Palestine vs California

Palestine vs California

Tafuteni njia muwaumize na ninyi sio kutegemea majanga, hapo likiisha hili janga mnaanza tena kuomba mungu aingilie kati vita ya Gaza.
Tatizo lenu sasa anajidqi sio mungu kafanya aya!! Lkn sasa ingekuwa ndio IRAN inaungua kama ivi nyinyi apoo ndio mngedai Sijui Jehova sijui wana wa Jakobo ukishindana nao mungu wa Israel ana nguvu yani saiiiiiii apa tungekuwa tunachungulia na kusepa Jehova Jehova leo Haa sio mungu ni mambo ya asili!!!! Mnarukaruka kama pop corn!!!
 
Tatizo lenu sasa anajidqi sio mungu kafanya aya!! Lkn sasa ingekuwa ndio IRAN inaungua kama ivi nyinyi apoo ndio mngedai Sijui Jehova sijui wana wa Jakobo ukishindana nao mungu wa Israel ana nguvu yani saiiiiiii apa tungekuwa tunachungulia na kusepa Jehova Jehova leo Haa sio mungu ni mambo ya asili!!!! Mnarukaruka kama pop corn!!!
Unadhani kila mtu ana chuki za kidini kama ulivyo wewe!! Badili mtazamo kijana.
 
Karma is real mzee hata kama hautarelate na ghaza but me naamini kinachowakuta ni karma ya kile walichokifanya, loss watakayoipata itaexceed zaidi ya mara tano ya ile hasara ya ghaza.
Unajaribu kulinganisha roho za watu na vitu mali nyumba, gari.
Ghaza wamekufa watu zaidi ya elfu 30 mji wa ghaza umefanywa vifusi
Los Angeles sehemu tu mji imeungua watu waliokufa sidhani ata kama wamefika 20
Kama ni mungu amewalipizia wapalestina kisasi basi amefeli vibaya sana
 
Unaacha kuwaonea huruma watu waliokuwa wakichanga hela ili watu wauliwe leo wanalia ovyo kwenye tv na kupelekewa misaada ya nguo na chakula unawaonea huruma waislamu?
Saudia kwenye kuhiji watu wanakanyagana mpaka tuseme Lile ni onyo mnapewa kwamba muache ujinga sio?
 
Ww ndo naona kichwani una cryptococco meningites . Mfano wako hata haufananii . Umeuliza kama ni kubariki usa yaye ni zaidi ya baraka kwa isarael lakin wapi
 
Saudia kwenye kuhiji watu wanakanyagana mpaka tuseme Lile ni onyo mnapewa kwamba muache ujinga sio?
mtu akianguka kwwnye watu wengi watu wanyakanyagana ,haya tuambie ule moto wa california unaovuka hadi barabara weww unaonaje? Na cha ajabu yule aliyesema kill them all ndio wa kwanza kwenda kulia kwenye tv ili dunia nzima ipate somo, na uzuri hata insurance hana iliisha tangu july, sasahivi yupo barabarani anapokea chakula cha msaada na nguo
 
This is irrelevant to the topic of discussion and it seems you're far from your senses and you're driven merely by religious bigotry than reasoning to write.
Itakuwa umeelewa kinachosemwa
 
Tatizo mlisema ukiibariki Israeli basi nawe utabarikiwa sasa tuna shangaa kinacho ikuta marekani leo
Ujinga na Upumbavu unawasumbua Gaza watu 46,000 na huko marekani moto umeteketeza misitu na nyumba waliokufa ni 10 huko misitu itapandwa na nyumba zitajengwa kwa mwaka mmoja tu huko Gaza uhai wa hao marehem utarudishwa vipi??? Hata hivyo hakuna uhusiano kati ya Gaza na janga la moto huko Marekani. Gaza magaidi waliua watu Oct 07,2023 na sasa wanavuna walichopanda.
 
