” ndogo ni vitu viwili tofautiila wabongo bwana! Sasa apa mungu anaingiaje?
Aisee wapo mnaoamini kuwa Scania na Benz hazina ajali?Mbona enzi za malori ya Scania, Leyland, Benz, Fiat ajali za namna hii hazikuwepo
Ulikuwa bado mtotoMbona enzi za malori ya Scania, Leyland, Benz, Fiat ajali za namna hii hazikuwepo
I'm resting my case for nonsensical discussion.Kutokukaa kimya pia ni uhuru
"Mtalo". "Mtaloni". Dah.Nimshukuru Mungu kwa kulinda leo 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Leo hii saa 4 usiku nipo siti ya mwisho kabisa kwenye daladala ya kutokaea Kongowe kwenda Mbagala Rangi 3 kwenye kilima kile baada ya mto kufika Rangi 3 Ghafla naona abiria wenzangu wanakimbilia mlangoni, wengine wanatokea madirishani wengine wanaruka mlangoni.
Nami nikatoka nduki kwenda mlangoni ila sikufanikiwa kutoka maana dereva wa daladala alikuwa anarudi reverse.
Ndio nachungulia mbele naona Malori mawili yanatumbukia moja mtalo wa kulia lingine kushoto na bajaji moja mbele yetu mtalo wa kulia.
Kumbe Lori moja limefeli breki likawa inarudi nyuma. Dereva wa Lori la pili akarudi nyuma kukwepa ndio kuingia mtaloni.
Kama wale madereva waliingizwa malori yao mtaloni makusudi ili wasitusombe magari ya nyumba Mungu awabariki maana sijui ingekuwaje leo.
Yule dereva Bajaji pole yake nadhani hamna aliyeumia kwenye Bajaji.
Asante Mungu, naomba nifike salama leo nyumbani bado naungaunga daladala hadi Pugu usiku huu 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Kiswahili kigumu sana"Mtalo". "Mtaloni". Dah.
Uoni avatar yake mkuuFicha ujinga wako Kama hauna Cha ku comment pita kimya KIMYA mzeee
Kile kipande sijui wachina walifukia hapo nin. haipiti wiki ujaskia tukio hapo..Kwa taarifa yako hapo mto Mzinga ni jambo la kawaida, kupita salama si kawaida.
Enzi za scania tena na Benz...Hayo si ndio magari ya kisasa labda Fiat na leyland ndio ya EnziMbona enzi za malori ya Scania, Leyland, Benz, Fiat ajali za namna hii hazikuwepo
Kweli atakua anakimbizwaa😊😊Uoni avatar yake mkuu
Usikute ana comment akiwa anakimbizwa🤔
Mchezo umemalizika, Kocha Mgunda tupe maoni yako ya mchezo wa leoila wabongo bwana! Sasa apa mungu anaingiaje?
Wewe unaamini kwenye nini?!ila wabongo bwana! Sasa apa mungu anaingiaje?
Ulitaka nimshukuru Mama Samia 😂ila wabongo bwana! Sasa apa mungu anaingiaje?
Asante mkuuPole sana ndugu....