tajiri tumbo kubwa
JF-Expert Member
- May 27, 2021
- 429
- 567
Katika Tanzania zao la pamba linalimwa na kustawi sana maeneo ya Ukanda wa Ziwa Nyanza(Victoria) Mkoa wa Shinyanga( wilaya za Kishapu, Shinyanga na Kahama), Mkoa wa Simiyu (Wilaya za Meatu, Itilima, Maswa, Bariadi na Busega) Mkoa wa Mwanza (Kwimba, Misungwi, sengerema na Magu) na Geita (Geita, Nyang'hwale, Mbogwe, Chato na Bukombe), Mkoa wa Mara (Bunda, Serengeti, Mugumu, Musoma vijijini na Butiama) na Baadhi ya maeneo Mkoa wa Tabora (Wilaya ya Igunga na Nzega).Nawasalimie yote kwa jina la muungano wa jamuhuri ya tanzania, kaa kichwa kinaposema, naomba msaada kwenu wakuu, je ni mikoa gani au wilagi gani ukulima wa pamba (cotton) uko kwa wingi sana hapa nchini.
Natanguliza shukrani zangu.
Asanteni sana,
Mimi wenu, dr tajiri tumbo kubwa
asante sana,nashukuruMh.dr tajiri tumbo kubwa,mikoa inayolima pamba kwa wingi ni hii ifuatayo:-GEITA,SHINYANGA,TABORA(igunga dc)SIMIYU,MARA na SINGIDA kwa baadhi ya maeneo.na wengine wataongezea
nashukuru sana mkuu, barikiwaKatika Tanzania zao la pamba linalimwa na kustawi sana maeneo ya Ukanda wa Ziwa Nyanza(Victoria) Mkoa wa Shinyanga( wilaya za Kishapu, Shinyanga na Kahama), Mkoa wa Simiyu (Wilaya za Meatu, Itilima, Maswa, Bariadi na Busega) Mkoa wa Mwanza (Kwimba, Misungwi, sengerema na Magu) na Geita (Geita, Nyang'hwale, Mbogwe, Chato na Bukombe), Mkoa wa Mara (Bunda, Serengeti, Mugumu, Musoma vijijini na Butiama) na Baadhi ya maeneo Mkoa wa Tabora (Wilaya ya Igunga na Nzega).