ha ha ha ha haHivi humu ndani kuna watu wenye sura mbaya?
JF kila mtu ni handsome na ana "kipato cha kati".
Sidhani kama kuna mtu ameshawahi kukataliwa humu! Humu kila mtu ni presentable.
Laiti kama keyboards zingekuwa zinaonesha sura, kwa hakika hata kule PM pangechacha.
Everyone is cute behind keyboards until you meet them in person and regret why you wasted your time being so romantic.
Hao ndio walipa kodi sasa kama ulikuwa hujui πππKuna cha kujifunza hapa
ha ha ha haHao ndio walipa kodi sasa kama ulikuwa hujui πππ
Au hili unapinga mzee wangu? [emoji23][emoji23][emoji23]ha ha ha ha
Mkuu we jaribu kuwa unahudhuria kila siku kuanzia saa 4...utakuwa unacheka tuAu hili unapinga mzee wangu? [emoji23][emoji23][emoji23]
Haya nitafanya hivyo [emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu we jaribu kuwa unahudhuria kila siku kuanzia saa 4...utakuwa unacheka tu
ha ha ha ha, ingia youtube: pata mpenzi chap chapHaya nitafanya hivyo [emoji23][emoji23][emoji23]