Palmoni - The Wonderful Numberer, The Numberer of Secrets

Palmoni - The Wonderful Numberer, The Numberer of Secrets

Makanisa 7, na mihuri 7, na tarumbeta 7, za kwenye kitabu cha Ufunuo, vina cover the same respective time periods, lakini from different angles.

So kanisa la kwanza, muhuri wa kwanza, na tarumbeta la kwanza, vina cover time period moja, but from different angles. Na hivyo hivyo kanisa la pili, muhuri wa pili, na tarumbeta la pili; hivyo hivyo, kanisa la tatu, muhuri wa tatu, na tarumbeta la tatu; hivyo hivyo mpaka la saba.

Tarumbeta la saba likilia, probation period imeisha (mlango wa neema unafungwa), na kuna kuwa na judgments, na mwisho wa dunia hii unafika.

Note that kanisa la Sardis (kanisa la tano), ndio kanisa la ile miaka 1,260 ya the great tribulation. Na siyo kanisa la Thyatira. Kanisa la 5, muhuri wa 5, na tarumbeta la 5, vina cover the same time period, but from different angles.
 
Jumamosi ni siku ya Saba?
Toeni ufafanuzi enyi nyie watu wa kitabu

Siku ya saba ya kibiblia (sabato) ina anza jua linapozama Ijumaa (Friday), na kuisha jua linapozama Jumamosi (Saturday).

Wiki ya kibiblia inakuwa recognized kwenye wiki ya kisecular via muingiliano wa shughuli za maisha za watu wa enzi za biblia na shughuli za maisha za watu wa enzi za Roman empire, na nchi warithi wa Roman empire (yaani nchi za Ulaya). Wiki ya Roman empire (na warithi wake) ni ile ile hadi leo. Kwahiyo tunakuwa tunaijua wiki ya biblia.

Majina ya wiki ya kiswahili yako influenced na uislamu.

Uislamu unasema Ijumaa ndio siku ya saba ya wiki kwa waislamu, na Jumamosi ni siku ya kwanza ya wiki kwa waislamu. Wiki hii ya waislamu inapingana na wiki ya biblia. Uislamu huwa unapingana na biblia huku ukijifanya kwamba unaunga mkono biblia.

Pia miezi ya kiislamu ni tofauti na miezi ya kibiblia. Na miezi ya kibiblia ni tofauti na miezi ya kisecular.

Miezi ya kisecular ina anza mwezi wa kwanza, ambao unaitwa January. Miezi ya kibiblia ina anza mwezi wa kwanza ambao unaitwa Abib. 1st Abib huwa ina angukia around March au April.

Adam mpaka Enoch mpaka Noah, mpaka Abraham, Isaac, Jacob, mpaka Moses, mpaka kipindi cha Bwana Yesu Kristo, wali itambua wiki ya kibiblia, ambayo ni wiki hiyo hiyo, ambayo inatambuliwa na wakristo hadi leo.
 
Jumamosi ni siku ya Saba?
Toeni ufafanuzi enyi nyie watu wa kitabu
mkuu hii mbona simple
Mkuu kama unajua kitu inaitwa ijumaa kuu itakusaidia kujua kama jumamosi ni siku ya saba
Yesu alisulubiwa siku ya ijumaa ambayo ilikuwa ni maandalio. ndo maana inaitwa ijumaa kuu
yesu akafufuka jumapili, biblia inaiita siku ya ya kwanza ya juma, hivyo jumamosi ndo siku ya saba
Au basi rudi kwa waisrael huko israel bado wanadumisha jumamosi kama sabato hadi leo
ukihitaji ushahidi mwingine nijuze tu
 


Hiyo ni link ya critics wa egw.

Wanatoa taarifa muhimu, kuhusu baadhi ya visions za egw, hususan za huko mwanzoni.

Alikuwa anasema anaona vision, kumbe alikuwa anatoa maoni yake, kutokana na uelewa wake, wa jinsi alivyojifunza kuhusu jambo fulani.

Ila hawa critics, kuna mahali pengine wanaharibu, kwa kukataa mafundisho ya kweli ya kibiblia (kama sabato ya siku ya saba). Ingawa kuna mahali pengine wanapatia, kwa kuunga mkono mafundisho ya kweli ya kibiblia (kama Utatu Mtakatifu).

Hawa critics pia inaonekana walikuwa ni opportunists.

Mapungufu ya mafundisho ya kanisa la sda ni haya:

1) Shetani na malaika zake hawa kuanguka kabla ya wiki ya uumbaji. Kwa sababu malaika wote (including Lucifer, ambae baadae ali muasi Mungu) waliumbwa siku ya pili ya wiki ya uumbaji.

2) Hakuna viumbe wengine kama binadamu kwenye sayari nyingine (kama sda wengi wanavyo fundisha).

3) "The Day of Atonement" ni tofauti na "the Day of Judgment". New tastement fulfilment of the Day of Atonement inaanza baada ya kufufuka na kupaa kwa Bwana Yesu, na inaisha at the end of probation period (karibia kabisa na ujio wake wapili).

Sanctuary linalokuwa cleansed in 1844, ni kanisa huku duniani. Mafundisho ya kweli (including the 10 commandments, and the seventh day sabbath) yanarudi kanisani, na mafundisho ya uongo yanaondolewa.

4) Wabatize kwa staili waliyoitumia mitume wa Yesu, mtu ana inama kidogo kwa mbele, huku amesimama, huku akidumbukia kabisa kwenye maji. Wasibatize kwa staili ya mtu kalala kwa mgongo, wana mshika na kumdumbukiza kwenye maji.

5) Wasi wapinge sda wenzao, wanao sema kwamba Yesu alizaliwa during the Feast of Tabernacles. Kwa sababu kiukweli Yesu alizaliwa during the Feast of Tabernacles.

6) Wakubali kwamba hawa hodhi ukanisa wa kweli, na kwamba endapo kuna wasabato wanaofuata biblia ambao sio sda, wasabato hao hawana tatizo.

7) Waumini wa sda wawe pia na tabia nzuri kwenye maisha yao.

8) Baadhi ya mafundisho ya mama Ellen White ni maoni yake, na sio vitu alivyo viona kwenye maono (visions). Kwa hiyo baadhi ya mafundisho yake yanaweza yasiwe sahihi. Of course mama Ellen White yuko sahihi kwenye mafundisho yake mengi.

