Israel ni taifa la shetani tuu na huyu america ndo shetani mwenyewe hakuna jema wanalofanya likampendeza mungu halipooAngalia hili nalo lilivyo lipumbavu, hebu nitajie hata mtu mmoja tu ambae alibarikiwa na mungu na hakuwahi kupata matatzo yoyote tangu kuumbwa kwa hii dunia!!!?
Madogo hampendi kabisa kusoma. Mnapenda kutafunwa tu mnameza. Haya soma hapoNioneshe janga la moto kubwa kuliko hili hapo
Nioneshe janga la moto kubwa kuliko hili hapo
Wamevurugwa kinoma kujua mungu mkuu yupo na wapalestina!! Aijawai tokea Duniani moto wa ivi Tunaiyona Gaza pale pale marekani!!!!!!Tatizo mlisema ukiibariki Israeli basi nawe utabarikiwa sasa tuna shangaa kinacho ikuta marekani leo
Changia kwa ustaarabu acha kukashifu imani za watuWaislamu akili zenu ni kama mende mbona lilitokea tetemeko pale uturuki likaua watu zaidi ya 2000 na maelfu ya mali ziliharibika hamkusema wanapewa adhabu na mungu pale Saudia watu walikanyagana pale kwenye kile kijumba wakafa watu maelfu nako walipewa adhabu na Nani?
Wavaa kamba y ya mbuzi shingoni,moto unawamaliza.makobaz huwa majinga sana, mnachokoza mkipigwa mnaanza kulia lia.
I don't buy it...Hata kama ana bima ila ameona kuwa na yeye pia anaweza kuwa displaced kama watu wa ghaza walivyo displaced.
Ndivyo huyo mungu alivyokuambia...!!!Israel ni taifa la shetani tuu na huyu america ndo shetani mwenyewe hakuna jema wanalofanya likampendeza mungu halipoo
Mbona moto ndo unazidi kasi sasaI don't buy it...
Mnajifariji kijinga tu, USA wako mbele mzee we fatilia tu jinsi wanadeal na hiyo ishu yao.
Wala hawasaidiwi ni wao na serikali yao, na hapohapo huku ndichi bado misaada itaendelea kuja tu pamoja na hilo janga lao.
Aloo wale watu wamejidhatiti
Ni kweli wamejizatiti sana na wako juu kiteknolojia ila nina imani hata wewe hukutegemea ule moto kuleta madhara kiasi kwamba unakuja kuunguza mji sio misitu unaunguza mji na wameshindwa kuuzuia mpaka sasa hapo sasa ndo mungu unapoonekana uwezo wake mkubwa kuliko wanadamuI don't buy it...
Mnajifariji kijinga tu, USA wako mbele mzee we fatilia tu jinsi wanadeal na hiyo ishu yao.
Wala hawasaidiwi ni wao na serikali yao, na hapohapo huku ndichi bado misaada itaendelea kuja tu pamoja na hilo janga lao.
Aloo wale watu wamejidhatiti
Mnamsingizia mungu tu, yaani awaletee moto ilhali anao uwezo wa kula vichwa vya wadhambi wote.Ni kweli wamejizatiti sana na wako juu kiteknolojia ila nina imani hata wewe hukutegemea ule moto kuleta madhara kiasi kwamba unakuja kuunguza mji sio misitu unaunguza mji na wameshindwa kuuzuia mpaka sasa hapo sasa ndo mungu unapoonekana uwezo wake mkubwa kuliko wanadamu
Mungu mwacheni aitwe mungu ndani ya macho yetu tunaona nguvu za mungu yale yale wanayofadhili kule GAZA sasa nawao wanapisha hospital pengine kuna magaidi wamejificha umo hospitalini wagojwa wanatolewa!!! Aisee apana wapalestina wataogopwa son tu ata waisrael watakimbia ukweli utajidhiili marekani inaadhibiwa kwa matendo yake!!! Aijawai kuwa ktk historia yote ya marekani huu ni mkono wa mungu,Los Angeles Hospital evacuates as the American Administration fails to put out the fire that takes over the city
Wao wanapeleka moto kwa wapalestina nawao sasa wameletewa MOTO risasi za moto sana maboom pia ni MOTO kwawasiojua.Mnamsingizia mungu tu, yaani awaletee moto ilhali anao uwezo wa kula vichwa vya wadhambi wote.
Unaunderestimate uwezo wa Mungu mkuu, acha mara moja, siku ya kiama bado.
Kwahiyo moto kufika mbali ndo Mungu kauanzisha??Mbona moto ndo unazidi kasi sasa
Wasipo jiangalia moto utafika Washington asubuhi tu
Aisee, ni vizuri kujifarijiWao wanapeleka moto kwa wapalestina nawao sasa wameletewa MOTO risasi za moto sana maboom pia ni MOTO kwawasiojua.