Pamba Acheni Kumfurahisha RC Mtanda Mtashuka Daraja Bure na Hamtapanda Tena Kizazi Hiki

Pamba Acheni Kumfurahisha RC Mtanda Mtashuka Daraja Bure na Hamtapanda Tena Kizazi Hiki

Mkongwe Mzoefu

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2018
Posts
861
Reaction score
2,515
Timu ya Pamba ni kama imesha jitambua hasa mzunguko huu wa pili na kuna dalili inaweza kuepuka kushuka daraja na watu wa Mwanza waliopambana kuipandisha wakabaki na furaha.
Lakini sasa limebaki tishio la mlezi wenu RC Mtanda kutaka kuitumia timu hii ya wana Mwanza kwa manufaa yake binafsi na furaha yake kuleta ushawishi ili timu iingie kwenye familia ya uteja kwa GSM kama ilivyo Singida, Mashujaa nk.
Hakika mkiacha mechi hii mpoteze kizembe mtashuka daraja na watu wa Mwanza hawatakubali tena timu zao kuzikabidhi kwa hao wana siasa uchwara wasio na uchungu na mali za Mwanza.
Hebu kazeni uzi kama mlivyofanya kwa Azam au Simba na Singida.
Msikubali kutumika kama condom ambayo ni muhimu lakini ikitumika tuu inatupwa kwenye dust bin.
 
Makolo mnacheza lini?

IMG-20250224-WA0087.jpg
 
Ukitaka watu wafanye jambo flani anza wewe kama mfano hapo ndio Simba inakwama mfungeni kwanza Yanga kama mfano kwa wengine
 
Said mohamed mtanda. Namfahamu ni yanga damu tangu tukiwa shule.
KOsa lake kuishabikia yanga huku akiwa RC ni lipi?
Juma othman kapuya alikuwa wazir na ni Simba damu hapakuwa na tatizo.
Juma nkamia
Yuuphu makamba nk
Wachambqji acheni nongwa
 
Mtatafuta visingizio mpaka vitaisha vyote, na Yanga itaendelea kuwa Bingwa.
 
Said mohamed mtanda. Namfahamu ni yanga damu tangu tukiwa shule.
KOsa lake kuishabikia yanga huku akiwa RC ni lipi?
Juma othman kapuya alikuwa wazir na ni Simba damu hapakuwa na tatizo.
Juma nkamia
Yuuphu makamba nk
Wachambqji acheni nongwa

Wote hawa hawakuwahi kujificha
Samwel Sitta
John Samwel Malechela
Job Ndugai
Tukia
Zungu
Makamba Jnr
Profesa Sarungi
Kassim M K MAJALIWA
Paul Makonda
n.k
vidole vinaniuma...
 
Wapuuzi sana pamba najua tu kesho watawaachia yanga
 
Makonda tangu akiwa mkuu wa wilaya ya kinondoni alikua akitoa fedha kwa KMC kama zawadi iwapo Yanga itafungwa na KMC.
Makonda akiwa mshauri wa MO aliwahi kuka kwenye bench pamoja na wachezaji katika moja ya Mechi pale kwa Mkapa.

Makonda akiwa Mkuu wa Mkoa wa DAR na mshauri wa MO alihakikisha Manji anaondoka Yanga kw akumtia msukosuko na kupelekea Manji kukimbia Nchi na Simba kutawala soka kwa miaka 4 mfulululizo uku Yanga ikihangaika kwa kutembeza Bakuli.
 
Back
Top Bottom