jiwe la maji
JF-Expert Member
- May 17, 2014
- 1,062
- 705
Wadau Wanakanda ya Ziwa wenzangu leo tujikumbushe timu yetu ya Pamba wana TP Lindanda Wana Kawekamo walivyonyakua Kombe la Jamhuri mwaka 1990 kwa kuwabwaga Small Simba kule Amani Zanzibar kwa mikwaju ya penati
Shukrani Mabruki wa Igogo kwa playback!
Shukrani Mabruki wa Igogo kwa playback!