9) Ni vizuri wakristo weusi wakajua prophesies mbali mbali za kwenye Biblia, zinazo ongelea kuhusu injili kuja Afrika. Wakristo weusi, tu avoid a white/Eurocentric view of the bible, na tuwe na a true view of the Bible, which is a biblical centric view of the bible. Wakristo weusi tujaribu pia kuwa na makanisa huru yanayojitegemea (tushirikiane na watu wengine, lakini tusiwe tegemezi kwa watu wengine).

Sda wako sahihi kabisa kabisa kabisa kwamba sabato ni siku ya saba (Jumamosi), na kwamba Bwana Yesu Kristo hakubadilisha siku ya sabato. Na kwamba mpinga Kristo ndiye aliebadilisha siku ya sabato kutoka siku ya saba kwenda siku ya kwanza ya wiki.

Moral of the story ni: Mkristo yeyote anatakiwa kusikiliza mafundisho yanayoendana na biblia, usisikilize mafundisho ambayo hayafuati mafundisho ya biblia (hata kama ni mafundisho ya dhehebu lako).

So injili ya kweli, ni kwamba Utatu Mtakatifu upo, amri 10 zipo (hazikubadilishwa), sabato ni siku ya saba (Jumamosi), tufuate mafundisho ya Bwana Yesu Kristo kama Biblia inavyosema, na Biblia ni kitabu kitakatifu cha YAHWEH (Mungu wa Biblia). Ukristo ndio dini ya ukweli, dini nyingine zote ni za uongo.

Any way tuendelee na shughuli zetu za maisha hadi siku ya mwisho ya dunia, wakati huo huo tukiendelea kumkumbuka Bwana Yesu Kristo hadi siku hiyo atakapo rudi.
 
The 1844 AD date, as the end of the 2,300 years mentioned in the book of Daniel is a wrong date.

The accurate date (of the end of the 2,300 years) is 1798 AD.

And whatever the accurate date is, 'unto 2,300 days then shall the sanctuary be cleansed', means, after 2,300 days, have passed, the church in the earth shall then be cleansed from the errors of the little horn that polluted the sanctuary of strength (that polluted the church).

The beginning dates of the 70 weeks prophecy (490 years prophecy) and the 2,300 days prophecy (2,300 years prophecy), mentioned in the book of Daniel, are not the same, they are different.

The years, 2,300, 1335, 1,290 and 1,260, all end on 1798 AD. But they all begin on different years.


503 BC + 2300 + 1 (as there is no 0 BC or 0 AD) = 1798 AD

Unto 2,300 years, then shall the sanctuary be cleansed (the church in earth shall be cleansed from the pollutions of the little horn).

The 2,300 days (2,300 years) prophecy (of the book of daniel) begins at 503 BC, this is 16 years after the decree of Darius in 519 BC. This is also 34 years after the decree of Cyrus in 537 BC.

503 BC is also 12 years after the Jews finished building the temple in 515 BC.

503 BC is also 499 years before the birth of the Lord Jesus Christ. The Lord Jesus Christ was born in 4 BC.

The 2,300 years begins in 503 BC and ends in 1798 AD.

In 503 BC, Darius (via his cousin Artaphernes, who was the Persian empire's governor of Ionia) sent 200 ships to attack Naxos. He cooperates with Aristagoras, the Melesian, the governor of Meletus.

In 502 BC, Aristagoras the Melesian, rebels against Darius.

According to Ussher's "The Annals of the World", this is the beginning of the conflict between the Persians and the Greeks, that eventually led to the destruction of the Persian empire.


Daniel's 70 week prophecy (490 year prophecy) starts at 457 BC, with the decree of king Artaxerxes to Ezra. And ends in 34 AD, with the stoning of Stephen.

The 2,300 years end in 1798 AD. After 1798 AD, the church in the earth shall be cleansed from the pollutions of the little horn.

The little horn which polluted the sanctuary of strength, meaning it polluted the church in the earth, and thought to change the times and the laws, and took away the perpetual covenant, and set up the abomination that maketh desolate.

The church in the earth shall be cleansed from the religious errors of the papacy. It shall also be clear to the church in the earth that the seventh day is the legitimate sabbath day, and not the first day of the week.

And that the 10 commandments were not changed even in the new testament era. The seventh day starts from sunset Friday and ends at sunset Saturday. Sunday is not the sabbath day.

The French captured the pope in 1798 AD, and the temporal power of the pope was abolished in 1798 AD.

433 AD + 30 + 1335 = 1798 AD

463 AD + 1335 = 1798 AD

433 AD, Sixtus III was pope. He supported the decision of the first council of Ephesus (which ended in July 431). The council declared that 'the virgin Mary is the mother of God'.

After 30 years

463 AD, Hilarius was pope, he continued the policy of his successor pope Leo I, of enhancing the primacy of the bishop of Rome within the church.

When Leo I was pope, he claimed to be the bishop of the universal church, that is the bishop of the entire church in the world, the primacy of the bishop of rome within the church is enhanced).

508 AD + 30 years = 538 AD

538 AD + 1260 years = 1798 AD

The 1335 years start at 463 AD and ends in 1798 AD.

1335 may reflect redemption. The redemption money was 1365 shekels (Numbers 3:49-51).

433 AD is 1365 years before 1798 AD.


1365 years are not directly mentioned in the book of Daniel, but they show that there will be redemption after they have ended. 1365 shekels was the redemption money in the book of numbers. 30 + 1335 = 1365. 1335 days (1335 years) are directly mentioned in the book of Daniel.



475/476 AD (the collapse of the Western Roman empire into 10 kingdoms, 10 horns).

33 years later

508 AD (Symmachus was pope, the primacy of the papacy in temporal affairs enhanced, Clovis' baptism, Clovis defeats Alarac).

30 years later

538 AD (Vigilius was pope, begins the 1,260 years of papal supremacy).

1,260 years later

1798 AD (the 1,260 years of papal supremacy end, with the capture of the pope, by the French general Berthier, the papacy receives a deadly wound).


The papal wound starts to heal consistently from 1929, until today.

Thus the 1844 AD date, as the end of the 2,300 years mentioned in the book of Daniel is a wrong date.

The accurate date (of the end of the 2,300 years) may be 1798 AD.

And, 'unto 2,300 days then shall the sanctuary be cleansed', means, after 2,300 years have passed, the church in the earth shall then be cleansed from the errors of the little horn that polluted the sanctuary of strength (that is, that polluted the church).

It did not mean the end of the world.

It did not mean the beginning of the 'investigative judgment'.

And it did not mean the Lord Jesus Christ moving into the most holy place in heaven.

The Lord Jesus Christ moved into the most holy place in heaven, after his ressurection and ascension, in 31 AD. AND NOT IN 1844 AD.
 
