Pale unapotafuta mchumba kwa kutumia Video Conference na ukakataliwa na muhitaji baada ya kukuona

Pale unapotafuta mchumba kwa kutumia Video Conference na ukakataliwa na muhitaji baada ya kukuona

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Teknolojia imekua, na mambo mengi yanafanyika kutokana na ukuaji huo wa teknolojia ili kurahisisha mambo. Kwa upande wa uhusiano, unaweza kutafuta mchumba popote pale duniani na mkaonana kwa kutumia vifaa vya mawasiliano.

Kumekuwa na wimbi la kutafuta wachumba kimtandao, na wakati mwingine inafikia pande zote mbili kutaka kuona muonekano wa mwenzake.

Swali, Utajisikiaje pale unapotafuta mchumba kwa njia ya mtandao kwa kutumia video conference, na ukakataliwa na muhitaji baada ya kuona sura au muonekano wako?
 
Kawaida tu,
Kwa kuwa anaekukataa atasema sijavutiwa nawe japo wew waweza kua mzur zaidi kwa mtu mwingine, huenda kwa kigezo cha rangi.

Lakin kama unachanwa kabisa wew mbaya, hapo ni tatizo
 
Kawaida tu,
Kwa kuwa anaekukataa atasema sijavutiwa nawe japo wew waweza kua mzur zaidi kwa mtu mwingine, huenda kwa kigezo cha rangi.

Lakin kama unachanwa kabisa wew mbaya, hapo ni tatizo
ha ha ha alafu unachanwa huku umma wa watu ukikutazama
 
Kuna chanel moja niliangalia, mtu anakataliwa 'live' jamaa anajitetea kama anaomba ajira, anatazamwa halafu anaambiwa hapana....
Dah yaani mimi msichana akinikataa basi anashusha confidence yangu hatari...Ila bora unikatae kuliko unichume na kucheza na emotions zangu.
 
Ni suala la kawaida.
Halaf always weka kichwani , si kila unapo date na mwanamke utafanikiwa.
Kuna kupoteza na kupata.
Huyo anae kukataa ana vigezo vyake. Huwez mlazimisha akukubali.
Kuna mwingine atakukubali hata kama una sura chungu.
So ni game of probability.
 
Katika kutafuta kuna kupata na kukosa yote matokeo
Kisaikolojia utajihisi vipi, ikiwa yule anatafuta na wewe unatafuta; ila baada ya kuona muonekano wako...anasema wewe humfai?
 
Ni suala la kawaida.
Halaf always weka kichwani , si kila unapo date na mwanamke utafanikiwa.
Kuna kupoteza na kupata.
Huyo anae kukataa ana vigezo vyake. Huwez mlazimisha akukubali.
Kuna mwingine atakukubali hata kama una sura chungu.
So ni game of probability.
Kweli mkuu,lazima ujiandae kwa matokeo ya aina yoyote
 
Kisaikolojia utajihisi vipi, ikiwa yule anatafuta na wewe unatafuta; ila baada ya kuona muonekano wako...anasema wewe humfai?
Don't take it negative pengine you're too expensive kuliko yeye, amejipima akaona levels zipo tofautiana
 
Back
Top Bottom