Pale unaona abiria mwenzako kwenye daladala wanakimbilia kutoka mlangoni na madirishani

Dah barabarani kuna mambo mengi sana ukifika salama home sema asante mungu
 
Pole sana Mkuu.

Ila wanasemaga hiyo ya kuruka ruka saa ingine hata sio nzuri sababu unaweza kukuta mtu ndo anapata madhara zaidi.
 
Kuna barabara za kuchepuka pale kushoto na kulia sijui kwa nini madereva huwa hawazitumii kidogo zile salama.
 
"Mtalo". "Mtaloni". Dah.
 
ila wabongo bwana! Sasa apa mungu anaingiaje?
Mchezo umemalizika, Kocha Mgunda tupe maoni yako ya mchezo wa leo
"Kwanza tunamshukuru mwenyenzi mungu hamdulilah, mchezo una matokeo matatu blah blah..."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…