Huyu ni critic mwingine wa egw.

Huko mwanzoni mwa page kuruke kabisa kabisa, kwa sababu anapinga mafundisho ya ukweli ya Biblia.

Nenda katikati ya page, anza pale kwenye heading ndogo ya 'A blow to the head'. Ana hisi kwamba labda egw alikuwa anajua mambo ya occult.

 
Miaka 2,300, miaka 1335, miaka 1290 na miaka 1260, iliyotajwa kwenye kitabu cha nabii Daniel, yote inaishia mwaka 1798.

Yote ina anzia nyakati tofauti, lakini yote ina ishia mwaka 1798.

Miaka 2,300 ina anzia 503 BC.

503 BC + 2300 + 1 (tunaongeza mwaka 1, kutoka BC hadi AD, kwasababu, hakunaga 0 BC au 0 AD) = 1798 AD.

Miaka 1335 ina anzia 463 AD.

463 AD + 1335 years = 1798 AD.

Miaka 1290 ina anzia 508 AD.

508 AD + 1290 years = 1798 AD.

Miaka 1260 ina anzia 538 AD.

538 AD + 1260 years = 1798 AD.


Miaka 490 iliyotajwa kwenye kitabu cha Daniel (wiki 70, ambazo ni siku 490, ambazo ni, miaka 490) ina anzia 458 BC, kwenye decree/amri ya mfalme Artaxerxes wa himaya ya Uajemi, aliyompatia Ezra. Na ina ishia mwaka 33 AD, ambapo Stephen alipigwa mawe na wayahudi wasioamini injili ya Bwana Yesu Kristo. Na hivyo injili ya Bwana Yesu Kristo kuanza rasmi kupelekwa kwa mataifa.

458 BC + 490 years + 1 (tunaongeza mwaka 1, kutoka BC hadi AD, kwasababu, hakunaga 0 BC au 0 AD) = 33 AD.

Bwana Yesu Kristo, aliteswa, alisulubiwa, alikufa, alizikwa kaburini, alifufuka kutoka katika wafu, alipaa kwenda mbinguni, mwaka 30 AD. Roho Mtakatifu alishuka siku ya Pentekoste, mwaka 30 AD.

Mwaka 2030 AD, ni miaka 2000 ya injili kuhubiriwa kwa mataifa yote duniani, ikianzia Jerusalem.


Kwahiyo, adventists (na sda), walikosea pale waliposema kwamba mwaka 1844, ulikuwa mwaka wenye maana ya kinabii, kwasababu waliamini kimakosa kwamba miaka 2,300 ina ishia mwaka 1844.

Walikosea kwenye kupiga mahesabu ya miaka, na pia walikosea kwenye maana ya unabii wa kinachotokea mwishoni mwa hiyo miaka 2,300.

Mwaka 1844 haukuwa mwaka wenye maana ya kinabii. Na hivyo hawakutakiwa kutegemea tukio lolote la kinabii kutokea mwaka huo.

Mwaka 1798 AD ndio ulikuwa mwaka wenye maana ya kinabii. Kanisa huku duniani lilianza kusafishwa mwaka huo (unto 2,300 days, then shall the sanctuary be cleansed, here one day represents one year).

Pia wafaransa walimchukua mateka mnyama wa Ufunuo 13, mwaka 1798 AD (mnyama huyu alipata jeraha la mauti mwaka 1798 AD), na hivyo watakatifu, waliokolewa kutoka mikononi mwa mnyama huyo, mwaka huo, baada ya kuwa mikononi mwake kwa miaka 1,260. Mnyama ni ufalme wa kidini wa mpinga kristo.

Nguvu za ufalme wa mnyama, zinatarajiwa kurejea kikamilifu (jeraha lake la mauti linatarajiwa kupona kabisa) miaka kadhaa kutoka sasa. Probably in 2026 AD.

Bwana Yesu Kristo anatarajiwa kurudi baada ya mwaka 2030 AD.

Hatujui kama atarudi mwaka huo au miaka michache baada ya mwaka huo au miaka mingi baada ya mwaka huo.

Kwa kipindi cha miaka 3.5 kabla ya kurudi kwa Bwana Yesu Kristo; ushuhuda wa kweli wa Biblia utakuwa 'umekufa' (mashahidi wawili watakuwa wamekufa), baada ya kuwa umeshambuliwa na mnyama ambae atakuwa amepona jeraha la mauti (Ufunuo 11:7-10).

Na chapa ya mnyama itakuwa inatawala bila ushindani, kutoka kwa ushuhuda wa kweli wa Biblia ulio hai, kwenye kipindi hicho cha miaka 3.5.

Kwenye kipindi hicho cha miaka 3.5 hao mashahidi wawili watakuwa wamekufa, lakini ushuhuda wao utaendelea kukumbukwa, kwahiyo watakuwa bado wanashuhudia, ingawa watakuwa wamekufa.

Chapa ya mnyama ni mafundisho ya uongo ya kidini, ambayo yanadhaniwa kuwa ni mafundisho ya kweli ya kikristo, lakini kiukweli na kiuhalisia, yanapingana na injili ya kweli ya Bwana Yesu Kristo, na pia yanapingana na amri 10 za Mungu (Kutoka 20:1-17).

Mji wa kiroho wa Babeli, ulianza kuwepo duniani, toka pale Adam na Hawa, walipokula tunda la kujua mema na mabaya. Uliendelea kuwepo baada ya gharika ya Noah, pale Nimrod na wenzake walipoanza kujenga mnara wa Babeli. Mji wa kiroho wa Babeli utachomwa moto kabisa, pale Bwana Yesu Kristo atakaporudi mara ya pili, na pia dunia yote itachomwa moto wakati huo. Wakati huo, Bwana Yesu Kristo atawachukua watakatifu walio kufa (atawafufua wakati huo) na walio hai, na atawapeleka mbinguni, na kukaa nao mbinguni miaka 1,000.

Kwenye kipindi hicho cha miaka 1,000 dunia itakuwa imekaa katika hali ya kuharibika, baada ya kuchomwa moto na Bwana Yesu Kristo pale aliporudi mara ya pili.

Miaka 1,000, baada ya ujio wa pili wa Bwana Yesu Kristo, dhana ya mji wa kiroho wa Babeli (dhana ya mji wa kiroho, na sio mji wa kiroho wenyewe) itaharibiwa kabisa, na kupotea kabisa, na haitarudi tena. Ufufuo wa pili utakuwa umetokea kipindi hiki, watu waovu ndio watakao shiriki kwenye ufufuo wa pili, na waovu watachomwa moto na kuteketea kabisa kipindi hiki, baada ya kushiriki kwenye ufufuo wa pili, na baada ya hukumu, itakayotolewa kwenye ile siku kubwa ya mwisho ya hukumu.

