Pre GE2025 Pambalu: Tuachane na Wasira tupambane na Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Kunazidi kuchangamka!

===

Your browser is not able to display this video.

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo- CHADEMA (BAVICHA) taifa, John Pambalu amewashauri wanachama wa chama hicho kuacha kupambana kisiasa na Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara Stephen Wasira kwa kudai kuwa umri umemtupa mkono, na badala yake nguvu na akili zielekezwe kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM taifa Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Pambalu ameyasema hayo siku ya Alhamisi Februari 13, 2025 katika mkutano wa hadhara wa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA bara John Heche uliofanyika katika kata ya Sirari wilayani Tarime mkoani Mara.
 
Aachwe alale tu babu yetu akili zimeshakuwa kama za mtoto mdogo.
 

Attachments

  • IMG-20250122-WA0047.jpg
    32.8 KB · Views: 2
  • Screenshot_20250125_092130.jpg
    120.8 KB · Views: 2
  • FB_IMG_1738686918387.jpg
    35 KB · Views: 2
Chadema ina watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…