Pambalu acha kupotosha watu. Kesi ya Mbowe haina uhusiano na madai ya Katiba Mpya

Pambalu acha kupotosha watu. Kesi ya Mbowe haina uhusiano na madai ya Katiba Mpya

Huku ni kupotosha umma.

"Watakaokwenda kusikiliza kesi ya Mwenyekiti wetu watakwenda kwa Amani kama IGP Sirro na Jeshi lake wamejipanga kuvunja watu miguu kwa kuwapiga, na wawapige ili iandikwe kwamba wakati wa utawala wa IGP Sirro watu walifanyiwa unyama wakidai Katiba" John Pambalu

huyu dogo ni mjinga sana na huwa anaamini anajua sana. asitafute wampasulie yai kama mwenzie mdude, na aache kuingilia kesi iliyoko mahakamani. sijui kwanini anapata nafasi hiyo. yeye na TWaha mwaipaya, ndio bogus kabisa sasa.
 
Ni nani huyu ?
Sune Mushendwa ni msweden mwenye asili ya Tanzania
20210803_171313.jpg
 
Yeah nadhani yupo Olympic
Screenshot_20210803-172149.png

Umeona apo kajibu Twitter ya mshikaji chini
 
Huku ni kupotosha umma.

"Watakaokwenda kusikiliza kesi ya Mwenyekiti wetu watakwenda kwa Amani kama IGP Sirro na Jeshi lake wamejipanga kuvunja watu miguu kwa kuwapiga, na wawapige ili iandikwe kwamba wakati wa utawala wa IGP Sirro watu walifanyiwa unyama wakidai Katiba" John Pambalu


Hebu jadili kauli ya wakati wanamkata....

"....tumekupata Mh. Mbowe. Na nakuambia safari hii hutoki, huchomoki..."

Na mwaka jana wakati wa uchaguzi akiwa ktk kampeni ktk jimbo lake, aliyekuwa OCD wa wilaya Hai wakati huo alisema;

"....safari hii hushindi ubunge wewe nakuhakikishia..! Umshinde nani wewe Mbowe...!!!? Safari hii hushindi nakuambia...!!"

Duuh , ila hawa UWT wapuuzi kweli kwa sababu strategies zao kum - incriminate ndugu Mbowe ni za kishamba sana...!

Kosa limeanzia na timing na namna walivyomkamata kuonesha kuwa ni mufilisi ktk mipango yao...

Kwa sababu hebu tu - assume kuwa, labda ni kweli Mbowe ni gaidi. Hata hivyo ni nani atawaamini ktk hatua hii kwa sababu UWT - CCM wameshindwa kabisa ku - maintain consistency ktk uongo wao kuhusu sababu ya kumshtaki huyu Mwamba...!!

Yaani RPC au IGP anafanya PC na kuuanbia umma kuwa ana makosa 1, 2, 3 nk lakini mahakamani wanaenda na makosa mengine kabisa...!

Yaani Jeshi la polisi ni moja, lakini kila polisi anatoa sababu zake tu za kumshtaki huyu Mwamba. Lack of consistency...

By the way, iliwezekanaje kwenda kumkamata saa 8 za usiku akiwa hotelini Mwanza mtu ambaye mchana kutwa alikuwa mitaani akifanya vikao vya chama chake kujiaanda na kongamano la katiba mpya ya wananchi kesho yake halafu usrme sababu siyo hiyo..?
 
Hebu jadili kauli ya wakati wanamkata....

"....tumekupata Mh. Mbowe. Na nakuambia safari hii hutoki, huchomoki..."

Na mwaka jana wakati wa uchaguzi akiwa ktk kampeni ktk jimbo lake, aliyekuwa OCD wa wilaya Hai wakati huo alisema;

"....safari hii hushindi ubunge wewe nakuhakikishia..! Umshinde nani wewe Mbowe...!!!? Safari hii hushindi nakuambia...!!"

Duuh , ila hawa UWT wapuuzi kweli kwa sababu strategies zao kum - incriminate ndugu Mbowe ni za kishamba sana...!

Kosa limeanzia na timing na namna walivyomkamata kuonesha kuwa ni mufilisi ktk mipango yao...

Kwa sababu hebu tu - assume kuwa, labda ni kweli Mbowe ni gaidi. Hata hivyo ni nani atawaamini ktk hatua hii kwa sababu UWT - CCM wameshindwa kabisa ku - maintain consistency ktk uongo wao kuhusu sababu ya kumshtaki huyu Mwamba...!!

Yaani RPC au IGP anafanya PC na kuuanbia umma kuwa ana makosa 1, 2, 3 nk lakini mahakamani wanaenda na makosa mengine kabisa...!

Yaani Jeshi la polisi ni moja, lakini kila polisi anatoa sababu zake tu za kumshtaki huyu Mwamba. Lack of consistency...

By the way, iliwezekanaje kwenda kumkamata saa 8 za usiku akiwa hotelini Mwanza mtu ambaye mchana kutwa alikuwa mitaani akifanya vikao vya chama chake kujiaanda na kongamano la katiba mpya ya wananchi kesho yake halafu usrme sababu siyo hiyo..?
Use common sense when you discuss things.
 
Huku ni kupotosha umma.

"Watakaokwenda kusikiliza kesi ya Mwenyekiti wetu watakwenda kwa Amani kama IGP Sirro na Jeshi lake wamejipanga kuvunja watu miguu kwa kuwapiga, na wawapige ili iandikwe kwamba wakati wa utawala wa IGP Sirro watu walifanyiwa unyama wakidai Katiba" John Pambalu

Huyu Mwl.Pambalu naye hana hoja, hiyo ni kesi ya ugaidi kwa Mbowe na siyo kesi ya kudai Katiba. Kada ya ualimu ni kwa wale waliofeli shule
 
Kina wenje, hainess , vicent nyerere wanajilia hela waliojiokotea kiulaiiini hawana muda wa ugonvi naserikali
 
Huku ni kupotosha umma.

"Watakaokwenda kusikiliza kesi ya Mwenyekiti wetu watakwenda kwa Amani kama IGP Sirro na Jeshi lake wamejipanga kuvunja watu miguu kwa kuwapiga, na wawapige ili iandikwe kwamba wakati wa utawala wa IGP Sirro watu walifanyiwa unyama wakidai Katiba" John Pambalu

Tumekusikia kamanda kutoka Lumumba FC
 
Huku ni kupotosha umma.

"Watakaokwenda kusikiliza kesi ya Mwenyekiti wetu watakwenda kwa Amani kama IGP Sirro na Jeshi lake wamejipanga kuvunja watu miguu kwa kuwapiga, na wawapige ili iandikwe kwamba wakati wa utawala wa IGP Sirro watu walifanyiwa unyama wakidai Katiba" John Pambalu

Kada ya ualimu ni kwa waliofeli kama ina ukweli hivi....asituzingue
 
Huku ni kupotosha umma.

"Watakaokwenda kusikiliza kesi ya Mwenyekiti wetu watakwenda kwa Amani kama IGP Sirro na Jeshi lake wamejipanga kuvunja watu miguu kwa kuwapiga, na wawapige ili iandikwe kwamba wakati wa utawala wa IGP Sirro watu walifanyiwa unyama wakidai Katiba" John Pambalu

Yaani IGP "awapige " yeye hayumo. Kwa sababu hataandamana. Hatudanganyiki. Hakuna wa kuandamana
 
Back
Top Bottom