Palestina wachukua uamuzi wa kiume, wakataa kilemba cha ukoka

Palestina wachukua uamuzi wa kiume, wakataa kilemba cha ukoka

Wapalestina bwana sijui walimkosea nini Allah maana mgogoro wao wa ardhi umeshindwa kusuluhishwa kabisa hata na Lukuvi
 
Kumbe kuna Mungu wa ngapi?? Kuna Mungu wa Wahindi. Mungu Wa Wafrika.. kuna Mungu wa wazungu, Wachina wa waKorea wa waarabu wa Jua wa mwezi na wawanyama !!!! Eeeeh pole Mungu..wee
Miungu iko mingi; mingi mno chief. miungu haina idadi toka enzi na enzi wanadamu wamekuwa na kila aina ya miungu na itaendelea kuwa hivyo.
 
Wapalestina bwana sijui walimkosea nini Allah maana mgogoro wao wa ardhi umeshindwa kusuluhishwa kabisa hata na Lukuvi
... Lukuvi tena! Ha ha ha! Mfupa mgumu ule. Nebukadreza mwenyewe kaucha kama ulivyo ndio itakuwa Lukuvi chief? Usimwonee Lukuvi wa watu kumtaja kwenye mambo yasiyomhusu.
 
... kutangaza kuifuta Israel kwenye uso wa duniani was one of the biggest mistakes ever!

Kwa kuwa mbingu na ardhi zitapita bila hilo kutekelezeka;

na kwa kuwa ardhi ile alipewa Ibrahim kuwa miliki yake na kizazi chake milele;

na kwa kuwa mbingu na ardhi zitapita bila yodi wala nukta moja ya Torati kutanguka;

hivyo basi, wenye akili wamegundua kuendelea kushupaza shingo ni kujilisha upepo.

Ni busara Palestina ikaungana na waarabu wenzie wenye nia njema kutafuta amani na Israel kwa faida yao wenyewe na vizazi vyao kwani hayo wanayoyatamani na kuyataka hayatokaa yatimie hadi kiama!
Nikiwa kama mkatoliki safi nakushangaa wewe unayeyetea vitu usivyovijua. Yaani hawa wazungu waliokosa ardhi ujerumani na ulaya unawaita ndio kizazi cha ibrahimu? Kwa taarifa yako waizrael bado wapo utumwani wabahangaika.
 
Nikiwa kama mkatoliki safi nakushangaa wewe unayeyetea vitu usivyovijua. Yaani hawa wazungu waliokosa ardhi ujerumani na ulaya unawaita ndio kizazi cha ibrahimu? Kwa taarifa yako waizrael bado wapo utumwani wabahangaika.
... haina shida; wafuteni kwenye uso wa dunia kama mlivyojiapiza!
 
... kutangaza kuifuta Israel kwenye uso wa duniani was one of the biggest mistakes ever!

Kwa kuwa mbingu na ardhi zitapita bila hilo kutekelezeka;

na kwa kuwa ardhi ile alipewa Ibrahim kuwa miliki yake na kizazi chake milele;

na kwa kuwa mbingu na ardhi zitapita bila yodi wala nukta moja ya Torati kutanguka;

hivyo basi, wenye akili wamegundua kuendelea kushupaza shingo ni kujilisha upepo.

Ni busara Palestina ikaungana na waarabu wenzie wenye nia njema kutafuta amani na Israel kwa faida yao wenyewe na vizazi vyao kwani hayo wanayoyatamani na kuyataka hayatokaa yatimie hadi kiama!
dogo Ibrahim ni nani kwa warabu? Na nani kwa waisrael?

Afu nani katika watoto wa Ibrahim alitolewa kafara ya kumchinja mnyama? Ukijibu hapo ndio tamini dini unaijua kama huwezi funga domo lako ungojee mpaa siku ya kiama ndio utajua nani ni kipenzi wa Mungu waislam au wayahudi.

We kama mkristo nieleze wewe ni kazizi cha nani?

Au nyie wakristo hamna wazazi?

Tunajua Waislam wametokana na Ismail na Wayahudi kwa Ishaq wewe mkristo umetoka wapi?
 
Gaddafi aliwachana waarabu na kuwaambia ni unafiki mtupu ndani. Wanakutana vikaoni lakini kila mmoja anamchukia mwenzake!
Kila kikao kinachofanyika Israel huwa imeshatanguliza wajumbe wanafiki kuwatetea.Huyu akisema hivi yule anajibu vyengine mpaka mwisho.
 
