Palmistry: Mkono wangu hauna mistari ya watoto

Palmistry: Mkono wangu hauna mistari ya watoto

Vi rendra

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2017
Posts
3,271
Reaction score
5,617
Habari wapenzi!

Katika pitapita zangu nmekutana na video youtube inaelekeza namna ya kujitazama mkono wako ukatambua utazaa watoto wangapi, wangapi wa kike ,wangapi wa kiume. Ndoa nk

Sasa mmejitazama mkono wangu wala hauna vijistari hivyo vya watoto walivyovielekeza.
wakuu mnaofahamu elimu ya mikono kwahiyo inamaanisha sitapata mtoto, maana sina mtoto kwa sasa
Karibuni.
 
kwahiyo mkuu hiyo mistari ya watoto umeamini ni watoto kweli?

haya sasa, mistari hauna, je hata watoto hauna/hautakuwanao?

inshu za kipuuzi kama hizo uzipotezeage, umeshakuwa!
 
kwahiyo mkuu hiyo mistari ya watoto umeamini ni watoto kweli?

haya sasa, mistari hauna, je hata watoto hauna/hautakuwanao?

inshu za kipuuzi kama hizo uzipotezeage, umeshakuwa!
Naomba niunge mkono hoja
 
Pole sana mkuu, kinacho kusumbua ni kitu cha kijinga kiache mala moja.
 
hizo contents za YouTube zisikuumize kichwa, wengi wanaweka uongo ili kuvuna views wengi
 
kwahiyo mkuu hiyo mistari ya watoto umeamini ni watoto kweli?

haya sasa, mistari hauna, je hata watoto hauna/hautakuwanao?

inshu za kipuuzi kama hizo uzipotezeage, umeshakuwa!
Sina watoto
Ni vitu vya kawaida tu vya kujifunza kama ukitaka na ukiamini.
mama angu mzazi alisomwaga mkono na mjuzi angali msichana miaka ya 70 akaambiwa atazaa watt watano wawili watakufa akaona masihara.
Amekuja kukumbuka mwaka huu akanisimulia kuna mtu alinisomaga mkono magomeni tulimzoea sana tukawa tunaona masihara.

kwahiyo ni maajabu tu ya dunia. kama huamini si basi
 
hizo contents za YouTube zisikuumize kichwa, wengi wanaweka uongo ili kuvuna views wengi
Bora umenishauri wewe mkuu maana watu wananibeza utadhani nmesema nachukulia serious kiivyo.
Nataka tu kuongeza maarifa ya duniani
 
njooo tufanye majaribio ili tuone kama kweli unaouwezo wa kupata mtoto au huna...ila humu hakuna mwenye uwezo wa kukujibu....no experiment no right to speak
 
Sina watoto
Ni vitu vya kawaida tu vya kujifunza kama ukitaka na ukiamini.
mama angu mzazi alisomwaga mkono na mjuzi angali msichana miaka ya 70 akaambiwa atazaa watt watano wawili watakufa akaona masihara.
Amekuja kukumbuka mwaka huu akanisimulia kuna mtu alinisomaga mkono magomeni tulimzoea sana tukawa tunaona masihara.

kwahiyo ni maajabu tu ya dunia. kama huamini si basi
unamiaka mingapi?
 
hayo mambo tunayadharau ila mda mwingine ukweli huja kukubali baadaee baada mambo kutokea
watu wanashindwa kutofautisha Fact na uchawi
Nyota ni Fact, fanya ufanyavyo yatatukia yanayopaswa kutukia yale ya muhimu.
ila haimaanishi basi ukae unafatilia kila saa..
Mara moja sio mbaya
 
Back
Top Bottom