Na Mungu ataumba mbingu mpya na dunia mpya, na Jerusalem mpya utashuka kuptoka mbingu mpya na kuja kwenye dunia mpya.

Note that, watakatifu 144,000 walitiwa muhuri wa kiroho wa Mungu wa kweli, kipindi cha Bwana Yesu Kristo na kipindi cha mitume (apostles) wa Bwana Yesu Kristo, na hawa wote 144,000 ni waisraeli (wa enzi zile) walioamini injili ya Bwana Yesu Kristo.

Wakristo kutoka mataifa (gentiles walio na wanao amini injili ya kweli ya Bwana Yesu Kristo), ambao sio waisraeli (wa enzi zile) nao pia wanapigwa muhuri wa kiroho wa Mungu wa kweli (mpaka pale dunia hii itakapoisha), lakini wao sio sehemu ya wale 144,000.

Kipindi hiki, hakuna apostles, kwasababu, apostles ni cheo cha juu kabisa ndani ya kanisa. Na pia, criteria ya kuwa apostle ni watu waliomwona Bwana Yesu tangu alipoanza kuhubiri injili, hadi alipopaa mbinguni. Na Bwana Yesu Kristo ndio aliwachagua kuwa apostles.

Paul ni exception, na huenda Paul pia aliwahi kumwona na kumsikia Bwana Yesu Kristo, wakati akiwa duniani, ingawa wakati huo Paul alikuwa haamini injili ya Bwana Yesu Kristo. Na pia apostle ni lazima ilikuwa awe ni muisraeli (wa enzi zile) alieamini injili ya Bwana Yesu Kristo.

Kwahiyo, ukisikia siku hizi, mtu au kiongozi wa kidini anajiita apostle (mtume) wa Bwana Yesu Kristo, ujue kuna uwezekano mkubwa sana kwamba anadanganya; kiukweli yeye sio apostle (mtume) wa Bwana Yesu Kristo.

Pia ukisikia, siku hizi, mtu anajiita yeye ni nabii wa Bwana Yesu Kristo, ujue kuna uwezekano mkubwa sana kwamba anadanganya; kiukweli yeye sio nabii (prophet) wa Bwana Yesu Kristo.

Nabii ni cheo kikubwa cha pili kwenye kanisa baada ya cheo cha apostle. Cheo cha apostle ni cheo cha kwanza, nabii ni cheo cha pili ndani ya kanisa.

Nabii anatakiwa aishike na kuifundisha injili ya kweli ya Bwana Yesu Kristo, pamoja na amri 10 za Mungu (pamoja na sabato ya siku ya saba). Pia nabii huwa anawasiliana na Roho Mtakatifu. Na kutokana na hili, nabii pia huwa anayajua vizuri sana sana maandiko matakatifu ya Biblia. (Note that mtu anaweza kuyajua vizuri sana sana maandiko matakatifu ya Biblia, bila ya kuwa nabii na bila ya kuwa mtume).

Pia Bwana Yesu Kristo na Roho Mtakatifu ndio wanaompa mtu hiko cheo cha unabii, au hiyo karama ya unabii. Na sio mtu husika kujiteua mwenyewe kuwa nabii.

Mkristo wa kweli (kutoka mataifa) ambae sio muisraeli (wa enzi zile) anaweza kuwa na cheo cha unabii au karama ya unabii.

Mama Ellen White (wa sda), hakuwa na cheo cha unabii, na hakuwa na karama ya unabii, kama alivyokuwa akisema. Alikuwa anavunja amri ya 9 (Usimshuhudie jirani yako uongo, ikimaanisha pia, usitoe ushuhuda wa uongo), na pia alikuwa anavunja amri ya 3 (Usilichukulie bure jina la BWANA Mungu wako, ikimaanisha mambo mengi, na pia ikimaanisha, usilitumie jina la BWANA Mungu wako, kutoa unabii wa uongo). Na pia kwenye baadhi ya mafundisho yake (na kwenye baadhi ya visions zake na dreams zake), amepingana na mafundisho ya kweli ya Biblia.
 
Mungu wa Biblia (YAHWEH), aliumba mbingu na dunia (na vyoote vilivyomo, including malaika wote) in 4005 BC, mwezi wa kwanza wa kibiblia (unaoitwa pia Abib au Nisan). In around March to April kwenye kalenda yetu ya kawaida.

Adam na Hawa walikula tunda la kujua mema na mabaya, walipokuwa na miaka 30. Wali ishi bustani ya Eden kwa miaka 30.

Bwana Yesu Kristo (Bwana Yahushua Mashiach) alizaliwa 5 BC, siku ya 15 ya mwezi wa saba wa kibiblia, siku hii ilikuwa siku ya kwanza ya the Feast of Tabernacles. In around mwezi September to October kwenye kalenda yetu.

Bwana Yesu Kristo alibatizwa na Yohana Mbatizaji, siku ya Pentekoste, mwaka 26 AD.

Pentekoste ni siku ya 6, ya mwezi wa 3 wa kibiblia. Punde baada ya kubatizwa alienda nyikani siku 40, ambapo alijaribiwa na Shetani. Bwana Yesu aliyashinda majaribu ya Shetani.

Siku ya Pentekoste huwa ina angukia kati ya mwezi May na June kwenye kalenda yetu ya kawaida.

Siku ya 10, ya mwezi wa saba, wa kibiblia (on the day of Atonement), 26 AD, Bwana Yesu alihubiri Luka 4:18. Akitangaza Jubilee. Mwaka 26 AD ulikuwa mwaka wa Jubilee. Bwana Yesu Kristo alikuwa about 30 years of age, wakati huu.

26 AD ni miaka 483, toka 458 BC. Ni mwanzo wa 'wiki ya 69 ya Daniel'. Mwaka 458 BC, mfalme Artaxerxes alitoa decree kwa Ezra.

Miaka 490 inaishia mwaka 33 AD, ambapo Stefano aliuawa.

Bwana Yesu Kristo alisulubiwa katikati ya 'wiki ya 70 ya Daniel'.

Bwana Yesu Kristo alisulubiwa siku ya 14 ya mwezi wa kwanza wa kibiblia (siku ambayo kondoo wa Pasaka alikuwa anauawa), Ijumaa, mwaka 30 AD; na kufa na kuzikwa, alifufuka siku ya 3, Jumapili; na alipaa mbinguni na amekaa mkono wa kuume wa Mungu Baba, toka huko atakuja kuwa hukumu wazima na wafu.

