OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
Wakuu habari,
Jana nimeangalia mtanange kati ya Pamba jiji na Prison Fc.
Nilichokiona
Beki wanajiamini sana kuliko hata Job au Mwamnyeto, wakiwa na mpira hawapigi hovyo hovyo na wwnajua kukaba
Golikipa Amos Yona yupo njema anaokoa mpaka mashambulizi ya counter attack
Winga zipo safi na washambuliaji wapo vizuri
Tatizo
Namba nane na kumi hawajui kupiga pasi za mwisho
Kilichonishangaza
Wanapiga soka safi hawapigi hovyo hovyo
Kumbe yule kocha aliyekuwa Tabora Fc ni kocha mzuri
Wqnapiga soka la chini kwenye uwanja wa nyasi za kulima na mpira unatembea vizuri
Wakuu hii timu kumbe haikwenda yanga mafunzoni kuangalia mafuriko
Ni suala la muda tu
Nawasilisha
Jana nimeangalia mtanange kati ya Pamba jiji na Prison Fc.
Nilichokiona
Beki wanajiamini sana kuliko hata Job au Mwamnyeto, wakiwa na mpira hawapigi hovyo hovyo na wwnajua kukaba
Golikipa Amos Yona yupo njema anaokoa mpaka mashambulizi ya counter attack
Winga zipo safi na washambuliaji wapo vizuri
Tatizo
Namba nane na kumi hawajui kupiga pasi za mwisho
Kilichonishangaza
Wanapiga soka safi hawapigi hovyo hovyo
Kumbe yule kocha aliyekuwa Tabora Fc ni kocha mzuri
Wqnapiga soka la chini kwenye uwanja wa nyasi za kulima na mpira unatembea vizuri
Wakuu hii timu kumbe haikwenda yanga mafunzoni kuangalia mafuriko
Ni suala la muda tu
Nawasilisha