Palestina yenyewe ishachokwa kitambo ndio wakati wake wakutokomezwa. Hana ubavu wa Kushindana na Arabs Country pia Palestina ni Omba omba tu.
Palestina tangu zamani ni tajiri sana wana ardhi nzuri ya mizaituni ambayo ni chakula bora hasa mafuta yake yanauzika dunia nzima.Mashamba yao ndhio hayo yanayotekwa na kuvurugwa na wayahudi.Wana bahari yenye samaki wengi ambapo wanaweza kula na kusindika wakauza mpaka Tanzania lakini hawaachiwi kuvua zaidi ya masafa mtu anapoweza kuogelea na kurudi ufukweni.

Wana msikiti wa tatu kwa utukufu duniani ambao una maelekezo maalum kwa waislamu ndani ya Qur'an na maeneo mengi ya kihistoria za dini ya Mwenyezi Mungu. Huu msikiti peke yake unaweza ukailisha Palestina kutokana na utalii kama vile Baitul Haram unavyotoa pato kubwa la Saudi Arabia.
 
Hivi wa Palestine hawana hela tuwauzie hata Wilaya ya kaliua ?
Maana hiyo nchi hawaipati na waarabu wenzao washatambua hivyo hawana mda wa kupoteza kushirikiana na mnyonge
Wewe umekosa akili kwanini tusikuuze wewe unataka tutoe ardhi ya taifa letu kwa manufaa ya nani.
 
... miungu iko mingi; mingi mno chief. miungu haina idadi toka enzi na enzi wanadamu wamekuwa na kila aina ya miungu na itaendelea kuwa hivyo.
Unatofautisha vp "Mungu na mungu" kwenye matamshi?
 
Unatofautisha vp "Mungu na mungu" kwenye matamshi?
... umenikumbusha homophones - maneno yenye matamshi yanayofana (sea vs see, eye vs I, etc.). Context itatofautisha.
 
Kwa kifupi waarabu hawana umoja tena, umoja wao ushalaghaiwa na marekan kwa pesa, mfano Saudia Arabia ndo ashakuwa kibaraka namba moja wa marekani kwa sasa, ule ufalme wa saudia ni wa kisenge sana huu ndo umaharibu umoja kwenu Arab league
 
... kutangaza kuifuta Israel kwenye uso wa duniani was one of the biggest mistakes ever!

Kwa kuwa mbingu na ardhi zitapita bila hilo kutekelezeka;

na kwa kuwa ardhi ile alipewa Ibrahim kuwa miliki yake na kizazi chake milele;

na kwa kuwa mbingu na ardhi zitapita bila yodi wala nukta moja ya Torati kutanguka;

hivyo basi, wenye akili wamegundua kuendelea kushupaza shingo ni kujilisha upepo.

Ni busara Palestina ikaungana na waarabu wenzie wenye nia njema kutafuta amani na Israel kwa faida yao wenyewe na vizazi vyao kwani hayo wanayoyatamani na kuyataka hayatokaa yatimie hadi kiama!
Inawezekana ukawa na wazo la msingi ila lime base kidni zaid (Biblia) , maana hii hadith ya wana wa Israel ilivyo kwenye Biblia na kwenye Quran ni tofaut ndo maan hata vita vyao haviishi pia, kwa hiyo hili suala lichumbue tu katika mtazamo wa siasa za kidunia ila ukipeleka katika mtizamo wa kidini basi utaishia kukosa ya kwanini vita ya wayahudi na waarabu wa palestina haijaisha since 1948 mpka leo
 
... umenikumbusha homophones - maneno yenye matamshi yanayofana (sea vs see, eye vs I, etc.). Context itatofautisha.
Hapo inategemea na imani au mtazamo wa mtu,mfano wewe utasema Yesu ni "Mungu" ila muislamu atasema Yesu ni "mungu" na si Mungu.
 
Hapo inategemea na imani au mtazamo wa mtu, mfano wewe utasema Yesu ni "Mungu" ila muislamu atasema Yesu ni "mungu" na si Mungu.
Mkristo akisema Allah ni mungu na Mohamed ni mtume wa uongo atakuwa anakosea?
 
Back
Top Bottom