Utatu Mtakatifu wa Mungu (The Holy Trinity) upo na ni kweli kabisa.

Mwaka 2026 AD ni miaka 2,000 tangu 26 AD.

Pia 2026 AD ni around miaka 6,000 tangu Adam na Hawa walipokula tunda la kujua mema na mabaya.

Mwaka 2030 AD ni miaka 2,000 tangu 30 AD.

Pia mwaka 2030 AD, ni miaka 2000 baada ya ujio wa Roho Mtakatifu, kwa wanafunzi wa Bwana Yesu, kwenye siku ya Pentekoste, in 30 AD.

Miaka 1260, 1290, 1335 na 2,300 (iliyotajwa kwenye kitabu cha Daniel) yoote inaishia mwaka 1798 AD. Ina anzia nyakati tofauti, lakini yoote inaishia 1798 AD.

Siku ya saba ya wiki (sabato), ndio siku ya kweli ya ibada, kwa Wakristo, kwenye Agano Jipya.

Siku ya saba ina anza jua linapozama Ijumaa jioni na kuisha jua linapozama Jumamosi jioni.

Usipoteze muda wako kwenda kwenye makanisa yanayosema kwamba ni ya kisabato, kuna mambo muhimu sana watakupotosha.

Baki kwenye kanisa lako.
 
Palmoni, The Wonderful Numberer, ni Bwana Yesu Kristo. Pia Bwana Yesu Kristo (ndani ya Utatu Mtakatifu wa Mungu) ni The Wonderful Counsellor, The Wonderful Teacher, The Revealer of Secrets.

Isaiah 9:6 For unto us a child is born, unto us a son is given: and the government shall be upon his shoulder: and his name shall be called Wonderful Counsellor, The mighty God, The everlasting Father, The Prince of Peace.okeana Palmoni limetoka Daniel 8:13 (soma Daniel 8:13 kwenye old King James Version bible, ile yenye Hebrew words au explanations on the margin).

Soma biblia pole pole ili uweze kujifunza kuhusu namba za kibiblia, na pia kuhusu the biblical times and seasons. Hautakuwa mwanadamu mwelewa kama hutajua kuhusu biblia.

From Adam hadi Abraham (around 2000 years) patriachs ndio walikua watunzaji wa tumaini la injili. From Abraham hadi Yesu (around 2000 years) Abraham, Isaac, Jacob na uzao wao (Taifa la Israel la wakati ule) ndio walikua custodian wa tumaini la injili. Baada ya Stephen kupigwa mawe around 34 A.D, kanisa ndio limekuwa mtunzaji mkuu wa injili.

Miaka 2000 baada ya Stephen kupigwa mawe inaishia around 2034, hii itatimiza miaka 2000 ya injili kwenda kwa mataifa na kanisa kuwa mtunzaji mkuu wa injili.

So huenda kuna mabadiliko ya majira na nyakati (a change in the times and seasons) yatatokea mitaa ya miaka ya 2030-2040. Wakati huo dunia itakua na miaka around 6034-6044. Dunia itakua iko extra time kwa miaka 34-44 baada ya kumaliza miaka 6000 ya uwepo wake. Uwezekano upo wa extra time kuendelea kwa mamia ya miaka.

Katika kila kipindi cha dunia huwa kuna atleast mtu mmoja ambaye kwa neema ya Bwana Yesu, anakua anaijua injili ya kweli na jina lake linakua limeandikwa mbinguni. Na kabla mtu huyo hajafa huwa kuna mwingine anakua tayari ameshaonyeshwa au kufundishwa injili ya kweli na Mungu wa Israel mwenyewe. E.g. Kabla ya Enoch kufa Methuselah mtoto wake Enoch alishazaliwa na kuwa mkubwa na kuwa mtakatifu. Kabla ya Methuselah kufa, Noah (kitukuu au kilembwe cha Methuselah) alikua na zaidi ya miaka 500 (Noah alikua around miaka 600 wakati wa gharika ambapo Methuselah alikufa miezi michache kabla ya gharika). Na Noah alikua mtakatifu tayari.

Kabla ya Noah kufa, Shem (mtoto wa Noah) alishakuwa mtakatifu. Kabla ya Shem kufa Abraham (more than kitukuu au kilembwe cha Shem) alishazaliwa na kuwa mkubwa na kuwa mtakatifu. Tena baada ya Abraham kuingia Canaan ndio Shem anakufa. Hapo Abraham (kupitia Isaac na Jacob) ndio wanakua wahifadhi wakuu wa tumaini la injili kwa around miaka 2000. Hadi around 34 A.D ambapo Wayahudi wasioamini walimpiga mawe Stephen ambaye alikuwa mfuasi wa Yesu.

Hiyo ndio line halisi kabisa ya kiroho na kiimani ambayo inaendelea mpaka sasa. Na hata sasa kuna Wakristo ambao wameonyeshwa au kufundishwa imani ya kweli na majina yao yameandikwa mbinguni. Wakristo hao wanaweza kuwa wametoka mataifa mbali mbali.

Kwenye kitabu cha Daniel, Yule Mtu Aliekua amesimama juu ya maji mengi (huyu ni Bwana Yesu) Daniel 8:13, Aliitwa Palmoni maana yake ni Wonderful Numberer. Ukiona title kama Wonderful Counsellor, Wonderful Numberer, Revealer of Secrets ujue zina belong to the Godhead. Kwenye old tastement ukiona titles kama ‘The Word of God’, Michael the Archangel, au The Angel of the LORD (kwa mfano pale waisraeli walivyokua wanatoka Misri), ujue huyo ni Bwana Yesu kabla hajazaliwa duniani pale Bethlehem.

So unaona Abraham alivyo furahi na kustaajabu kupita kiasi alivyojua kwamba huyo anaeongea nae kwenye visions (The Word of Yahweh) ndio huyo huyo atakuja duniani na kufa kwa ajili ya dhambi za ulimwengu na kufufuka na kurudi mbinguni kama mshindi. The Word of God ndio Kamanda mkuu wa majeshi yote ya malaika wa mbinguni. Nahisi hata Enoch alikua anajua kwamba Yesu atakuja duniani. So unaona the humility of Jesus (Yahushua) iliopelekea yeye kukaa kuume kwa Mungu Baba. Pride ndio iliyopelekea Lucifer (Satan) kufukuzwa mbinguni.

