Pre GE2025 Pambalu: Udhaifu wa usiyemuunga mkono haumfanyi unayemuunga mkono kuwa kiongozi bora

Pre GE2025 Pambalu: Udhaifu wa usiyemuunga mkono haumfanyi unayemuunga mkono kuwa kiongozi bora

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

the guardian 17

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
395
Reaction score
570
Anaandika mwenyekiti wa BAVICHA Taifa John Pambalu katika ukurasa wake wa x

--

Kumbukeni tuna chama cha kujenga baada ya uchaguzi. Udhaifu wa usiyemuunga mkono haumfanyi unayemuunga mkono kuwa kiongozi bora. Kiongozi bora anatetewa na tunu, maono na kipaji cha uongozi alichojaliwa na sio udhaifu wa mshindani wake. Tafuteni kura mkijua chama hiki ndilo tumaini pekee la taifa lililosalia. TUSIWA DISAPPOINT wanaotuamini.
Screenshot 2024-12-19 212501.png

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
 
Anaandika mwenyekiti wa BAVICHA Taifa John Pambalu katika ukurasa wake wa x

--

Kumbukeni tuna chama cha kujenga baada ya uchaguzi. Udhaifu wa usiyemuunga mkono haumfanyi unayemuunga mkono kuwa kiongozi bora. Kiongozi bora anatetewa na tunu, maono na kipaji cha uongozi alichojaliwa na sio udhaifu wa mshindani wake. Tafuteni kura mkijua chama hiki ndilo tumaini pekee la taifa lililosalia. TUSIWA DISAPPOINT wanaotuamini.
View attachment 3180504
Kumbe huyu dogo ana akili, lugha za staha ni muhimu Sana katika kipindi hiki Cha uchaguzi wa ndani wa chadema.Viongozi wangejiepusha na lugha za kejeli kama boni yai na wengine.
 
Anaandika mwenyekiti wa BAVICHA Taifa John Pambalu katika ukurasa wake wa x

--

Kumbukeni tuna chama cha kujenga baada ya uchaguzi. Udhaifu wa usiyemuunga mkono haumfanyi unayemuunga mkono kuwa kiongozi bora. Kiongozi bora anatetewa na tunu, maono na kipaji cha uongozi alichojaliwa na sio udhaifu wa mshindani wake. Tafuteni kura mkijua chama hiki ndilo tumaini pekee la taifa lililosalia. TUSIWA DISAPPOINT wanaotuamini.
View attachment 3180504
Chadema inao vijana wa hovyo sana ,mmojawapo ni huyu hapa.
 
Kumbe huyu dogo ana akili, lugha za staha ni muhimu Sana katika kipindi hiki Cha uchaguzi wa ndani wa chadema.Viongozi wangejiepusha na lugha za kejeli kama boni yai na wengine.
Chadema wanajifanyaga wanahubiri demokrasia lakini hawapo diplomatic, strategic, disciplined & obedient!
 
Anaandika mwenyekiti wa BAVICHA Taifa John Pambalu katika ukurasa wake wa x

--

Kumbukeni tuna chama cha kujenga baada ya uchaguzi. Udhaifu wa usiyemuunga mkono haumfanyi unayemuunga mkono kuwa kiongozi bora. Kiongozi bora anatetewa na tunu, maono na kipaji cha uongozi alichojaliwa na sio udhaifu wa mshindani wake. Tafuteni kura mkijua chama hiki ndilo tumaini pekee la taifa lililosalia. TUSIWA DISAPPOINT wanaotuamini.
View attachment 3180504
Alindika maneno mazuri kabla hajaamua kuchagua upande na kuonesha rangi yake halisi
 
Back
Top Bottom