Unajaribu kulinganisha roho za watu na vitu mali nyumba, gari.
Ghaza wamekufa watu zaidi ya elfu 30 mji wa ghaza umefanywa vifusi
Los Angeles sehemu tu mji imeungua watu waliokufa sidhani ata kama wamefika 20
Kama ni mungu amewalipizia wapalestina kisasi basi amefeli vibaya sana
20 vifo vipo vingi lkn bado awajaweza kuwafikia waliokufa kila siku utasikia wanaongezeka!! Lkn zaid majumba GAZA ilivunjwa na uko nako majumba kwama elfu yameteketea watu wapo ukimbizini ndani ya marekani misikiti mingi ya Gaza imeteketea uko nako makanisa mengi yameteketea Gaza imepigwa ya silaha za marekani MOTO umeipiga marekani kias ya ambacho akijawai tokea ktk history ya marekani tangu imeundwa., sisi tutaamini Mungu muweza wa yote kawapa kichapo!!!
 
20 vifo vipo vingi lkn bado awajaweza kuwafikia waliokufa kila siku utasikia wanaongezeka!! Lkn zaid majumba GAZA ilivunjwa na uko nako majumba kwama elfu yameteketea watu wapo ukimbizini ndani ya marekani misikiti mingi ya Gaza imeteketea uko nako makanisa mengi yameteketea Gaza imepigwa ya silaha za marekani MOTO umeipiga marekani kias ya ambacho akijawai tokea ktk history ya marekani tangu imeundwa., sisi tutaamini Mungu muweza wa yote kawapa kichapo!!!
Kama ni hivyo basi mungu wenu ni mjinga yaani aache kumpla adhabu mtendaji arukie kwa mwingine!! Kama kichapo alistahili kupewa Israel. Naamini mnaunganisha dots ili tu kujipa maneno ya faraja baada ya Hamas kupata kipigo cha kufa mtu hivyo mnatafuta Sympathy kwa nguvu zote hata hivyo haisaidii chochote Hamas na magaidi wengine wanaendelea mpaka sasa hivi kupata kipigo cha mbwa koko tu
 
Mnamsingizia mungu tu, yaani awaletee moto ilhali anao uwezo wa kula vichwa vya wadhambi wote.
Unaunderestimate uwezo wa Mungu mkuu, acha mara moja, siku ya kiama bado.

Shida humjui huyo Mungu tunaye muongelea. Ameshasema mwenyewe kwamba hizi adhabu ni kuwaonjesha tu.

Kingine, Mungu hapangiwi Cha kufanya japokuwa uwezo wa kuiteketeza hiyo miji ni chini ya sekunde.
 
Shida humjui huyo Mungu tunaye muongelea. Ameshasema mwenyewe kwamba hizi adhabu ni kuwaonjesha tu.

Kingine, Mungu hapangiwi Cha kufanya japokuwa uwezo wa kuiteketeza hiyo miji ni chini ya sekunde.
Sahihi kwa Mungu wetu ni kun faya kun
 
20 vifo vipo vingi lkn bado awajaweza kuwafikia waliokufa kila siku utasikia wanaongezeka!! Lkn zaid majumba GAZA ilivunjwa na uko nako majumba kwama elfu yameteketea watu wapo ukimbizini ndani ya marekani misikiti mingi ya Gaza imeteketea uko nako makanisa mengi yameteketea Gaza imepigwa ya silaha za marekani MOTO umeipiga marekani kias ya ambacho akijawai tokea ktk history ya marekani tangu imeundwa., sisi tutaamini Mungu muweza wa yote kawapa kichapo!!!
Upo sahihi kiongozi na lipo wazi kabisa marekani wanachezea bakora
 
Mimi kuna kitu sijakielewa au labda nina uelewa mdogo!

Moto uwake California sijui USA anayetembeza kichapo Mzayuni na yupo Mashariki ya Kati huko sasa unatoa wapi guts za kuamini moto huu umetokana na adhabu ya yanayoendelea huko Gaza?
 
Back
Top Bottom