Kipindi cha waisraeli (tangu Abraham alivyoingia Canaan?) hadi walivyo ondoka Misri ilikua exactly miaka 430. Na kuna majira mengine kama miaka 1260 ambapo injili ya kweli ilikwenda nyikani, kuna miaka 490 etc.

Farao aliambiwa miaka 7 ya mavuno tele na miaka saba ya njaa kubwa. Babeli iliambiwa kuwa itatawala dunia kwa miaka 70. Wamisri enzi za Farao wa Joseph walikua sio wayahudi, walikua sio wakristo, walikua ni mataifa (gentiles), tena watoto wa Ham. So hata Mataifa yetu yana namba zake na majira yake na nyakati zake. Hata makabila, koo na mtu moja moja pia. Tanzania pia ina namba zake na majira yake na nyakati zake.

Ni vizuri Watanzania na Waafrika tumshukuru Mungu wa Israel kwa kutuletea injili Afrika.

2031 ni miaka 2,000 baada ya kufa na kufufuka kwa Bwana Yesu.

2034 ni miaka 2,000 baada ya injili kwenda kwa mataifa.

So as we approach and pass 2031-2034 kutakuwa na mabadiliko ya majira na nyakati.

Kwa sasa kuna movement kubwa sana kutoka kwa Bwana Yahushua Mashiah (kutoka mbinguni) inayo lenga kuwa fundisha wakristo kuhusu injili yake ya kweli pamoja na mambo mengi muhimu ya kwenye biblia. Kama, Sabato ya kweli ni siku ya saba (Jumamosi), kwamba alipokuja duniani alizaliwa during The Feast of Tabernacles (September/October) etc.

Lengo la movement hii ni kuwa andaa Wakristo kwa the second coming of the Lord Yahushua Mashiah.

Kwa upande mwingine kuna movement kubwa kutoka kwa shetani inayolenga kuipinga injili ya kweli ya Bwana Yahushua.

Ni vizuri tuwe makini tunapopitia hiki kipindi cha 2031-2034.

At the earliest, kuna uwezekano baadhi ya vijana wa leo wakawa hai wakati Bwana Yahushua ana rudi mara ya pili.

Kuna uwezekano pia akachelewa kurudi kwa ma mia ya miaka.

Kunatokea mabadiliko ya majira na nyakati wakati tuna approach na ku pitia hicho kipindi cha 2031-2034.

Soma pia Mathayo 24 na 2 Wathesalonike 2.


Mambo muhimu sana kuhusu sala ya Baba yetu uliye mbinguni

Mathew 6:9 – 13 (ipo pia Luke 11:2 – 4)

Baba yetu uliye mbinguni (Adonai YAHWEH, El wa Abraham, Isaac na Israel),

Jina lako litukuzwe (Hallowed be your name, name/jina ina involve mamlaka yake, ina involve his mercy and his truth, ambavyo vina involve watu kutii amri zake 10 pamoja na kuwa na ushuhuda wa Yesu Kristo, kwahiyo hallowed be your name ina maanisha pia hallowed be your 10 commandments, ina maanisha pia hallowed be your seventh day Sabbath, wale 144,000, wa Ufunuo 14, wenye Jina la Baba kwenye vipaji vya nyuso zao ina maana wanazishika amri 10 za Mungu pamoja na Sabato ya siku ya saba, na pia wana ushuhuda wa Yesu Kristo. Unaweza pia ukacheki Isaya 56:6 “Na wageni, walioandamana na BWANA ili wamhudumu, na kulipenda jina la BWANA, kuwa watumishi wake; kila aishikaye sabato asiivunje, na kulishika sana agano langu;”. Kulitukuza jina la BWANA kuna jumuisha pia kulipenda jina la BWANA),

Ufalme wako uje (Mathayo 19:17 Yesu alimwambia “ukitaka kuingia katika uzima, zishike amri”……. “kisha njoo unifuate” yaani ashike amri 10 za Mungu na awe na ushuhuda wa Yesu Kristo. “Kuingia katika uzima” ni namna nyingine ya kusema “kuingia katika Ufalme wa Mungu”. Ufalme wake ukija, watakao ingia katika Ufalme wake ni wale watu wanaotii amri 10 za Mungu na pia wana ushuhuda wa Yesu Kristo),

Mapenzi yako yatimizwe (Your will be done, will yake ina involve watu kumtii na kutii his mercy and his truth, na kuzishika amri 10 za Mungu, pamoja na kuwa na ushuhuda wa Yesu Kristo. Amri 10 za Mungu zina jumuisha pia Sabato ya siku ya saba, inayoanza jua likizama Ijumaa na kuisha jua likizama Jumamosi),
hapa duniani kama huko mbinguni.

Utupe leo riziki yetu (Utupe leo mkate wetu wa kila siku, Give us this day our daily bread, Luke 11:3 inasema “give us day by day our daily bread”. Wana wa Israel walivyokuwa jangwani walikula manna iliyoanguka siku 6, siku ya sita ilianguka manna ya siku mbili, ambayo waliitumia siku ya 6 na nyingine wali ihifadhi na kuitumia siku ya 7 (Sabato). Siku ya 7 (Sabato) manna haikuanguka. Hapa tunaona kwamba Mungu ndiye anaetupa chakula chetu/riziki yetu ya kila siku, na anataka tuitumie siku ya 7 kupumzika na kumuabudu, na kwamba atatulisha pia siku hiyo ya saba hata kama hatufanyi kazi kwenye siku hiyo, na hatutapungukiwa na kitu).

Utusamehe deni zetu,
kama sisi nasi tuwasamehevyo wadeni wetu.

Na usitutie majaribuni,

lakini utuokoe na yule mwovu.

Kwa kuwa ufalme ni wako, na nguvu, na utukufu, hata milele. Amina.

So sala ya Baba yetu uliye mbinguni ina mahusiano na kutii amri 10 za Mungu na pia kuwa na ushuhuda wa Yesu Kristo.

Revelation 15:4 (KJV) Who shall not fear thee, O Lord, and glorify thy name? for thou only art holy: for all nations shall come and worship before thee; for thy judgments are made manifest. [“Glorify thy name” maana yake ni kulitukuza jina lako. “Judgements" zina mahusiano na amri 10 za Mungu.]

Isaiah 66:22-23 (KJV): 22 For as the new heavens and the new earth, which I will make, shall remain before me, saith the LORD, so shall your seed and your name remain.
23 And it shall come to pass, that from one new moon to another, and from one sabbath to another, shall all flesh come to worship before me, saith the LORD.

