Pambalu acha kupotosha watu. Kesi ya Mbowe haina uhusiano na madai ya Katiba Mpya

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
Huku ni kupotosha umma.

"Watakaokwenda kusikiliza kesi ya Mwenyekiti wetu watakwenda kwa Amani kama IGP Sirro na Jeshi lake wamejipanga kuvunja watu miguu kwa kuwapiga, na wawapige ili iandikwe kwamba wakati wa utawala wa IGP Sirro watu walifanyiwa unyama wakidai Katiba" John Pambalu

 
Inayo tena ile mpya
 
Hizi mada za kiume tuachie wanaume wenyewe, wewe kajadiliane na wenzako wa UWT.
 
Sijawahi ona gaidi akidai sheria mpya za kuongoza nchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…