Pambalu na Polisi ana kwa ana wakati akichukua fomu ya kugombea Uenyekiti wa Kanda ya Victoria

Pambalu na Polisi ana kwa ana wakati akichukua fomu ya kugombea Uenyekiti wa Kanda ya Victoria

Uchumi TV

Member
Joined
Apr 11, 2023
Posts
33
Reaction score
31
Polisi wamelazimika kufika zilipo ofisi za chadema mjini Bukoba baada ya aliyekuwa Mwenyekiti wa vijana Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA John Pambalu kwenda kuchukua fomu za kugombea nafasi hiyo akiwa na msafara wa boda boda.
hata hivyo polisi walipofika katika eneo hilo walioneka na kuongea na Pambalu na vija nawengine wa chadema ambapo waliweza kundoka huku akina pambalu wakiendelea na shughuli zao.

Tukio zima unaweza kulitazama katika video hapa chini.

 
Polisi wamelazimika kufika zilipo ofisi za chadema mjini Bukoba baada ya aliyekuwa Mwenyekiti wa vijana Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA John Pambalu kwenda kuchukua fomu za kugombea nafasi hiyo akiwa na msafara wa boda boda.
hata hivyo polisi walipofika katika eneo hilo walioneka na kuongea na Pambalu na vija nawengine wa chadema ambapo waliweza kundoka huku akina pambalu wakiendelea na shughuli zao.

Tukio zima unaweza kulitazama katika video hapa chini.

View: https://youtu.be/m0N5pIlPTfo

Hovyo kabisa
 
Polisi wamelazimika kufika zilipo ofisi za chadema mjini Bukoba baada ya aliyekuwa Mwenyekiti wa vijana Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA John Pambalu kwenda kuchukua fomu za kugombea nafasi hiyo akiwa na msafara wa boda boda.
hata hivyo polisi walipofika katika eneo hilo walioneka na kuongea na Pambalu na vija nawengine wa chadema ambapo waliweza kundoka huku akina pambalu wakiendelea na shughuli zao.

Tukio zima unaweza kulitazama katika video hapa chini.

View: https://youtu.be/m0N5pIlPTfo

Kumekucha !!!
 
Back
Top Bottom