Isaiah 56:1 – 7 (KJV) 1 Thus saith the LORD, Keep ye judgment, and do justice: for my salvation is near to come, and my righteousness to be revealed. [“Judgement" ina mahusiano na amri 10 za Mungu.]

2 Blessed is the man that doeth this, and the son of man that layeth hold on it; that keepeth the sabbath from polluting it, and keepeth his hand from doing any evil.

3 Neither let the son of the stranger, that hath joined himself to the LORD, speak, saying, The LORD hath utterly separated me from his people: neither let the eunuch say, Behold, I am a dry tree.

4 For thus saith the LORD unto the eunuchs that keep my sabbaths, and choose the things that please me, and take hold of my covenant;

5 Even unto them will I give in mine house and within my walls a place and a name better than of sons and of daughters: I will give them an everlasting name, that shall not be cut off. [“Give them an everlasting name” ina maanisha atawapa uzima wa milele, atawaingiza kwenye ufalme wa Mungu. Matthew 25:34 (KJV) Then shall the King say unto them on his right hand, Come, ye blessed of my Father, inherit the kingdom prepared for you from the foundation of the world:]

6 Also the sons of the stranger, that join themselves to the Lord, to serve him, and to love the name of the LORD, to be his servants, every one that keepeth the sabbath from polluting it, and taketh hold of my covenant;

7 Even them will I bring to my holy mountain, and make them joyful in my house of prayer: their burnt offerings and their sacrifices shall be accepted upon mine altar; for mine house shall be called an house of prayer for all people.

Biblia nzuri ya kusoma

Kama unajua Kiingereza, ni vizuri sana ukatumia King James Version bible, kama unataka kuelewa vizuri mafundisho ya biblia. Kama umeshindwa kupata King James Version, unaweza ukatumia New King James Version. Lakini King James Version ni nzuri zaidi kuliko New King James Version. Kwa kiswahili biblia hizi zinaitwa Swahili Union Version, na Swahili Revised Union Version.


Extra

Note that "the Day of Atonement" ni tofauti na "the Day of Judgment".


Extra


Ufunuo 17.

Milima saba ni falme saba: Egypt, Assyria, Babylon, Medo-Persia, Greece, Rome, Papacy. In the days when apostle John received the Revelation: five have fallen (falme 5 zimeshaanguka/zimeshapita); Egypt, Assyria, Babylon, Medo-Persia, Greece; the one is (this is Rome); the other is not yet come (this is the papacy). When he comes he must continue a short space (1,260 prophetic days which is equal to 1,260 years).

Revelation 17:11 And the beast that was, and is not, even he is the eighth, and is of the seven, and goeth into perdition. Huyu beast ambae ni the eighth and is of the seven, ni upapa "uliofufuka" baada ya kejeruhiwa mwaka 1798 (mwisho wa ile miaka 1,260). Jeraha la upapa lilianza kupona kwa kiasi fulani in 1929. Jeraha la upapa limepona kabisa after 2020 (222 years after 1798).

So the woman who sits on the seven mountains is spiritual Babylon. Spiritual Babylon ana sit on Egypt, Assyria, Babylon, Medo-Persia, Greece, Rome, Papacy (including the resurrected Papacy).

The great red dragon (wa Ufunuo 12) ni Satan. Note that ana seven crowns on his seven heads. The seven heads are Egypt, Assyria, Babylon, Medo-Persia, Greece, Rome, Papacy (including the resurrected Papacy). Satan huwa anaitwa the prince of this world. Satan yuko nyuma ya falme za dunia ambazo zina mwasi Mungu wa Biblia. Spiritual Babylon ana sit kwenye hivyo vichwa saba.

Ukifika Ufunuo 13, utaona mnyama mwingine, ambaye ana crowns kwenye pembe zake kumi (na sio kwenye vichwa vyake saba). Note that mnyama huyu wa Ufunuo 13, ni kichwa kimoja kati ya vichwa saba (vyenye crowns) vya the red dragon. Kwenye time period ya utawala wa mnyama wa Ufunuo 13, wakati wa utawala wa zile falme 6 (vichwa 6) umeshapita. Mnyama wa Ufunuo 13 anatawala pamoja na wafalme 10 (pembe 10, ndio maana pembe zake 10, zina crowns 10). Mnyama wa Ufunuo 13 ni upapa, na pembe 10 ni falme 10 za Ulaya zinazo shirikiana na upapa (angalia pia Ufunuo 17).

Watoto wa spiritual Babylon ni spiritual Egypt, Sodom, Tyre, na miji/mataifa mingine ya kidunia yaliyo mwasi Mungu wa Biblia. Watoto wa spiritual Babylon ni pamoja na makanisa yaliyojitenga na upapa, lakini bado yanafuata mafundisho ya upapa (kama kusema siku ya sabato imebadilishwa na kuwa Jumapili, kusheherekea 25th December kama Christmas etc).

Kumbuka Babylon (Babel) ilianza toka Genesis 11. 666 ni namba ya uasi wa mwanadamu dhidi ya Mungu wa Biblia. Ni namba ya uasi wa mamlaka/ufalme wa mwanadamu dhidi ya mamlaka/ufalme wa Mungu wa Biblia. Uasi huo unakataa the holy covenant and mercy, and the gospel of Jesus Christ. Uasi huo unakataa amri za Mungu (YAHWEH), na injili ya Bwana Yesu Kristo (Bwana Yahushua Mashiach). Uasi huo unakataa sabato ya siku ya saba (Jumamosi).

Soma pia vitabu vya Ranko Stefanovic (huyu ni SDA), Revelation of Jesus Christ, na Plain Revelation (google utaviona). Ni vizuri sda wote watanzania, wanaojua kiingereza kuvisoma hivi vitabu. Ranko Stefanovic amepatia vizuri zaidi (sehemu nyingi sana) kuliko Uriah Smith (huyu nae ni SDA), kwenye kitabu chake cha Daniel and the Revelation.

Ukisoma vitabu hivyo vya Ranko Stefanovic, utaelewa vizuri sana sana sana kuhusu kitabu cha Ufunuo, na 666. Kuna sehemu chache sana ana kosea:

1) Revelation 4 ina maanisha YAHWEH yuko kwenye his holy temple in heaven, na YAHWEH anatawala, na anaabudiwa (YAHWEH reigns, and is being worshiped), so it is not necessarily a judgment scene.

2) Parapanda ya 5 ina ambatana na kuja kwa roho ya mpinga kristo duniani, pamoja na ufalme wa kiroho wa mpinga kristo (yaani ufalme wa mnyama wa Ufunuo 13, ambao ni the papacy). Parapanda ya 6 ina ambatana na ujio wa roho ya nabii wa uongo, pamoja na ufalme wa kiroho wa nabii wa uongo wa Ufunuo 13 (yaani taifa la Marekani).

Ufunuo 9:16 Na hesabu ya majeshi ya wapanda farasi ilikuwa milioni mia mbili; nilisikia hesabu yao.

Hawa ni malaika wa Shetani 200,000,000 (mapepo wachafu, unclean spirits, evil spirits). Wanashirikiana na ufalme wa kiroho wa mpinga kristo, na pia ufalme wa kiroho wa nabii wa uongo.

3) Kuto kupatikana kwa tiara yenye title ya Vicarius Filii Dei haimaanishi kwamba title hiyo haipo. Title hiyo ni mfano wa kujikweza kwa mwanadamu dhidi ya Mungu. Kwa hiyo title hiyo ni aina ya 666. Haijalishi namba zake zinakuwa au haziwi 666 (ingawa incidentally zina kuwa 666).

Ranko Stefanovic amepatia sana zaidi ya mafundisho ya sda wenzake kuhusu story ya kuanguka kwa Shetani kutoka mbinguni. Ila naona ana ogopa kuwa muwazi kusema kwamba Shetani alianguka baada ya wiki ya uumbaji. Kwa sababu akisema wazi atakuwa anapingana na mafundisho ya sda wenzake.

Mapungufu ya mafundisho ya kanisa la sda ni haya:

1) Shetani na malaika zake hawa kuanguka kabla ya wiki ya uumbaji. Kwa sababu malaika wote (including Lucifer, ambae baadae ali muasi Mungu) waliumbwa siku ya pili ya wiki ya uumbaji.

2) Hakuna viumbe wengine kama binadamu kwenye sayari nyingine (kama sda wengi wanavyo fundisha).

3) "The Day of Atonement" ni tofauti na "the Day of Judgment". New tastement fulfilment of the Day of Atonement inaanza baada ya kufufuka na kupaa kwa Bwana Yesu, na inaisha at the end of probation period (karibia kabisa na ujio wake wapili).

Sanctuary linalokuwa cleansed in 1844, ni kanisa huku duniani. Mafundisho ya kweli (including the 10 commandments, and the seventh day sabbath) yanarudi kanisani, na mafundisho ya uongo yanaondolewa.

4) Wabatize kwa staili waliyoitumia mitume wa Yesu, mtu ana inama kidogo kwa mbele, huku amesimama, huku akidumbukia kabisa kwenye maji. Wasibatize kwa staili ya mtu kalala kwa mgongo, wana mshika na kumdumbukiza kwenye maji.

5) Wasi wapinge sda wenzao, wanao sema kwamba Yesu alizaliwa during the Feast of Tabernacles. Kwa sababu kiukweli Yesu alizaliwa during the Feast of Tabernacles.

6) Wakubali kwamba hawa hodhi ukanisa wa kweli, na kwamba endapo kuna wasabato wanaofuata biblia ambao sio sda, wasabato hao hawana tatizo.

7) Waumini wa sda wawe pia na tabia nzuri kwenye maisha yao.

8) Baadhi ya mafundisho ya mama Ellen White ni maoni yake, na sio vitu alivyo viona kwenye maono (visions). Kwa hiyo baadhi ya mafundisho yake yanaweza yasiwe sahihi. Of course mama Ellen White yuko sahihi kwenye mafundisho yake mengi.

9) Ni vizuri wakristo weusi wakajua prophesies mbali mbali za kwenye Biblia, zinazo ongelea kuhusu injili kuja Afrika. Wakristo weusi, tu avoid a white/Eurocentric view of the bible, na tuwe na a true view of the Bible, which is a biblical centric view of the bible. Wakristo weusi tujaribu pia kuwa na makanisa huru yanayojitegemea (tushirikiane na watu wengine, lakini tusiwe tegemezi kwa watu wengine).

Sda wako sahihi kabisa kabisa kabisa kwamba sabato ni siku ya saba (Jumamosi), na kwamba Bwana Yesu Kristo hakubadilisha siku ya sabato. Na kwamba mpinga Kristo ndiye aliebadilisha siku ya sabato kutoka siku ya saba kwenda siku ya kwanza ya wiki.

Moral of the story ni: Mkristo yeyote anatakiwa kusikiliza mafundisho yanayoendana na biblia, usisikilize mafundisho ambayo hayafuati mafundisho ya biblia (hata kama ni mafundisho ya dhehebu lako).

So injili ya kweli, ni kwamba Utatu Mtakatifu upo, amri 10 zipo (hazikubadilishwa), sabato ni siku ya saba (Jumamosi), tufuate mafundisho ya Bwana Yesu Kristo kama Biblia inavyosema, na Biblia ni kitabu kitakatifu cha YAHWEH (Mungu wa Biblia). Ukristo ndio dini ya ukweli, dini nyingine zote ni za uongo.

Any way tuendelee na shughuli zetu za maisha hadi siku ya mwisho ya dunia, wakati huo huo tukiendelea kumkumbuka Bwana Yesu Kristo hadi siku hiyo atakapo rudi.


Extra

Bikira Maria (Maria mama wa Yesu) aliamini amri zote kumi (including amri ya kuishika kitakatifu sabato ya siku ya saba) maisha yake yote, na pia aliamini injili ya Bwana Yesu Kristo maisha yake yote.

Siku ya saba (sabato) ina anza from sunset Friday na inaisha after sunset Saturday.


Extra

Makanisa 7, na mihuri 7, na tarumbeta 7, za kwenye kitabu cha Ufunuo, vina cover the same respective time periods, lakini from different angles.

So kanisa la kwanza, muhuri wa kwanza, na tarumbeta la kwanza, vina cover time period moja, but from different angles. Na hivyo hivyo kanisa la pili, muhuri wa pili, na tarumbeta la pili; hivyo hivyo, kanisa la tatu, muhuri wa tatu, na tarumbeta la tatu; hivyo hivyo mpaka la saba.

Tarumbeta la saba likilia, probation period imeisha (mlango wa neema unafungwa), na kuna kuwa na judgments, na mwisho wa dunia hii unafika.

Note that kanisa la Sardis (kanisa la tano), ndio kanisa la ile miaka 1,260 ya the great tribulation. Na siyo kanisa la Thyatira. Kanisa la 5, muhuri wa 5, na tarumbeta la 5, vina cover the same time period, but from different angles.

tulikubaliana uni-tag ukibandika nondo fikirishi kama hizi!

NAKAZIA!
 
Back
Top Bottom